Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Ero unataka nikimbie mbusi yangu hapana kubalika
 
Kiuhalisia ugonjwa wa COVID-19 upo na kuchukua tahadhari ni muhimu. Ila kitu kinachoshangaza ni kwamba hili tatizo linakuzwa zaidi kuliko uhalasia ambacho si kitu kizuri...

Na lengo la Mh. Rais halikuwa kubeza juhudi za wataalamu wetu kama baadhi ya watu wanavyosema huko mitandaoni, lengo lilikuwa kuangalia je? wataalamu wetu wako makini na kile wanachokifanya? Na niende mbali zaidi huwenda matokeo yale yametokana na uzembe wa wataalamu wetu ambapo wameishia ku contaminate sampuli hizo walizoletewa hivyo kupata matokeo matokeo hayo...
Brother usiumize kichwa. Hizi tuhuma za rais ni fixion tu katika harakati za kuonesha kuwa tatizo la covid hapa nchini halipo bali ripoti ni za uongo unaolenga kuhujumu nchi.
 
kumbe matunda yana genetic za wanyama!! kwahiyo walokula mapapai na fenesi na supu ya mbuzi au nyama choma yake wakajisalimishe karantini!!
 
Huyu nae kapokea majibu anashangaa
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Maswali ni:

Mpaka lini tutaendelea kulalamika kuhusu kuuziwa/kupewa vitu visivyo bora?

Kwa nini tusitengeneze vipimo vyetu wenyewe kwa ushirikiano wetu wa Umoja wa nchi za Afrika?

Hatuna maabara? Kuna maabara ya Umoja wa nchi za Africa hili iwe ina shughulikia magonjwa yetu ya mlipuko pamoja na kuendelea kufanya utafiti?

Hatuna wana sayansi? Kama wapo serikali zetu lini zitawapa ushirikiano?

Hatuamini mfumo wa elimu zetu? Kama hatuamini,wako wapi wale wanafunzi waliosomeshwa nje ya nchi kwa hela za kodi?

Kwanini kila kitu tutegemee wengine?; alafu wakitaka kujaribu dawa, chanjo, vipimo vyao kwetu tunakuwa wakali na kulalamika na kusema ni ubaguzi.

Mchango wetu kwenye sayansi barani kwetu na duaniani uko wapi?

Mbona wana sayansi wetu wanatumiwa na hizo nchi za nje ambazo tunawategemea kila kitu?
Kwa nini sisi tusiwatumie?
 
Tatizo wasomi sisi wengi ni uchwara. Vyeti tunavyo lakini kufanya tafiti za kisayansi hatuwezi kwasababu hata Thesis zetu tuli copy copy idea za watu (plagiarism).

Kiujumla hatuwezi. Kenya walikuwa wataalamu mda sana wanajaribu kutengeneza Rapid Test Kit huku kwetu ilikuwa kimya.
 
Maswali ni:

Mpaka lini tutaendelea kulalamika kuhusu kuuziwa/kupewa vitu visivyo bora?

Kwa nini tusitengeneze vipimo vyetu wenyewe kwa ushirikiano wetu wa Umoja wa nchi za Afrika?

Hatuna mahabara? Kuna mahabara ya Umoja wa nchi za Africa hili iwe ina shughulikia magonjwa yetu na ya mlipuko pamoja na kuendelea kufanya utafiti?

Hatuna wana sayansi? Kama wapo serikali zetu lini zitawapa ushirikiano?

Hatuamini mfumo wa elimu zetu? Kama hatuamini,wako wapi wale wanafunzi waliosomeshwa nje ya nchi kwa hela za kodi?

Kwanini kila kitu tutegemee wengine?; alafu wakitaka kujaribu dawa, chanjo, vipimo vyao kwetu tunakuwa wakali na kulalamika na kusema ni ubaguzi.

Mchango wetu kwenye sayansi barani kwetu na duaniani huko wapi?

Mbona wana sayansi wetu wanatumiwa na hizo nchi za nje ambazo tunawategemea kila kitu?
Kwa nini sisi tusiwatumie?
Hivi dokta alisomea nini vileee korosho ?
 
Tatizo wasomi sisi wengi ni uchwara. Vyeti tunavyo lakini kufanya tafiti za kisayansi hatuwezi kwasababu hata Thesis zetu tuli copy copy idea za watu (plagiarism).

Kiujumla hatuwezi. Kenya walikuwa wataalamu mda sana wanajaribu kutengeneza Rapid Test Kit huku kwetu ilikuwa kimya.
Kuna tatizo mahali na ni muhimu tuamke sasa hili mbeleni tuwe tumejiandaa.
 
Maswali ni:

Mpaka lini tutaendelea kulalamika kuhusu kuuziwa/kupewa vitu visivyo bora?

Kwa nini tusitengeneze vipimo vyetu wenyewe kwa ushirikiano wetu wa Umoja wa nchi za Afrika?

Hatuna mahabara? Kuna mahabara ya Umoja wa nchi za Africa hili iwe ina shughulikia magonjwa yetu na ya mlipuko pamoja na kuendelea kufanya utafiti?

Hatuna wana sayansi...

Umeuliza maswali mazuri sana ila mpaka leo hujui kuwa usahihi ni MAABARA NA SIO MAHABARA.

Kwa nini una maswali mazuri alafu unakuwa hujui usahihi wa kuandika baadhi ya maneno mkuu ?

Umerudia zaidi ya mara moja kosa lile lile kuonesha kuwa unajua usahihi ndio huo,ilikuwaje, hili neno hukuwahi kuliona au shida nini mkuu ?

Baada ya kuandika "uko wapi" unaandika "huko wapi " kweli wewe unataka africa ibadilike wakati wewe haujabadili hata namna ya uandishi ?
 
Back
Top Bottom