Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Ukiona CCM wanampigia Magufuli kampeni ya kukaa madarakani mda mrefu ujue washaona hakuna dalili nzuri kwa chama chao chaguzi zijazo. Magufuli amebaki mkombozi wao pekee akitoka yeye hakuna wa kureplace nafasi yake. Wote huo ni uoga kwan CCM inafifia siku hadi siku
 
kwa Tanzania ni miaka kumi tu.. hiyo mitano huwa tunafanya tu kuwaridhisha wahisani wetu
 
Hapa Bongo wale wavaa Kaunda suti wanakutoa kinguvu...kafie mbele kama Komando
 
Safi sana. Amewaumbua wapumb*&$# wengi waliojaa nchini!
Sio wapumbavu. Tukubali na tukili kuwa Afrika haita pata Marais kama hawa Thomas Sankara, Gerry Rolling na Magufuli tena. Hawa wanasifa ambazo ziko sawa: uzalendo, kupenda wananchi wenzao na tatu sio corrupt.

Na ndiyo watu wanao mpenda Magufuli wangeomba atawale mpaka lufa kwake kwani miaka 10 haitatosha kuleta maendeleo aliyeyakuaudia. Kwa wale wasio mpenda hiyo inajulikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ameshajiapisha tayari kwamba Ni mshindi 2020?? Haoni kwamba Kwa kusema ataondoka baada ya Moana 10 Ni kiburi na kulidhihirishia taifa kwamba uchaguzi sio hoja ya msingi kwake?

Je Magufuli ametumia tathmini gani iliyompa uhakika kwamba 2020 lazima ashinde? Je Ni bomba la mafuta toka Uganda to Tanzania?

Magufuli acha kusigina katiba nani amekuambia tayari Wewe Ni Raisi wa miaka 10? Ujue viburi kama hivi Mungu huvifanya viishie kwenye fedheha....

Hata kusema nitaondoka baada ya miaka 10 Ni usanii kumfunika mtanzania asiyefikiri mbali asijue adhma yako ya moyoni.....Tungeweza kuupasua moyo wako tukaona unachokiwaza physically tungegundua uko nyuma ya haya Mambo yote.....mfano Magufuli baki.
Bado tu una imani na Lowasa?
 
Tuna Subiri Utekelezaji Wa Kauli.
Maana Huyu Mtu Si Wakumuamini
Hata Kidogo. Alisema Hatochagua
Wapinzani Katika Utawala Wake.
Lakini Hakumbuki Kauli Yake Sasa
Anateua Na Kuita Wengine Vilaza.
Naomba Post Hii Iwekwe Kwenye
Kumbukumbui Za JF.
Just A Matter Of Time.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asituzingue...yataandaliwa maandamano ya kumuomba aongeze muda...ataongeza tu kama kina Kagame na museveni huwa wanajidai wananchi ndio wanawataka.....
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.


Katiba yetu inakuruhusu miaka mitano tu, baada ya hiyo iunaweza ukagombea endapo utapendekezwa ambapo unaweza ukashindwa (kitu ambacho haitatokea) au ukashinda. Hivyo kauli yake imezingatia swala la kutoteuliwa na kushindwa halipo.
 
Amesema yeye ni Rais aliye apa kulinda na kutumikia katiba.
Hata Mtani wake Ngonyani aliposema aongezewe miaka 20 amemuelewa kuwa ana maanisha aongezewe miaka 20 ya kuishi...
Kwa hiyo yeye ataendelea kuheshimu na kulinda katiba.
Shangilia!!!!!
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.


Inakutosha hiyo uliyoiba haikuwa haki yako anyway! 2020 tu basi goodbye!! hakuna la mkono wala la mguu
 
Kauli tu haitoshi kuwazima wenye viherehere, anapaswa kuwakemea. Hiyo ni sawa na rushwa ambayo iko kwa sura ya sifa, yaani ni rushwa ya sifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.

 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.


Hata museveni kabla ya uchaguzi akiulizwa kama atabadili katiba ili aendelee kuwa rais huwa anang'aka muda ukifika anagombea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom