jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,204
- 1,939
Kama ni kweli, Kwa rais huu mshahara ni mdogo sana. Mdogo sana yaani wa kawaida kabisa.bado mkubwa sana /
ukizingatia.
-usafiri Burr
-chakula bure
-nyumba bure
vocha bure
-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli, Kwa rais huu mshahara ni mdogo sana. Mdogo sana yaani wa kawaida kabisa.bado mkubwa sana /
ukizingatia.
-usafiri Burr
-chakula bure
-nyumba bure
vocha bure
-
Buholela yupo ikulu.Najiuliza hivi Clouds Tv ndo imekuwa Tv ya Taifa ambako mkulu anatolea taarifa? Haya mahaba ya JPM kwa clouds yametokana na nini? TBC ii wapi?? Natamani kumsikia pia Mr. Buhohela....
Kumbuka hana muda wa kufanya mirad mingine kaz yake nikuiongoza mijitu isio elewa mi bish hata kwa vitu vya msingiKwa rais huu mshahara ni mdogo sana. Mdogo sana yaani wa kawaida kabisa.
Sikia kaka msipanick Mkwere alikuwa analipwa dola 16 000 USD kwa mwezi9500000 per year 114,000,000
9500000 per 5 years 570,000,000
9500000 per 10 years 1,140,000,000
HAPA KAZI TU.
Rais Dk john pombe magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.
Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na n gazeti la nipashe kuwa Zito na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi
Wakiwa katika mjadara huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawaskia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9 plus na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.
Source Clouds 360 Asubhi hii.
Wewe mshahara wa Mbunge unajua ni shilingi ngapi? Au na wewe unajua hayo matango pori waliyolishwa watu.Wajinga Ndio waliwao
Hata ukifaham aita kusaidia mkuu,Wakuu nataka kujua wabunge wanalipwa mshahara,posho ,marupurupu na posho mbali mbali shilingi ngapi?
Posho za vikao wanalipwa shilingi ngapi?
Je hayo wanayolipwa wnakatwa kodi
Kwani Lissu na zito ndo waliokutuma umchague Magu, Ulimchagua Magu kwa ahad zake ambozo kwasasa zimekuwa hewa!Hivi zito na lisu huwa swaelewa na wao wanalialia kimoyoyo hakuna posho za kijinga wameanza kujiuzuru,hawa jamaa hawataki kusema ukweli kwa watanzania kuwa jaman maisha yamebadilika siku hiz fedha hakuna wanaanza kumshambulia rais et taja mshahara.kuna baadhi ya wanasiasa nishaachaga kuwasikila kwasababu niwanafiki ni baraa wakibanwa wanaongea vingne kufikisha ujumbe nawaomba watulie sindano ziingie vizuri.
Rais kazi yake ni kubwa sana, kama kweli huo ndo mshahara wake ni dharau.Kumbuka hana muda wa kufanya mirad mingine kaz yake nikuiongoza mijitu isio elewa mi bish hata kwa vitu vya msingi
Buholela yupo ikulu.
9.5M Tshs kwa mwezi, kidogo sana huu.
Hata ukifaham aita kusaidia mkuu,
Ulitaka alipwe shi ngap9500000 per year 114,000,000
9500000 per 5 years 570,000,000
9500000 per 10 years 1,140,000,000
HAPA KAZI TU.