Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Nataka Mwigulu ashinde hapa na Kitila Mkumbo ashinde Ubungo. Wote nawapenda

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Nataka Mwigulu ashinde hapa na Kitila Mkumbo ashinde Ubungo. Wote nawapenda

Nimegundua Rais kukosa “consistency” kwenye maneno yake ni kitu kinachokosolewa na watu wachache sana, wengine ni kama hawaoni na hata kama wanaona hawaelewi kama ni tatizo, Nadhani sababu kuu ni “kufanana naye”, Watanzania wengi ni waongo, vigeu geu na hawawezi kusimamia maneno yao. Huu umegeuka kuwa ni utamaduni wa mtanzania. ( M-bongo)

Consistency ni moja kati ya interpersonal skill ambayo mtu anaweza kufundishwa, kwanini wasilifanyie kazi hili suala? Ni jambo la kufedhehesha Rais kila mara ananukuliwa akitoa kauli zinazokinzana, kila mara anakula matapishi yake, aibu kubwa.
You nailed it!
 
HIYO NI LUGHA YA KUOMBEA KURA
TATIZO WATU HAWAJUI KUTOFAUTISHA HOTUBA YA KUOMBA KURA NA HOTUBA ZA KAWAIDA ZA KIMKAKATI.
MUWE BASI MNAFUATILIA CHAGUZI ZA NCHI NYINGINE HASA ZILIZO ENDELEA, MTAJIFUNZA MENGI NA KUACHA KUPOST YANAYO ONGEWA HUKO KILA DAKIKA...
🤣🤣🤣🤣Mkuu umeteleza au jbu liko sawa,Lugha yakuombea Kura ndio iwe langi yakinyonga au nilugha yakuombea Kura?maana mbali nakua mgombea yeye Bado niRais watz,ivyo kama atakuwa hawez simamia maneno yake inamaana uyu hatufai tena kutuongoza.tuspo kuwa makn atakuja atuambie ata zle pesa zetu tulzo wachangia watu wabukoba akasema zjenge shule atakata hakusema ivo
 
Ahsante sana binti kiziwi kwa kuliona hili. Kajisemea Baba Askofu Bagonza tulipokuwa na Chuo Kikuu kimoja hatukuwa na wajinga wengi kama leo hii tuna vyuo vikuu vingi.

Naona Nchini kwetu kuongezeka kwa idadi ya vyuo vikuu kumekuwa na negative impact kwenye ujinga na maccm yanautumia huo ujinga uliotamalaki vizuri sana ili kung’ang’ania madarakani.


Nimegundua Rais kukosa “consistency” kwenye maneno yake ni kitu kinachokosolewa na watu wachache sana, wengine ni kama hawaoni na hata kama wanaona hawaelewi kama ni tatizo, Nadhani sababu kuu ni “kufanana naye”, Watanzania wengi ni waongo, vigeu geu na hawawezi kusimamia maneno yao. Huu umegeuka kuwa ni utamaduni wa mtanzania. ( M-bongo)

Consistency ni moja kati ya interpersonal skill ambayo mtu anaweza kufundishwa, kwanini wasilifanyie kazi hili suala? Ni jambo la kufedhehesha Rais kila mara ananukuliwa akitoa kauli zinazokinzana, kila mara anakula matapishi yake, aibu kubwa.
 
Naomba ibaki alone msiunganishe maana inazungumzia events za nyakati mbili tofauti.

Mgombea wetu wa Chama chetu aliwahi kusema kuwa hana Mgombea na wala hajawahi kutuma mtu agombee, video hii hapa


Leo kabadilika anasema kwakua Mwigulu na Kitila wote ni Wadogo zake basi ameona mmoja abaki Huko na mwingine aende Ubungo na anataka wote washinde. Angalia attachment.

Tusiwe wasahaulifu, kuna maisha baada ya siasa. Tunakumbushana hatujatukana, yule ni Mzazi, Baba, na kiongozi!


Nadhan mwenye matatizo makubwa kabisa ni wewe kuamini..kila anachoongea na hasa kama ni siasa

Aibu pia ku quote ili aonekane mwongo

Ni siasa, ebu jaribu kuwa na akili timamu ya kuelewa siasa jamani
 
Tofauti ya Magufuli na Lissu katika kampeni ni akili. Magu akili hazimtoshi. Anaropoka tu bila kufikiri wala kukumbuka alichosema awali. Ni kituko.

Huyo mwenye akili kubwa ikawaje akawa sio Rais?
 
Tutumie lugha nzuri tu tuwakumbushe
Nadhan mwenye matatizo makubwa kabisa ni wewe kuamini..kila anachoongea na hasa kama ni siasa

Aibu pia ku quote ili aonekane mwongo

Ni siasa, ebu jaribu kuwa na akili timamu ya kuelewa siasa jamani
Asante, shukrani, nashukuru sana
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ahsante sana binti kiziwi kwa kuliona hili. Kajisemea Baba Askofu Bagonza tulipokuwa na Chuo Kikuu kimoja hatukuwa na wajinga wengi kama leo hii tuna vyuo vikuu vingi.

Naona Nchini kwetu kuongezeka kwa idadi ya vyuo vikuu kumekuwa na negative impact kwenye ujinga na maccm yanautumia huo ujinga uliotamalaki vizuri sana ili kung’ang’ania madarakani.

Hahaha mkuu BAK nimeipenda nukuu ya Askofu Bagonza. Kuna mambo yanatatiza sana kwa wakati huu.
 
HIYO NI LUGHA YA KUOMBEA KURA
TATIZO WATU HAWAJUI KUTOFAUTISHA HOTUBA YA KUOMBA KURA NA HOTUBA ZA KAWAIDA ZA KIMKAKATI.
MUWE BASI MNAFUATILIA CHAGUZI ZA NCHI NYINGINE HASA ZILIZO ENDELEA, MTAJIFUNZA MENGI NA KUACHA KUPOST YANAYO ONGEWA HUKO KILA DAKIKA...
Ujifunze tena uko kwa mabeberu.....maana wanaosema ukwelii mnasema wametumwa na mabeberu saiv mnasema wajifunzeee...

Mwakaa huu mtakuwa machizii....tena nawapa week tatu kuanzia leo lazima watu wataaibikaa na wengine kudata kabisaa
 
Nadhan mwenye matatizo makubwa kabisa ni wewe kuamini..kila anachoongea na hasa kama ni siasa

Aibu pia ku quote ili aonekane mwongo

Ni siasa, ebu jaribu kuwa na akili timamu ya kuelewa siasa jamani
Ulisikia wap kiongozi anajigonga gonga kwenye maneno.... ajifunze kwa JK kidogo anakudanganya mpaka unakubali unaona ni kweliii lakini kiji toooooooooo...
.
 
Nadhan mwenye matatizo makubwa kabisa ni wewe kuamini..kila anachoongea na hasa kama ni siasa

Aibu pia ku quote ili aonekane mwongo

Ni siasa, ebu jaribu kuwa na akili timamu ya kuelewa siasa jamani
Siasa ni uongo?
Siasa ni ndimi mbili?
Siasa ni utapeli?
Siasa ni ulaghai?
Hiyo itakuwa siasa ya CCM kwa mujibu wa CCM.
 
Back
Top Bottom