Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

Jamani hiyo habari ni ya kweli sio sikukuu ya wajinga iliyopo kwenye TV acheki sasa hivi clouds tv

Hiyo habari ni kweli maana hata clouds wamesema kama japo leo ni siku ya wajinga Ila kwa hili suala kama wao kituo cha tv hawawezi kuongea uongo maana hili ni suala linalomhusu Rais na linahitaji usiriasi kulitaja na hauna mamlaka kutaja hata kama ni siku ya wajinga,,, So wameconfirm kuwa ni kweli maana Rais mwenyewe ndo kawapigia na akirudi toka Likizo ataliweka hadharani zaidi na kutoa salary slip yake...
 
Per year 114,000,000
Per 5 years 570,000,000
Per 10 years 1,140,000,000
HAPA KAZI TU
 
Mie mwenyewe ni mpenzi wa kipindi cha 360 cha clouds kuanzia saa 1 asubuhi na mimi mda huu nilikua naangalia Clouds,,, ni kweli
 
Hii ni hatari eti kocha wa timu ya taifa analipwa sh.million 25 kwa mwezi na anaidai TFF sh .milion 200 mama weeee amempita mpaka rais

Source clouds TV 360
 
Ya kweli haya?! yule jamaa yetu wa msoga yeye alikuwa anakunja 192m us dollar kwa mwaka sawa 36 m tsh kwa mwezi!. basi magufuli ni mzalendo


Ule ulikuwa ni uongo, pengine walijumlisha na allowance zake za safari zikiwemo za nje na mambo mengine...lakini mshahara wa Rais hauwezi kuzidi milion 10.
 
Ngoja nilog off, nitarudi kesho.

Siku ya leo wameifanya ya kipuuzi.

"Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo UONGO, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni MWONGO, na baba wa huo." - Yohana 8:44
 
anakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu
Hamuachi fitina!! Raisi kulipwa 9M huoni ni uzalendo? wakati wakuu wa taasisi wanalipwa 36M.
 
Poa sana kama kasema ila kama kweli isije ikawa siku ya wajinga ila aseme tu ni iyari ya mtu kusema mshahara wake
 
Uongo Raisi hawezi lipwa chini ya Wabunge
 
Leo ni 1/04/2016
Sikukuu ya wajinga
1/4/2016
FOOLISH DAY
Hata mie nahisi hivyo.....!
anakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu
Tatizo la wengi wetu tunatoa tu maoni bila hata kujiuliza katiba yetu na sheria zetu zinasemaje.......! Hivi ukimlipa rais 400,000 unadhani atamwajibishaje yule anayelipwa 15,000,000? Na je, wastaafu wenzake wataishije? Sometimes we need to think and re-think before we comment, unless we believe that our comments are non-sense, so material less.....
 
12920332_1076003212443096_2448507399250035471_n.jpg



Kwa wale wasiofahamu kuhusu
mshahara anaolipwa Mhe. JPM ni
kwamba analipwa sh. 9,500,000.
Ameahidi kutoa salary slip yake
mara atakapomaliza likizo yake
kule Chato. Ametoa ufafanuzi huo
muda mfupi uliopita kwa kumpigia
simu mmoja wa watangazaji wa
Clouds 360 wakati uchambuzi wa
magazeti ukiendelea. Alipiga simu
baada ya Samuel Sasali kusoma
habari ambayo Wabunge Zitto
Kabwe na Mhe. Tundu Lissu
walitaka Rais ataje mshahara
wake.
cloudsfm radio.
 
Back
Top Bottom