Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Hili jambo linapaswa kujibiwa Na wataalamu kiuhalisia.Huu Ni wakati wa waandishi Wa habari kuuliza maswali ya msingi kwa wataalamu Wa Afya.
 
Nani anamsikiliza huyu mpumbavu? Ni wapumbavu wenzake tu.
 
hapo kwenye source ndio umeniacha hoi, eti ayotb duuhh...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…