Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Japo mleta uzi umejikanganya kwenye maelezo yako lkn kwenyekichwa cha habari umeeleweka. Sasa team [HASHTAG]#ukuku[/HASHTAG] njooni hapa tena mpige makofi
 
Sijui watasema nini tena....?
Leo mnajifanya Kama hamjui,lolote analosema ni kussupport kwa unafiki,ningepata nafas ya kukutana na Mkuu wa nchi ningemshauri apige stop kusifiwa na vijana wanafiki nyie,ni fuata upepo,kawasema wengne wapumbavu mnasupport tu madame tu mpewe UDC
 
Aibu ya Mzee Mwinyi,Maji Marefu na taka taka zote zilizokuwa zinapigia upatu nyongeza ya muda wa muhula by 2025!
Halafu yule ndezi wa OP ya BAKI MAGUFULI aweke tako lake chini...
2025 tunawaletea jembe lingine!
Kwanini 2025?ni 2020.
 
Ata akisema akiuke katiba atawale zaidi ya hiyo kumi, bado atatawala kwa misukosuko mingi sana Watz siyo wajinga kiasi icho ajiulize watangulizi wake kwanini waliachia ngazi.
Anatamani lkn anajua haiwezekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani 10 atafikisha?
Na ile kampeni ya wale makinikia wanalipwa na nani kufanya upuuzi ule? Au ni kujipendekeza tu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aseme mitano sio kumi,ana hakika gani atatoboa 2020?
NASHANGAA NA NAPE HAYUPO
10987412_1547754618847857_4693284863880757177_n.jpg
 
Amesema yeye ni Rais aliye apa kulinda na kutumikia katiba.
Hata Mtani wake Ngonyani aliposema aongezewe miaka 20 amemuelewa kuwa ana maanisha aongezewe miaka 20 ya kuishi...
Kwa hiyo yeye ataendelea kuheshimu na kulinda katiba.
Kuapa kuilinda katiba na kuilinda katiba kweli kweli ni vitu viwili tofauti kabisa, je anailinda??? usinijibu
 
HABARI: Rais John Magufuli amesema hawezi kukaa kwenye urais miaka 20 kama alivyoombwa na Mbunge, Steven Ngonyani kwa kuwa ni kinyume na katiba.

Mh Rais anahutubia muda huu hapa Korogwe Stand,Tanga.
 
Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.


Watanzania kwa uzushi acha,typical characteristic of small minds.Mtu unajiuliza,why did they speculate.
 
Back
Top Bottom