Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Mkuu hujajibu swali langu nikikuletea hizo utashindwa kuzitofautisha hata kwa macho?

Sent using Jamii Forums mobile app


Wewe unaweza kutofautisha majimaji ya papai na maji maji ya Koo la mwanadamu?

Jambo la kujua kabla n vipi Yale majimaji yanachukuliwa, pili yanahifadhiwa kwenye nn mpaka yafike maabara.

Sijui Tanzania tunatumia njia gan Ila naona huko Asia wanakwambia fungua mdomo/Puan wanaingiza kidude kirefu chenye pamba Zen wanaenda kupima.

Sasa wewe sijui ulikuwa unafikiri wanapondaponda papai alafu wanaweka kwenye test tube ndo wakapime au?
 
Jenga hoja acha kutisha watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atangaze tu hakuna corona Tanzania.Kuvaa barakoa marufuku maana zinaleta hofu tu kwa watu.Sanitizer zimwagwe na maji ya kunawa marufuku.watu waishi maisha yao waliozoea, Shule na vyuo vifuguliwe,maisha yaendelee kama zamani.
 
Hiki ndicho nilichowaza na kuandika mod. Wakafuta Kama watu wasipochukua tahadhari stahiki hali itaenda kuwa mbaya sana huko nchini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ha ha ha ha h h h h h h

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo mwingine hata watoto wa chekechea watazimia kwa kukucheka. Wa tz tuna bahati mbaya sana
 
Kama yeye haogopi corona kwanini hakuna ule mlolongo wa viongozi wakati wa kuapisha waziri mpya kama ilivyo kawaida yake??

Kwa kifupi ni kwamba alikuwa akijaribu kujitetea na kuzijibu baadhi ya hoja za Mh Mbowe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi kama anaongea ukweli afungue shule na ligi kuu ,/ Sio anakunywa supu ya Mavv alafu anabwatuka.
 
Jenga hoja acha kutisha watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umekurupuka, simtishi namuelimisha.
Hujona nimemuambia akiandika hivyo kwenye mitandao ambayo wanaweza kumpata kirahisi (mfano Facebook, n.k.) anaweza kujikuta matatizoni kwa vile humu najuwa hawatamkamata, kwa hivyo simtishi namtahadharisha.

Acha mihemko, mwenye kushauriwa ana uhuru wa kupokea ushauri wangu au kuupuzia.
 
What if hayo mapapai yalikuwa contaminated na mtu aliyechukua sample ?Sidhani kama alifuata sheria zote za kuchukua vipimo kama inavyotakiwa. Alivaa gloves n.k. Ikute alichukua sample huku mwenyewe akiwa positive na akaliambukiza papai.
 
Wakuu, someni hiyo mada hapo juu kisha nenda kamsikilize rais wewe mwenyewe kwa masikio yako, tafakari aliyo yasema, alafu njoo hapa uje kusoma comments za watu hapa hakika utagundua kitu cha ajabu sana hapa.

Kama sio mvivu soma comments za uzi mzima kuna kitu utaikiona cha muhimu mno.
Elimu ya TZ inahitaji maboresho makubwa.

"We have schools and we're mis-educated in those schools" Prof Lumumba uko sahihi hukukosea leo nimeamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…