LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Hili jambo linapaswa kujibiwa Na wataalamu kiuhalisia.Huu Ni wakati wa waandishi Wa habari kuuliza maswali ya msingi kwa wataalamu Wa Afya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiache kunywa kisusio bwashee!What if aliyepeleka sample ya papai ana Corona? Huyo mbona hawamzungumzii?
cc: Pascal MayallaHili jambo linapaswa kujibiwa Na wataalamu kiuhalisia.Huu Ni wakati wa waandishi Wa habari kuuliza maswali ya msingi kwa wataalamu Wa Afya.
Hili jambo linapaswa kujibiwa Na wataalamu kiuhalisia.Huu Ni wakati wa waandishi Wa habari kuuliza maswali ya msingi kwa wataalamu Wa Afya.
Nani anamsikiliza huyu mpumbavu? Ni wapumbavu wenzake tu.Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amewataka wananchi kutoitafsiri vibaya hotuba ya Rais Magufuli na kuacha kula mapapai.
Makonda amesema Rais Magufuli kama mkemia kitaaluma alihisi kuna tatizo kwenye matokeo yanayotangazwa hivyo akaamua kufanya utafiti wa ubora wa kipimo...
hapo kwenye source ndio umeniacha hoi, eti ayotb duuhh...Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amewataka wananchi kutoitafsiri vibaya hotuba ya Rais Magufuli na kuacha kula mapapai.
Makonda amesema Rais Magufuli kama mkemia kitaaluma alihisi kuna tatizo kwenye matokeo yanayotangazwa hivyo akaamua kufanya utafiti wa ubora wa kipimo.
Sampuli zilizotumika ni kwa ajili ya kupima ubora wa kipimo na siyo virusi...
Huyu na Mwigulu Nchemba akili zao moja. Lengo ni moja kuuwin moyo wa Magufuli.cc: Pascal Mayalla
Wewe kunywa kisusio mbusi hana Corona!Viongozi wetu wanasikitisha sana na kauli zao
Pascal Mayalla ni mjeda usimchukulie poa!Huyu na Mwigulu Nchemba akili zao moja. Lengo ni moja kuuwin moyo wa Magufuli.
Wowote wale walio makini, kwangu rais kaibua mjadala muhimu sana kuhusiana Na vipimo..Waandishi wa habari wa Online tv gani?
Hakuna wa kunipangia cha kufanya,then huwa siwasikilizi wanasiasa,nawasikiliza wataalamu wa AfyaWewe kunywa kisusio mbusi hana Corona!
Daaahh umenipa kicheko sema tu niko road nashindwa kujiachia zaidiMtoto pekee kwenye Familia mwenye uwezo wa kuongea wakati wa kula....
Hahahaaaa...... Wataalamu ndio hao bwashee!Hakuna wa kunipangia cha kufanya,then huwa siwasikilizi wanasiasa,nawasikiliza wataalamu wa Afya
Unqonesha ni jinsi gani unavyofuatilia udakuUtawala uliofitinika
Hapo upo kwa shemeji yako ila unawaita watu na maisha yao wapumbavuNani anamsikiliza huyu mpumbavu? Ni wapumbavu wenzake tu.
Jamaa ni soldier?Pascal Mayalla ni mjeda usimchukulie poa!