Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #41
Ndio maana sikutaka kubishana naeSiasa ni uongo?
Siasa ni ndimi mbili?
Siasa ni utapeli?
Siasa ni ulaghai?
Hiyo itakuwa siasa ya CCM kwa mujibu wa CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana sikutaka kubishana naeSiasa ni uongo?
Siasa ni ndimi mbili?
Siasa ni utapeli?
Siasa ni ulaghai?
Hiyo itakuwa siasa ya CCM kwa mujibu wa CCM.
Ziwa Victoria siku hizi sangara wamekuwa wengi tu atapata kaziNdimi mbili Akatafute kazi zingine za kujiajiri October
Acha weweee, umeona wapi na nchi gani wakati unaishi madongo poromoka huko!!!HIYO NI LUGHA YA KUOMBEA KURA
TATIZO WATU HAWAJUI KUTOFAUTISHA HOTUBA YA KUOMBA KURA NA HOTUBA ZA KAWAIDA ZA KIMKAKATI.
MUWE BASI MNAFUATILIA CHAGUZI ZA NCHI NYINGINE HASA ZILIZO ENDELEA, MTAJIFUNZA MENGI NA KUACHA KUPOST YANAYO ONGEWA HUKO KILA DAKIKA...
Naomba ibaki alone msiunganishe maana inazungumzia events za nyakati mbili tofauti.
Mgombea wetu wa Chama chetu aliwahi kusema kuwa hana Mgombea na wala hajawahi kutuma mtu agombee, video hii hapa
Leo kabadilika anasema kwakua Mwigulu na Kitila wote ni Wadogo zake basi ameona mmoja abaki Huko na mwingine aende Ubungo na anataka wote washinde. Angalia attachment.
Tusiwe wasahaulifu, kuna maisha baada ya siasa. Tunakumbushana hatujatukana, yule ni Mzazi, Baba, na kiongozi!
Aendele huko kwa Malaika atuachie nchi yetu ikiwa salama.Ni kiongozi wa malaika
The opposite is trueHahahha.. Bavicha wanafuatilia mikutano ya Magu kuliko ya Lisu
Kwanini? Ni ngumu kutaka kumuelewa kila mtuMagufuli huwa mm simuelewagi
Mungu ni mkubwaWakala wa Ibilisi hawezi kutambua ya kuwa ukiwa wewe ni msema uongo ni lazima hauweuzi kuwa na kumbukumbu. Acha maneno yake ya kinafiki yamtafune yeye mwenyewe.
Wazo zuri sana mkuuAendele huko kwa Malaika atuachie nchi yetu ikiwa salama.
Hivi Lisu hajapiga kamoeni? Mbona sioni picha za mfuriko?Tatizo lako ni kukurupuka kama babako, like father like son
Samahani Mkuu, nitajifunza kutofautisha kushauri na kutuma, huenda sijui kiswahiliTofautisha kushauri na kutuma
Wewe fiatilia picha za babako anavyo susiwa na watanzaniaHivi Lisu hajapiga kamoeni? Mbona sioni picha za mfuriko?