Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Tundu aliwaomba mumchague awe rais awatoe mashehe wako hamkumchagua, Sasa mnataka ambao hawakuahidi kuwatoa waongee Nini?..Na baada ya Tundu Lissu kuondoka, si Maalim Seif, wala Zitto Kabwe, wanaozungumza kuhusu suala la Mashekhe wa Uamsho.
Kaona Beberu lake NI muhimu kuliko Tanzania.Lisu aliambiwa apewe ka cheo atulie akakimbilia Brussels
Viva CCM, VivaaaaaRais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuwa miongoni mwa walio katika Serikali inayoongozwa na Rais Hussein Mwinyi, akisema uzoefu wake kama Kiongozi ni mkubwa na unahitajika kwenye Uongozi wa sasa.
Akizungumza kutokea Chato Mkoani Geita, Rais Magufuli amesema, katika Umoja wao (Dkt. Mwinyi na Makamu wa Kwanza na wa Pili wa Rais) mwanga wa Maendeleo ya Zanzibar umeanza kuonekana, akisisitiza pia ni Maendeleo ya Tanzania
Amewataka waendelee kufanya kazi akiwahakikishia ushirikiano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akisema hatowaacha kamwe kwasababu wote wanahubiri Amani.
Rais Mwinyi na Maalim Seif wamewasili Wilayani Chato leo kwa ziara ya siku mbili.
Naijua kuliko wewe wa kusifu na kuabuduUnaifahamu katiba ya Zanzibar wewe mjaluo
Kwahiyo alitaka maridhiano na nchi ipi?Magu ndio nchi ama?
Lisu alipofika tu ubelgiji alisema lazima Magufuli afanye maridhiano ya kitaifa, ndio kusema kwamba Lisu alikuwa anataka Magufuli awaite ili awagawie vyeo kama ilivyofanyika Zanzibar, na kama ingetokea pale chadema hakuna wa kukataa na leo hii Lisu pengine angekuwa waziriHawamjui Lisu hawa.
Kam lisu ni mshabiki Wa yanga na bado hataki rangi ya kijani nyumbani kwake kwa sababu inafanana na rangi ya ccm.
Ije kuwa kuwa anatishika na maalim kukutana na waliomfikisha ubeligiji kwa matibabu.
Maalim sasa na yeye akajenge Kijijini kwao kuwe kama jiji lipya la kitalii CHATU.Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuwa miongoni mwa walio katika Serikali inayoongozwa na Rais Hussein Mwinyi, akisema uzoefu wake kama Kiongozi ni mkubwa na unahitajika kwenye Uongozi wa sasa.
Akizungumza kutokea Chato Mkoani Geita, Rais Magufuli amesema, katika Umoja wao (Dkt. Mwinyi na Makamu wa Kwanza na wa Pili wa Rais) mwanga wa Maendeleo ya Zanzibar umeanza kuonekana, akisisitiza pia ni Maendeleo ya Tanzania
Amewataka waendelee kufanya kazi akiwahakikishia ushirikiano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akisema hatowaacha kamwe kwasababu wote wanahubiri Amani.
Rais Mwinyi na Maalim Seif wamewasili Wilayani Chato leo kwa ziara ya siku mbili.
Kwani kinashindikna kitu gani mbelgiji kwenda chato?Waliosema IQ ya watanzania ni one of the lowest wana akili sana, ninawavulia kofia.
Wao wapinzani ndio wafanye juhudi kuondoa hicho kinyongoMaalim anadhihakiwa au ndiyo ukweli. Anyway, anaesema hivyo yeye binafsi amefanya nini kuhakikisha kuwa Wapinzani wanapunguza kinyongo juu yake...!!
Tundu aliwaomba mumchague awe rais awatoe mashehe wako hamkumchagua, Sasa mnataka ambao hawakuahidi kuwatoa waongee Nini?
Mashehe wako ni magaidi..mbona Jiwe aliwatoa kifungoni wale walawiti watoto ingawa wakati wa uchaguzi hakuahidi kuwatoa.
..tena walawiti watoto wakapokelewa / wakaalikwa ikulu na kupiga picha na Jiwe.
..Je, machoni mwa Jiwe walawiti watoto ni afadhali kuliko Mashekhe wa Uamsho?
Unafiki wa kiwango cha lamiRais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuwa miongoni mwa walio katika Serikali inayoongozwa na Rais Hussein Mwinyi, akisema uzoefu wake kama Kiongozi ni mkubwa na unahitajika kwenye Uongozi wa sasa.
Akizungumza kutokea Chato Mkoani Geita, Rais Magufuli amesema, katika Umoja wao (Dkt. Mwinyi na Makamu wa Kwanza na wa Pili wa Rais) mwanga wa Maendeleo ya Zanzibar umeanza kuonekana, akisisitiza pia ni Maendeleo ya Tanzania
Amewataka waendelee kufanya kazi akiwahakikishia ushirikiano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akisema hatowaacha kamwe kwasababu wote wanahubiri Amani.
Rais Mwinyi na Maalim Seif wamewasili Wilayani Chato leo kwa ziara ya siku mbili.
Anawaona kuku tu
Km kuna ukweli hivi.Magufuli "be like" Maalim Seif wewe sina tatizo na wewe, Tundu Lissu sina tatizo kabisa na wewe, chagua tu nipo tayari kukupa CHEO chochote.
Tatizo langu na ninyi ni moja, "Kwanini mnapita pita mitaani mnawaamsha waliolala usingizi wa pono. Hapo ndio tunakosana.
Njooni tule nchi[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Achaneni na hayo majinga yasiyojielewa.
Kuweni "Wazarendo" [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]