Uchaguzi 2020 Rais Magufuli na Tundu Lissu wote ni Wakatoliki wazuri. Je, Kanisa halioni umuhimu wa kuwapatanisha?

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli na Tundu Lissu wote ni Wakatoliki wazuri. Je, Kanisa halioni umuhimu wa kuwapatanisha?

Hakuna umuhimu. Tundu Lissu ana mdomo mchafu. Hana jipya zaidi ya kuzungumzia watu vibaya badala ya kujadili hoja na mipango. Sisi vijana wa Hai.
 
Ni jambo lililo wazi kwamba hawa watu wawili wana mengi yanayofanana na kukinzana.

Wote ni public figures na wanasiasa tofauti ni kwamba mmoja ni rais wa nchi na mwingine ni mwanasiasa anayependwa sana kwa sasa.

Wote hawa ni Wakatoliki wazuri sana na wanaoijua imani yao vema.

Kwasababu ambazo sioni haja ya kuzieleza hapa, hawa wote wana tofauti kubwa hasa kwa mambo yalivyokuwa kwa kipindi cha miaka mitatu nyuma mpaka sasa.

Swali langu kwa kanisa Katoliki:
Je, halioni umuhimu wa kuwapatanisha Hawa waumini wake wawili? Je kanisa linafurahishwa na Hali iliyopo kwa sasa baina ya wawili hawa?

Nini mchango wa kanisa katika kubeba hisia za Lissu na kumtuliza? Na ni nini mchango wa kanisa katika kumpa Mh Rais Magufuli tulizo la moyo linalotokana na cheche za Lissu?

Mwisho wa siku sisi ni Watanzania.

Usiku mwema.
HAWA NI WAGOMBEA SIO MAADUI, WAPATANISHWE KWA LIPI? MBONA NYIE WATU HAMUELEWEKI?
 
Ni jambo lililo wazi kwamba hawa watu wawili wana mengi yanayofanana na kukinzana.

Wote ni public figures na wanasiasa tofauti ni kwamba mmoja ni rais wa nchi na mwingine ni mwanasiasa anayependwa sana kwa sasa.

Wote hawa ni Wakatoliki wazuri sana na wanaoijua imani yao vema.

Kwasababu ambazo sioni haja ya kuzieleza hapa, hawa wote wana tofauti kubwa hasa kwa mambo yalivyokuwa kwa kipindi cha miaka mitatu nyuma mpaka sasa.

Swali langu kwa kanisa Katoliki:
Je, halioni umuhimu wa kuwapatanisha Hawa waumini wake wawili? Je kanisa linafurahishwa na Hali iliyopo kwa sasa baina ya wawili hawa?

Nini mchango wa kanisa katika kubeba hisia za Lissu na kumtuliza? Na ni nini mchango wa kanisa katika kumpa Mh Rais Magufuli tulizo la moyo linalotokana na cheche za Lissu?

Mwisho wa siku sisi ni Watanzania.

Usiku mwema.
Unata watanishwe bila ugonvi
 
roma mkatoliki, mo dewj, ben saanane, azori, nondo, kanguye...kwa uchache sana.
Yote huna ushahidi; ni speculations tu. Kuna msemo kuwa "...give a dog a bad name and hang it..." Ndiyo wengi hapa wanafanya, yaani kutoa sababu zisizothibitishwa ili "dog awe na bad name". Mwishoni mwa miaka ya sabini na themanini kulikuwa na utekaji wa Mumiani na baadaye kukawa wachuna ngozi ambao walikuwa wanafanya hivyo kama njia ya kupatia utajiri; miaka ya hivi karibuni tukawa na matukio ya albino kukatwa maungo kwa sababu hizo hizo. Mila na imani zetu nyingine huleta matukio ya ajabu lakini watu kama wewe badala ya kuwa objective wanarukia simple conclusions tu. kwamba mtu akitekwa, basi ni serikali imemteka, au mtu akipotea basi ni serikali ndiyo imempoteza. Inatakiwa kuwa na uhusiano mzuri kati ya serikali na raia, siyo raia kuwa na confrotation na serikali kila wakati hata pasipohusika. Tunakuwa tunatukana maana ya multiparty system.
 
Natamani siku moja niwaone wawili hawa wakikumbatiana kwa tabasamu pana lenye bashasha hakika itakuwa ni ushindi kwa taifa letu.

Amani iwe kwako Mh Rais Magufuli
Amani iwenkwako Mh Tundu Lissu
Amani iwe kwa wana CCM wote
Amani iwe kwa wana Chadema wote
Amani iwe kwa Watanzania wote
Hakuna kitu kama hiyo... labda mmojawapo kati ya hao(hasa jiwe) atokewe na malaika...!
 
Upatanishe mtu mwenye matundu ya risasi kama neti hapo sijui utatumia lugha gani au Zaburi gani?LISSU ANACHOJIFEEL NI HALALI YAKE MI SIMLAUMU
 
Mkatoliki yeyote wa ukweli huwa na jina la mtakatifu . Magufuli jina lake John anatumia jina la mtakatifu John mbatizaji

Katik historia ya ukatoliki hakuna mtakatifu mwenye jina la Tundu
Tundu Lisu Ni mpagani mwenye jina la kipagani la kwanza la Tundu angekuwa mkatoliki angetumia jina la mtakatifu

Huwezi patanisha mpagani Tundu na mtakatifu John
Jinga kweli kweli wewe.
Sasa Kanisa Katoliki liliruhusu vipi mpagani au mwenye jina la kipagani kuwa muumini wake??!!
 
