Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Hata mbowe alisema anaheshim Katiba na hato ongeza muda ila vijana tukamchukulia form so acha magufuli na yeye vijana wachange hela ili wamjazie fom
Mbowe anahusianaje na Urais wa Tanzania
 

 
Habari za jioni wanajamvi?

Ili kuwaelewa hawa watu wanao sema Rais Magufuli aongezewe muda lazima na wewe uwe certified fool. Unajua kwanini? Maana yake ni moja tu kuwa wamesha ona kuwa Maguli ameshinda uchaguzi 2025 na ameshinda tena 2030!!

Maana yake ni kwamba aidha watafuta mfumo Wa vyama vingi au wataimarisha kitengo cha wizi wa kura. Kwa kupigiwa kura na watanzania hawezi kupata hata 15% ya kura zote. Wakiamua kuiba au kupora uchaguzi wanatutafuta ubaya. Yaani hatutakubali kuwa wajinga mara mbili. Wanacho jivunia nasisi tutanunua ulaya. ONCE BITTEN TWICE SHY. Wakifuta vyama vingi sijui kama patakalika.
 
Unasema ww usitunzungumzie wengine bhn na kauli za uwingi uwe. Unaangalia mkuuuu
 
Actually siwahusishi certified foo l Najua Tanzania imejaa watu watu wenye akili timamu kuliko slow learners au to precise bendera fuata upepo.
Sio wote fool mkuu usichukulie kila mtu fool na usion nasema hvy uwez kusema hatutakubal sasa hapo umeongea wa au na ukiona utajibu vibaya kam hv kukataa kmya busara pia
 
Mamlaka ya serikali iko mikononi mwetu wananchi
Na Kura ndio zitaamua kama inafaa au haifai
 
Mbona hujui kuandika?
Umeona mam D alichojibu ety maamuz ya kutak kubaki yako mikonon mwa mwanach na sio ww
---+> sasa kuja na kusema hatutakubal umeingia kote katika vichwa vya watanzania ukaona wanafikiri kam ww
 
Kumbe ni kuheshimu katiba na siyo lazima
 
Mungu akubariki ulieandika hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…