Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

Jambo la kushangaza ni kwamba mshahara wa raisi wa nchi uko kwenye scale au anaamua kwa utashi wake alipwe kiasi gani pale anapoingia ikulu? Kila siku tunasema hapa kwamba ikulu ni taasisi inayotakiwa iendeshwe kwa taratibu za kiutumishi, sasa inakuwavipi mtangulizi wako alipwe dola equivalent to TZs 192m TZs, halafu wewe ulipwe TZs 9.5M?
 
Kumbuka hana muda wa kufanya mirad mingine kaz yake nikuiongoza mijitu isio elewa mi bish hata kwa vitu vya msingi
Kwani wakati anachukua fomu hakujua hilo!? Au alilazimishwa!? Au alikuwa ana-test zali!
 
Akitoka likizo athletes mkakati wa viwanda vijana wapate kazi,izo salary slip hatunahaja nazo tushamwelewa,HAPA KAZI TU.
 
Wakuu wa mashirika wanalishwa na nani?,waki staafu nani anawatunza?.
Wewe jamaa ni noma. Unajua nilishasahau kuwa jamaa wanaendelea kutunzwa na kodi za wananchi wakishastaafu. Kweli mishahara midogo kwa marais ni sawa kabisa. Mimi nadhani milioni 5 ni kiasi sawa kabisa.
 
Rais Dk john pombe magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.

Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na n gazeti la nipashe kuwa Zito na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi

Wakiwa katika mjadara huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawaskia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9 plus na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.

Source Clouds 360 Asubhi hii.
Inani shangaza kidogo kwanini clouds na sio Tbc? au ndio mambo ya sikukuu.
 
Mh. Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesema mshahara wake ambao yeye ameukuta na ambao analipwa ni Milioni 9 na laki 5. Rais Dkt.Magufuli amelazimika kuyasema hayo wakati wa uchambuzi wa magazeti katika kipindi cha Clouds360. Akizungumza na mtangazaji wa kipindi hicho Hudson Kamoga ameahidi akirudi kutoka likizo yupo tayari kuonyesha nyaraka za malipo ya mshahara wake.
Baada ya kusema mshahara wa juu uwe angalau Milioni 15 kumbe yeye hata Milioni 10 hajafikisha

Hivi mh Raisi huwa anaangalia TBC kweli!?
 
Rais Dk john pombe magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.

Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na n gazeti la nipashe kuwa Zito na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi

Wakiwa katika mjadara huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawaskia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9 plus na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.

Source Clouds 360 Asubhi hii.
Washauri wa Rais msaidieni Rais kupumzika.Mshaurini ya kuwa wakati wa mapumziko apumzike kweli na hii ni pamoja na kutokusikiliza radio ambazo zitasababisha mood ibadilike.MMsaidieni vitabu vya kusoma ambavyo ni rahisi na vitakavyofanya apumzike.Naamini kuna mtu kamwachia ofisi yeye atulie.Ni ushauri tu
 
Hivi kweli Rais anapata mshahara mil 9.5 na huko NHC wanakunja mil 36!.Ila ngoja tusubiri hizo salary slip maana hata mimi mshara wangu ni laki tano lakini mwisho wa mwezi napata zaidi milioni 1.5,usikute hapo ndo kuna chaka ambalo anapigia mamilioni huku mshahara(basic)ikiwa hiyo aliyosema.
 
anakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu
Hauna akili wewe baba yako awe raisi alipwe hiyo hela mtakufa na vijiba miyoni mwenu nyambafu kabisa
 
Aya sawa!!!
Raisi analipwa kidogo kuliko wakurugenzi wa mashirika ya umma sawaa!!
Ila katika kubana matumizi kama vipi adake milioni mbili tu😉😉😉

Happy fools day
Kweli wajinga ndio waliwao,rais analipwa kidogo hivyo hata kuliko mkurugenzi wa tanesco, aliyepita yeye ajinadi ni raia namba moja,kweli raia namba moja ana mshahara kiduchu hivyo kuliko hata anaowateua
 
Back
Top Bottom