Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

hii ni propaganda tu ya kuwarudisha nyuma wataalamu eti anataka waishi kama shetani..
roho nyeusiiiii...
nchi nyengine wanalipwa hadi milioni 50 kwa mwezi..
hapa unataka umlipe milioni nne...
halafu ulalamike wataalamu wanakimbia nchi.
 
Uzi huu unatoa taswira ya aina ya watu wa nchi hii.sikuwahi kuamini kuwa Tanzania ina wajinga wengi kiasi hiki.du ccm mnahaki ya kutuburuza kama hali wenyewe iko hivi?
Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.

Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na gazeti la nipashe kuwa Zitto na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi.

Wakiwa katika mjadala huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawasikia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9.5 na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.

Huo ndio mshahara alioukuta na hata Rais Kikwete alikuwa akilipwa kiasi hicho pia.

Chanzo: Clouds 360 Asubuhi hii.
 
Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.

Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na gazeti la nipashe kuwa Zitto na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi.

Wakiwa katika mjadala huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawasikia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9.5 na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.

Huo ndio mshahara alioukuta na hata Rais Kikwete alikuwa akilipwa kiasi hicho pia.

Chanzo: Clouds 360 Asubuhi hii.
Kama mhahara wa raisi ndio huo, namshauri Waziri wa fedha kwenye jedwali la kodi ya mishahara lisomeke kama ifuatavyo
TOTAL INCOME

RATE PAYABLE

Where total income does not exceed Shs 170,000/=

NIL

Where total income exceeds Shs 170,000/= but does not exceed 360,000/=

9% of the amount exceeding 170,000/=

Where total income exceeds 360,000/= but does not exceed Shs 540,000/=

17,100/= plus 20% of the amount exceeding 360,000/=

Where total income exceeds Shs 540,000/=but does not exceed Shs 720,000/=

53,100/= plus 25% of the amount exceeding Shs 540,000/=

Where total income exceeds Shs 720,000/= but not exceeding Shs 9,500,000

98,100/= plus 30% of the amount exceeding Shs 720,000/=

Where salary exceed Shs 9,500,000

2,732,100/= plus 60% of the amount exceeding Shs 9,500,000
 
Hiyo habari ni ya ukweli haina uhusiano na siku yenu ya wajinga.

Ila milioni 9 ni nyingi sana kwa sababu hanunui chakula ulinzi,maji,umeme,usafiri,matibabu,mavazi yote anapewa bure.

Awe anapata laki 8 tu zinamtosha za kuwatumia ndugu zake chato wakimuomba ela.

Mimi nadhani watu wengine vichwa vyao vimejazwa maji badala ya akili. Hivi kweli mtu kutamka ati Rais alipwe mshahara wa laki nane una akili timamu!? Hivi wewe ungekuwa ndiyo Rais ungethubutu hata kuwazia tu kujilipa shs milioni tano, achia mbali kuota kupunguza hiyo milioni tisa!!! Sasa hayo unayasema ili kufurahisha wajinga au kwa sababu haikuhusu? Badala ya kushukuru tumepata Rais anayeweza kufikiria mtu wa kawaida anaishije katika nchi wewe unakufuru. Mbona hao watundu na wazito wanaolipwa posho ya shs laki tatu kwa siku wanajiondoa kwenye Kamati kwa sababu ya kuondolewa posho za vikao huwaambii wawe wa kweli, badala yake unamshambulia Rais ambaye amewambia wananchi wake ukweli wa mshahara anaolipwa ambao haufikii hata robo ya mishahara ya baadhi ya wakurugenzi anaowateua kusimamia mashirika yetu. Acheni ubinafisi wa kifisadi. Ni mtu mwenye mawazo ya kifisadi kama wewe anayeweza kukejeli juhudi za Rais JPM na kusema kuwa afanye kazi bila malipo.
 
Uzalendo upi?wakuu wa mashirika wanatunzwa kama rais?unajua marupurupu ya rais kwa mwezi ni tsh ngapi?changa la macho,hata wabunge ukiwauliza mshahara watakwambia 2ml. Na salary slip utaoneshwa
Sasa lengo lenu la kutaka ataje mshahara wake lilikuwa ni nini? Maana kataja mnaanza kukataa.
Mnataka nini haswa nyie watu, au mlitaka aseme anapokea mil 100 ili muwe na hoja zenu zile?
 
Sasa lengo lenu la kutaka ataje mshahara wake lilikuwa ni nini? Maana kataja mnaanza kukataa.
Mnataka nini haswa nyie watu, au mlitaka aseme anapokea mil 100 ili muwe na hoja zenu zile?
Hoja yangu ni kuita mshahara wa 9.5Ml uzalendo wakati Rais ana marupurupu kibao yanayozidi mshahara wake mara kadhaa.kwanini wanasiasa mara zote hutaja mishahara yao na si malipo yao mengine wanayolipwa kwa mwezi?kufananisha mapato ya rais na ya wakuu wa mashurika ni upuuzi.Rais ana malipo makubwa na bado ana pesa za ziada anazopewa kwa ajili ya kuzitoa kwa watu/pale anapopendezwa.
 
Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.

Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na gazeti la nipashe kuwa Zitto na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi.

Wakiwa katika mjadala huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawasikia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9.5 na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.

Huo ndio mshahara alioukuta na hata Rais Kikwete alikuwa akilipwa kiasi hicho pia.

Chanzo: Clouds 360 Asubuhi hii.
Tsh Mil 9.5 au $ Mil 9.5? Kama Ni Tsh Mil 9.5 Mh. Usikate Kitu, Kwani Kwa Kiwango chako cha Paa la Tsh 15,000,000 Wapo watakaaozidi mshahara wako. Na huo Ni Uzalendo Uliotukuka. Nakupongeza sana, sana.
 
Hivi clouds fm na serikali kuna nini?? Kwanini hajatumia vyombo vya habari vya taifa.
 
Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.

Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na gazeti la nipashe kuwa Zitto na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi.

Wakiwa katika mjadala huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawasikia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9.5 na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.

Huo ndio mshahara alioukuta na hata Rais Kikwete alikuwa akilipwa kiasi hicho pia.

Chanzo: Clouds 360 Asubuhi hii.

Mbona nimeskia Rais wa Tz ni wa 6 duniani kwa kupokea mshara mkubwa? alafu Tshs 9,500,000/= za kazi gani wakati anapata huduma zote hadi mafuta anatiliwa kwenye gari lake na kuna sheria ata akistaafu atakuwa anahudumiwa na serikali na familia yake kama rais mstaafu hizi fedha zote za kazi gani?.
 
Ule ulikuwa ni uongo, pengine walijumlisha na allowance zake za safari zikiwemo za nje na mambo mengine...lakini mshahara wa Rais hauwezi kuzidi milion 10.
huyo jamaa haelewi , rais magu amesema mshahara aliokuta na anaoendelea kupokeni ni 9.5m , sasa iweje jk ampokee tofauti na huo (36m) , aliyohukuta ina maana kwamba hata jk alipokea 9.5m
 
Mimi nadhani watu wengine vichwa vyao vimejazwa maji badala ya akili. Hivi kweli mtu kutamka ati Rais alipwe mshahara wa laki nane una akili timamu!? Hivi wewe ungekuwa ndiyo Rais ungethubutu hata kuwazia tu kujilipa shs milioni tano, achia mbali kuota kupunguza hiyo milioni tisa!!! Sasa hayo unayasema ili kufurahisha wajinga au kwa sababu haikuhusu? Badala ya kushukuru tumepata Rais anayeweza kufikiria mtu wa kawaida anaishije katika nchi wewe unakufuru. Mbona hao watundu na wazito wanaolipwa posho ya shs laki tatu kwa siku wanajiondoa kwenye Kamati kwa sababu ya kuondolewa posho za vikao huwaambii wawe wa kweli, badala yake unamshambulia Rais ambaye amewambia wananchi wake ukweli wa mshahara anaolipwa ambao haufikii hata robo ya mishahara ya baadhi ya wakurugenzi anaowateua kusimamia mashirika yetu. Acheni ubinafisi wa kifisadi. Ni mtu mwenye mawazo ya kifisadi kama wewe anayeweza kukejeli juhudi za Rais JPM na kusema kuwa afanye kazi bila malipo.
mkuu hawa ndio aina vijana wa mbowe alionao
akipewa hiyo kaki nane watakuja tena kulalamiki eti hawezikan aishi kwa hela ndogo hivyo lazima atakuwa mla rushwa tu ..
 
Mbona nimeskia Rais wa Tz ni wa 6 duniani kwa kupokea mshara mkubwa? alafu Tshs 9,500,000/= za kazi gani wakati anapata huduma zote hadi mafuta anatiliwa kwenye gari lake na kuna sheria ata akistaafu atakuwa anahudumiwa na serikali na familia yake kama rais mstaafu hizi fedha zote za kazi gani?.
kwa hiyo marais kama akina obama pamaoja na kulipiwa kila kitu bure unataka kusema hawalipwi hata kidogo
you are kidding brother super kidding
 
Mie Zitto na Lissu nawaonaga kama vichaa fulani tu wachumia tumbo hawa jamaa,. Siasa zao huwa ni za kuvizia vizia ili walambe tonge!! Hawana utetezi wowote kwa wananchi zaidi kupigania matonge yao hovyoo kabisa hawa wanasiasa uchwala!
 
Back
Top Bottom