Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

Nani anaangalia na kusikiliza TBC? Rais mwenyewe anajua kuwa kule hakuna wateja. Halafu TBC yenyewe hata nikipita kwa bahati mbaya kwenye Dstv huwa haina sauti.
Kwa hiyo suluhisho ni kuipromote clouds?
 
Rais Dk john pombe magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.

Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na n gazeti la nipashe kuwa Zito na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi

Wakiwa katika mjadara huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawaskia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9 plus na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.

Source Clouds 360 Asubhi hii.
Kama hivyo ndivyo,na kwa kuwa Rais ndiye THE BIG BOSS nionavyo mimi hapakutakiwa kuwa na mtumishi wa uma anayezidi mshahara wa Rais(the big boss).Ni sawa na mshangao unaoweza kuupata unapokwenda kwenye shirika flani X na kukuta kuna mfanyakazi anayepokea mshahara mkubwa BY FAR kuliko CEO.
 
Millioni 9....!!! Hadi yule jamaa wa NHC kamzidi.
 
Kama ndiyo mshahara alioukuta ina maneno yale ya kusema Rais Kikwete alikuwa na mshahara mkubwa kuliko marais wote wa bara la Afrika yalikuwa ni majungu ya Watanzania kama ilivyo kawaida yao?

Hii nchi majungu na uwongo vimezidi.

Pamoja na kwamba Rais hupewa huduma nyingi bure lakini kwa ujumla huo mshahara bado ni mdogo kwa Rais.
 
Ila sio mkubwa mi sidhani kuupunguza ina mantiki uachwe hivyo au uongezwe.
 
Shindaneni nane ataeshindwa atakufa njaa yeye Ila mag hata akisema asipokee sawa mana analishwa na selikal ila wewe ukipunguziwa kutoka laki tano mpaka 2. 5
Hahahaa lazma uibe
 
Haimaye Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametangaza mshahara wake kupitia kituo cha clouds tv katika kipindi cha 360...........kwamba anapata kiasi chha shilingi za kitanzania 9500000 kwa mwezi.
 
anakula bure, analindwa bure, nashauri apunguziwe na kulipwa laki nne kwa mwezi, vinginevyo naye mnafiki tu

Je, ma CEO wa mashirika ya UMMA wanaolipwa mshahara wa zaidi million thelathini plus kwa mwezi nao tuwasemeje?
 
Kama umepungua nahisi CCMCC ndo chanzo cha kupunguza huo mshahara.
 
Hivi siku hizi clouds TV imekuwa TV ya taifa?
Mawaziri wanatoa matamko clouds TV, rais naye clouds TV.
Labda sababu siku ya wajinga leo.
 
Mh. Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesema mshahara wake ambao yeye ameukuta na ambao analipwa ni Milioni 9 na laki 5. Rais Dkt.Magufuli amelazimika kuyasema hayo wakati wa uchambuzi wa magazeti katika kipindi cha Clouds360. Akizungumza na mtangazaji wa kipindi hicho Hudson Kamoga ameahidi akirudi kutoka likizo yupo tayari kuonyesha nyaraka za malipo ya mshahara wake.
Baada ya kusema mshahara wa juu uwe angalau Milioni 15 kumbe yeye hata Milioni 10 hajafikisha
Aendelee kupiga Kaz itakayoendana na ukubwa wa mshahara huo
 
Maoni yangu: Milioni 9 kwa Raisi na milioni 40 kwa mkurugenzi wa mashirika ya serikali! Hiiinapatikana Tanzania tu.
 
Wewe umeamuwa kujifurahisha, unaujuwa mshahara wa Rais au unajibunia?
 
Nimeshangaa kusoma kwenye gazeti la nipashe kuwa Mh. Zitto na Tundu Lissu wanamtaka Mh. Rais ataje kiasi cha mshahara wake ili alipe kodi!
swala ni: ikiwa wabunge hawajui kiasi cha mshara anaopokea Rais, nichombo gani chenye mamlaka ya kuidhinisha kiasi cha mshahara ambacho Rais anatakiwa kulipwa. Ikiwa hakipo basi urais Dili
 
HOJA ZA UPINZANI
1.BABU SEYA
2.MFUMO
3.KIINGEREZA
4.ELIMU BURE MAJANGA
5.MSHAHARA WA RAIS
6..............................................
=================================
==================================NEXT
 
Back
Top Bottom