boyfriendy
JF-Expert Member
- Sep 9, 2012
- 1,988
- 1,033
Nataman kucheka lakini najishangaa kabisa sijui ni nani anaedanganywa hasa na ili iwejeZiko wapi zile salary slip za Mkuu walizopewa clouds 360 kutuonyesha mkuu anakula Mill 9 kwa mwezi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataman kucheka lakini najishangaa kabisa sijui ni nani anaedanganywa hasa na ili iwejeZiko wapi zile salary slip za Mkuu walizopewa clouds 360 kutuonyesha mkuu anakula Mill 9 kwa mwezi?
Na wewe ulimuamini????Ziko wapi zile salary slip za Mkuu walizopewa clouds 360 kutuonyesha mkuu anakula Mill 9 kwa mwezi?
Ziko wapi zile salary slip za Mkuu walizopewa clouds 360 kutuonyesha mkuu anakula Mill 9 kwa mwezi?
Weka za kwako kwanzaZiko wapi zile salary slip za Mkuu walizopewa clouds 360 kutuonyesha mkuu anakula Mill 9 kwa mwezi?
Mimi sikupiga simu clouds 360 kuwspelekea salary slip alipiga mkuu wako wa nchi.Weka za kwako kwanza
Wewe siyo mkuu wako wa nchi?Mimi sikupiga simu clouds 360 kuwspelekea salary slip alipiga mkuu wako wa nchi.
Na wewe tuoneshe hizo salary slips zinazooneshs anapata milioni 400 kwa mwaka. Kwasababu, kama ni kuongea tu, basi ni kweli Mgombea wa UKAWA wa haraka haraka alikinunua chama kutoka kwa mwenyekiti na mkwe wake.Ni uongo mkubwa ndiyo sababu ameshindwa kutimiza ahadi yake. Alikuwa hata salary slip hajaiangalia, hivyo baada ya kuiangalia kagundua kauli yake ilikuwa ya uongo ndiyo sababu hizo salary slips zimeota mbawa. Mshahara wake kwa mwaka ni 400 million na hakatwi kodi.
swali lako la msingi halikuwa hili,mtoa hoja hajawahi kujinasibu ataonyesha slip yake anapokea mshahara kiasi gani,mwenyekiti wa chama aliahidi..hivi unajua halipi kodi ya mapato ya mshahara wake?!!!Wewe siyo mkuu wako wa nchi?
Bavichaa mnavyotoa povu inaonesha ngosha kawashika pabay...Ni uongo mkubwa ndiyo sababu ameshindwa kutimiza ahadi yake. Alikuwa hata salary slip hajaiangalia, hivyo baada ya kuiangalia kagundua kauli yake ilikuwa ya uongo ndiyo sababu hizo salary slips zimeota mbawa. Mshahara wake kwa mwaka ni 400 million na hakatwi kodi.
milioni 9!!???? ni milioni 32(kwa mujibu wa taarifa za gazeti flani la nje) na haziikatwi kodiDah Mie wanipe milion moja tu zinanitosha asee duh kuna watu wanakula bata sana dunia hii yaani unalipwa milion 9? ?? Eeeeh Mungu nijaalie mja wako
Mkuu anajitolea tu!Ziko wapi zile salary slip za Mkuu walizopewa clouds 360 kutuonyesha mkuu anakula Mill 9 kwa mwezi?
Bavichaa mnavyotoa povu inaonesha ngosha kawashika pabay...
Bado tunasubiri apate muda atupatie salary slipZiko wapi zile salary slip za Mkuu walizopewa clouds 360 kutuonyesha mkuu anakula Mill 9 kwa mwezi?
Na wewe tuoneshe hizo salary slips zinazooneshs anapata milioni 400 kwa mwaka. Kwasababu, kama ni kuongea tu, basi ni kweli Mgombea wa UKAWA wa haraka haraka alikinunua chama kutoka kwa mwenyekiti na mkwe wake.