Una ushahidi? Hiz ndizo theory za Lissu na CHADEMA ambazo zinaleta friction isiyokuwa ya lazima. Aliposhambukliwa tu wakaingiza siasa, na hivyo kulifanya tukio lote liwe la kisiasa; eti kwa vile kamera zilizimwa basi ilikuwa ni maagizo ya Magufuli, wakati kila mara kamera zile zilikuwa zinazimika kwa kuwa hazikuwa na uwezo wa kufanya kazi 24/7. Hata kumtibu likawa ni jambo la kichama tu. Hiyo inaweza kuwa strategy nzuri ya kusentionalize wafuasi kisiasa, lakini inaweza isitatue tatizo lenyewe kwani wale mahasidi wake bado wataende;lea kuwapo na huenda bado wanamtafuta na inawezekana pia hawana uhusiano kabisa na serikali. Hapo inakuwa ni mwazno wa machafuko yasiokuwa na tija nchini. Hata Mbowe alipoteleza kwenye ngazi akiwa amelewa akatenguka mguu naye alianza kwa kutangaza kuwa alishambuliwa na watu "wasiojulikana" mpaka alipoumbuliwa ndipo akanyamaza.

Kuna kachero mmoja Evaristi Chahali alichambua tukio lile vizuri sana na kunifanya niambini kuwa maadui wa Lissu walikuwa ni watu wasiokuwa na uhusiano na serikali kwa sababu za kiufundi wa kikachero kama alivyozitoa. Chahali alikuwa mmoja wa makachero wa Tanzania waliobobea sana kabla ya kuhamia uskochi.

Lissu alishatoa make namba Ya gari kwa IGP🤣 huwezi kibadilisha historia Lissu kasha wasamee lakini wasiko omba msamaha watakufa wakiwa wa kujilaumu
 
Lissu alishatoa make namba Ya gari kwa IGP🤣 huwezi kibadilisha historia Lissu kasha wasamee lakini wasiko omba msamaha watakufa wakiwa wa kujilaumu
Hiyo namba ni kweli ilikuwa imesajiliwa au ilikuwa ni namba ya kutengezwa tu? Ni kama hujui maana ya uhaini. Yaani unaamini kuwa mhaini atakuja kwako kukudhuru wa kutumia gari ambayo namba namba zake zimesajiliwa kihalali!! Hebu jaribu kuangalia vipindi kwenye True Crime Network, FBI files na Forensic Files ujue jinsi uharifu unavyoshughulikiwa na wenzetu
 
Ni jambo lililo wazi kwamba hawa watu wawili wana mengi yanayofanana na kukinzana.

Wote ni public figures na wanasiasa tofauti ni kwamba mmoja ni rais wa nchi na mwingine ni mwanasiasa anayependwa sana kwa sasa.

Wote hawa ni Wakatoliki wazuri sana na wanaoijua imani yao vema.

Kwasababu ambazo sioni haja ya kuzieleza hapa, hawa wote wana tofauti kubwa hasa kwa mambo yalivyokuwa kwa kipindi cha miaka mitatu nyuma mpaka sasa.

Swali langu kwa kanisa Katoliki:
Je, halioni umuhimu wa kuwapatanisha Hawa waumini wake wawili? Je kanisa linafurahishwa na Hali iliyopo kwa sasa baina ya wawili hawa?

Nini mchango wa kanisa katika kubeba hisia za Lissu na kumtuliza? Na ni nini mchango wa kanisa katika kumpa Mh Rais Magufuli tulizo la moyo linalotokana na cheche za Lissu?

Mwisho wa siku sisi ni Watanzania.

Usiku mwema.
Mmoja wapo ni mkatoliki katili (Rosa mistika) na mwingine ni mkatoliki mwenye huruma
 
Yote huna ushahidi; ni speculations tu. Kuna msemo kuwa "...give a dog a bad name and hang it..." Ndiyo wengi hapa wanafanya, yaani kutoa sababu zisizothibitishwa ili "dog awe na bad name". Mwishoni mwa miaka ya sabini na themanini kulikuwa na utekaji wa Mumiani na baadaye kukawa wachuna ngozi ambao walikuwa wanafanya hivyo kama njia ya kupatia utajiri; miaka ya hivi karibuni tukawa na matukio ya albino kukatwa maungo kwa sababu hizo hizo. Mila na imani zetu nyingine huleta matukio ya ajabu lakini watu kama wewe badala ya kuwa objective wanarukia simple conclusions tu. kwamba mtu akitekwa, basi ni serikali imemteka, au mtu akipotea basi ni serikali ndiyo imempoteza. Inatakiwa kuwa na uhusiano mzuri kati ya serikali na raia, siyo raia kuwa na confrotation na serikali kila wakati hata pasipohusika. Tunakuwa tunatukana maana ya multiparty system.
bad name mmejipa wenyewe, mmetangaza hadharani kuwa mkakati wenu ni kuufuta upinzani na baada ya hapo ndo matukio hayo mfulilizo. kwa hiyo tuhumu zote hizo serikali imeshindwa kuchunguza hata moja ili ithibitishe hizo speculations? huoni na wewe unaspeculate tu kuwa ninaspeculate?...

mkuu haki huinua taifa
 
Back
Top Bottom