Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,435
- 4,245
Kwasababu tunamashaka na hizo takwimu... haziwezi kuwa za kweli, mtu anaumwa presha na mafua tu yaliyotokana na vumbi la kawaida wanasema eti ana ugonjwa.... pole sana waziri wa afya, utakuwa unapitia magumu mengi mno, pole sana... pengine hata chozi linamtoka kwa uozo wa watendaji wake wa afyaUnadhani ni kwanini hasa wanafanya uchunguzi?