Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

HABARI: Rais John Magufuli amesema hawezi kukaa kwenye urais miaka 20 kama alivyoombwa na Mbunge, Steven Ngonyani kwa kuwa ni kinyume na katiba.

Mh Rais anahutubia muda huu hapa Korogwe Stand,Tanga.
Labda kwa mbinu za kamati za Ufundi kama uganda, Zimbabwe na Rwanda lakini kwa njia za kawaida ni vigumu sana tambua watanzania wanataka maendeleo sio visasi kukomoana kubambikiana kesi na kuchukua pesa za Umma kuwanunua madiwani wa chadema na kumpatia Lipumba adhoofishe Ukawa, hakuna viwanda tena pesa yote inatumika kukandamiza Demokrasia.
 
Ili asionekane mlevi wa madaraka,dikteta!!! Huku wanaosema atawale milele wanavunja ratiba na yeye anajua ni kinyume cha katiba,aamuru wakamatwe kwa uchochezi basi kama habariki hizo hadaa!!!
 
HABARI: Rais John Magufuli amesema hawezi kukaa kwenye urais miaka 20 kama alivyoombwa na Mbunge, Steven Ngonyani kwa kuwa ni kinyume na katiba.

Mh Rais anahutubia muda huu hapa Korogwe Stand,Tanga.
Kama anaikumbuka katiba na aliapa kuiteteana kuilinda mbona anafanya mengine ambayo anaikiuka hiyo katiba [ mfn KUZUIA MIKUTANO YA KISIASA KWA WAPINZANI ]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aibu ya Mzee Mwinyi,Maji Marefu na taka taka zote zilizokuwa zinapigia upatu nyongeza ya muda wa muhula by 2025!
Halafu yule ndezi wa OP ya BAKI MAGUFULI aweke tako lake chini...
2025 tunawaletea jembe lingine!
Inaonyesha jinsi ulivyo shallow au haukumuelewa mzee Mwinyi, alisisitiza kabisa KAMA KATIBA ingeruhusu!!
 
JAMANI WAFANYAKAZI WASERIKALI NA WAFANYABIASHARA NAOMBA TUVUMILIE KWANI IMEBAKI MIAKA 8 TU.BAADA YA HAPO TUNARUDI KULA NA KUPIGA DILL KAMA ENZI ZA KIKWETE. SAFI SANA MAGUFURI


Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.

 
Watanzania tutaandana kuibadilisha katiba, watanzania ndo wenye katiba hivyo tutaibadili. Kama ataendelea na spidi hii au ataiongeza zaidi, tutaibadilisha katiba kwa ajili yake tu kisha tutairejesha atakapotaka kupumzika.
 
Tuna Subiri Utekelezaji Wa Kauli.
Maana Huyu Mtu Si Wakumuamini
Hata Kidogo. Alisema Hatochagua
Wapinzani Katika Utawala Wake.
Lakini Hakumbuki Kauli Yake Sasa
Anateua Na Kuita Wengine Vilaza.
Naomba Post Hii Iwekwe Kwenye
Kumbukumbui Za JF.
Just A Matter Of Time.
Mpinzani gani amemteua?
 
Wajua akitaka kuongezewa anawatuma wapambe wake wanaanzisha vugu vugu.....la kutaka aongezewe muda....baada hapo anapelekwa hoja bungeni.....!!! Ikipita amebadilisha katiba na yeye atasema wabunge na wananchi wamebadilisha katiba!!!!! Bado hajajibuhoja bado.......
 
Back
Top Bottom