Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,042
- 2,417
Sidhani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto: Mshahara wa Rais wa JMT ni sh 384/= mil kwa mwakaRais Dk john pombe magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.
Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na n gazeti la nipashe kuwa Zito na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi
Wakiwa katika mjadara huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawaskia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9 plus na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.
Source Clouds 360 Asubhi hii.
Kila zama na zama zake mambo yamwbadlikaa matatizo ya nchi ni mengi usikilize ya wenzio ya nn umbea mwingne huoHivi presidaa anapata muda wa kuaangalia international news km CNN kweli kupata exposure? na atakuwa anajibu hadi maswali ya redioni? Hadi lini! Ila anyway labda ndo uzalendo! Jk alikuwa akiandaliwa birthday na redio watu wanaponda !
9.5M Tshs kwa mwezi, kidogo sana huu.kwanza unaujua mshahara wake? tuanzie hapo.
9.5mkwanza unaujua mshahara wake? tuanzie hapo.
Pumbaa[emoji107] [emoji107]anakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu
Ndugu yangu hii nchi ina shida kubwa sana. Hata sisi Wananchi ni tatizo. Tumekuwa malimbukeni wa siasa, kila kitu tunakosoa kwa mitazamo ya kisiasa tu. Mimi naimani humu JF kuna watu unaweza kuta ni wajuaji sana lakini ukakuta hata kuendesha maisha yao tu wameshindwa na kubaki kuilalamikia serikali kwa kila kitu.Kwa maoni haya hakuna jema ambalo Rais atafanya na wewe ukalikubali...pole sana, comrade.