Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,560
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaweza tukampima yule mnyama wetu 1ZZ-FE tukakuta imooooooooo chalii angu,hahah.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] TZ ni kiboko kmmmae! Yani hadi fenesi lina Corona?
" Swab" ni mtindo wa kuchukua vinasaba au sampuli kupitia puani au mdomoni na siyo ndiyo kinachochukuliwa. Sasa kilichokuwa kinachukuliwa kwenye koo kinafanana na mananasi? Yaani ukiweka umajimaji (Fluids) toka kwenye koo na maji maji ya nanasi vinafanana?Mkuu ilikuwa inachukuliwa "swab" kama unaangalia tv za wenzetu utaona wanawapitisha kijiti chenye pamba puani! kwahiyo hawapeleki damu mkuu!
Baba acha tu nataka nitume sample ya moshi wake Daslam nione kama nao hauna Corona.Tunaweza tukampima yule mnyama wetu 1ZZ-FE tukakuta imooooooooo chalii angu,hahah.
Watu waache kuwapuuza wanaotaka kukimbia majukumu yao bungeni, wampuuze Rais mtetezi wa kweli wa wanyongeAhahhahahahahaa leo ndio kanichekesha ni kama ze comedy show huyu mzee anaongea huku haamini alichotamka yani ili mradi tu upoyoyo huu jamani hahahhaha.Cha msingi watu washampuuza saiz
Ndo maana yake. Sasa kuhusu vifo vinavyotokea kila siku sjui ana lipi la kusemaHii ni kama anataka kuaminisha kuwa zile data za ongezeko la maambukizi zilikosewa. Mengine yalikuwa mananasi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani huyu ukimfuata ujue utakufa na yeye anaweza kutangaza kuwa hujafa ila umejifanyiza kufa.Hii ni kama anataka kuaminisha kuwa zile data za ongezeko la maambukizi zilikosewa. Mengine yalikuwa mananasi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
mtoa mada we hii habari umetoa wapi isije kuwa unatufunga kamba wewe angalia serikali ina mkono wa chuma wasije kukunyakua
Ameyasema hayo leo wakati wa kumuapisha Waziri wa Sheria na katiba kuwa vyombo vya usalama vilipenyeza sampuli kutoka kwenye mananasi, mafenesi, mbuzi, kondoo, nk kwa siri na kuzifanya ni za binadamu. Jambo la kushangaza matokeo ya baadhi ya sampuli hizo au yalionyesha yana maambukizi ya corona.
Mambo ni mengi ngija niweke clip ya video!
Chanzo ITV....