Basi mnyang'anye huo urais! Kuna marupurupu mengine yameandikwa kwenye Katiba nayo ayakatae? Hizo ni chuki binafsi!anakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mnyang'anye huo urais! Kuna marupurupu mengine yameandikwa kwenye Katiba nayo ayakatae? Hizo ni chuki binafsi!anakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu
hahahaha bila shaka umeguswa na majipuanakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu
Nimechukulia kama kweli, nafahamu siku ya leo toka jana usiku.April fools and you are fooled
Hasira za kutumbuliwa hizo; ulitaka rais alipwe laki 3 na asilindwe mjinga mkubwa wee!anakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu
usiwe mburala kiasi hicho. eti anakula bure analindwa bure wakati mtu ni rais wa jamhuri. wewe unafikiri jpm ni ofisa kiwanda cha nguo?anakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu
Wakuu wa mashirika wanalishwa na nani?,waki staafu nani anawatunza?.Hamuachi fitina!! Raisi kulipwa 9M huoni ni uzalendo? wakati wakuu wa taasisi wanalipwa 36M.
At least Hata ifike Kumi Tisa na unusu ndogo Sana Aisee Rais Ana majukumu kibao .Mh. Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesema mshahara wake ambao yeye ameukuta na ambao analipwa ni Milioni 9 na laki 5. Rais Dkt.Magufuli amelazimika kuyasema hayo wakati wa uchambuzi wa magazeti katika kipindi cha Clouds360. Akizungumza na mtangazaji wa kipindi hicho Hudson Kamoga ameahidi akirudi kutoka likizo yupo tayari kuonyesha nyaraka za malipo ya mshahara wake.
Baada ya kusema mshahara wa juu uwe angalau Milioni 15 kumbe yeye hata Milioni 10 hajafikisha
Shika AdabuYako.anakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu
..Vikaangie chips.Viazi ni vingi sana humu JF
Kwanini taarifa hii isitolewe na idara ya mawasiliano ikulu? Kwanini isitolewe na tbc? Kwanini itolewe na clouds?
Kwanini taarifa hii isitolewe na idara ya mawasiliano ikulu? Kwanini isitolewe na tbc? Kwanini itolewe na clouds?
Unajisemea tu. Hebu sasa hivi wananchi waruhusiwe kupiga kura kuaamua mshahara wake wasipompa ml30 pamoja na marupurupu yote uliyotaja hapo juu.Hiyo habari ni ya ukweli haina uhusiano na siku yenu ya wajinga.
Ila milioni 9 ni nyingi sana kwa sababu hanunui chakula ulinzi,maji,umeme,usafiri,matibabu,mavazi yote anapewa bure.
Awe anapata laki 8 tu zinamtosha za kuwatumia ndugu zake chato wakimuomba ela.
Kwani amesema uongo ?usiwe mburala kiasi hicho. eti anakula bure analindwa bure wakati mtu ni rais wa jamhuri. wewe unafikiri jpm ni ofisa kiwanda cha nguo?
Hivi inamaana mkuu wa kaya haangalii kabisa kile kipindi cha uchambuzi wa magezi cha tbccm??[emoji38] [emoji38]Rais inabidi ajizoeshe kutumia vyombo vyake haya mambo ya kupiga simu clouds sio mazuri na sio ishara nzuri kwa tbc.
Huyu mil.9sawa tu kwa kuwa ndiye mkuu wa nchi sasa watu wanafanya mzaa eti alambe laki nane hiyo ni mjama ya kuwaendekeza wa million 36Ya kweli haya?! yule jamaa yetu wa msoga yeye alikuwa anakunja 192m us dollar kwa mwaka sawa 36 m tsh kwa mwezi!. basi magufuli ni mzalendo