Uchaguzi 2020 Rais Magufuli muombe Rais Mstaafu Kikwete akusaidie kupiga kampeni

Tatizo mnapenda kukariri
Magu hata bila kampeni ameshinda amefanya makubwaaaa
Sie wananchi tunamkubali
Kama Ana makosa yake NI madogo madogo Kama binadamu
 
Kwanza naona Km Magufuli anajichosha izo pesa za kampeni bora angewaongezea mishahara watumishi yeye akaendelea kufanya kazi za nchi kwa aliyoyafanya miaka5 haitaji kusumbuka sioni mpinzani wakupambana nae.Wapinzani badala ya kutwambia watatufanyia nn wao wanabaki kutueleza upigwaji wao wa lisasi watanzania ndotunakita sisi icho??Acheni Magufuli akaongoze nchi na Wapinzani wangekua wazalendo ndowangekua wakwanza kupinginga uchaguzi wa Rais sana tungefanya wa wabunge na madiwani.
 
Nimemsikia Mwenyekiti akiwa Singida na akiwa Shinyanga anayo yaongea hayana tofauti na hotuba yake ya kuvunja bunge......"vijiji elfu mbili vilivyobaki havia nishinda"....wanaomshauri inabidi wamweleze ukweli......kampeni ni zaidi yakusema mafanikio
Ulitaka aseme Nini Kama sio mafanikio
Wewe kweli unachekesha
Kwa hiyo kampeni nini ?yaan watu mnapenda kujifanya mnajua kukosoa!!!wakati hamjawahi kufanya kampeni hata ya uongozi was chuo
 
Amuache mjuaji apambane na hali yake kibebeo mkapa hayupo tena
Amelaaniwa mtu Yule amtegemeaye mwanadamu
Magu songa mbele Mungu Yuko na wewe
Hao wanaowategemea wastaafu ndio washinde achana na
Wewe NI jeshi
 
 
JPM 2015 alishinda uchaguzi na Wala siyo kwa msaada wa hao uliowata, hao wanajifagilia kwamba walimsaidia ni njia za kutaka kupewa ulaji nauhakika, Kinana hakuwepo nchi mbona CCM imeendelea chini ya Bashir na hao wengine kina Nape wamebaki kujipitisha bila kupingwa Kama kweli walimsaidia Magufuli mbona wameshindwa kujishindisha wao kwenye sanduku la kura?
 
Halaf leo nimemcheki pale Nzega kachoka mnoooo, na hii ni siku ya 3 ya kampeni zake....si ajabu huyu Jamaa kutokupenda Uchaguzi, anateseka jamani!
alitoboa lowassa kipindi kile sembuse magufuli mwenye kucheza singeli[emoji38][emoji38][emoji38].

mnatafuta tone la maji kupooza makoo yenu lakini waaapi.
magu rais 05 tena.
 
Anawapelekea Wanyamwezi waliopinda stori za Ndege na Daraja la Mfugale wanamcheekii akiondoka wanarudi kwenye vijiwe vyao vya kahawa huku wakimsubiri Lissu walugaluga hawataniii wanamnyoa Mhutu alfajiri na mapema
waluga luga wanashangaa magari.
 
Awamu ya nne waliishaambiwa nchi ilikuwa shamba la bibi (musib)
 
Magufuri hata asipopiga kampeni atashinda tu... Hamna mtu anayeweza kuwapa chadema nchi. Mbona haitaji hata elimu ya chuo kikuu kuelewa hilo. Watu wengine vichwa vyenu vina nini? Mbona hamuelewi?

(Hamna mtu anaeweza kuwapa chadema nchi) ebu tohoa hiyo sentesi tumjue huyo mtu anayeweza kumpa mtu nchi
 
alitoboa lowassa kipindi kile sembuse magufuli mwenye kucheza singeli[emoji38][emoji38][emoji38].

mnatafuta tone la maji kupooza makoo yenu lakini waaapi.
magu rais 05 tena.
Kwani hujasikia waliokuwa Wazima wazima wa afya tele wakifa kabla ya Lowassa? Yule Mzee wa Lupaso aliyetuita malofa yuko Wapi, Samweli 6 yuko wapi? Kwa hiyo usipime afya ya mgombea wenu kwa kutazama afya ya Mtu mwingine...kwani Kwanza yeye mwenyewe si alikusudia Lissu afe? Sasa si anatokwa jasho?
 
ndio maana nakushanga wewe unayejaji mtu kwa sura yake iliyochoka na utu uzima.

mkikosa hoja mnakuwa viumbe wa hovyo hovyo sana.
 
Mkuu makada wa CCM mpya na team Magufuli walikuwa wanategemea sana mbeleko ya Benjamin Mkapa ktk kupangua hoja kutoka kwa wapinzani, kiasi kwamba hawakuona umuhimu wa Jakaya. Sasa imefika wakati anakubali kufa na tai shingoni.

Hoja jadidu za ushindani kutoka CDM za team Lissu na za ACT Wazalendo za team Membe na Maalim Seif zinamtia kiwewe.
 
Nimesoma nikajiuliza ni mtanzania gani chizi hivi, kurudi juu na kuta ni wewe ikabidi nikusamehe bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…