Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Kuhusu hili Kiranga aliwahi kuongea kitu nilimuelewa sana
Screenshot_20210207-213332.png
Screenshot_20210207-213350.png
 
Hatuwezi kupoteza bahati ya kuwa na kiongozi mwadilifu na mcha Mungu eti kwa kuwa katiba itakiukwa wakati sisi ndio wenye mamlaka na katiba hiyo. Viongozi aina ya Magufuli si wa kuwaachia kirahisi, hawapatikani kwa urahisi!! Ukiona watu kama mzee Butiku wanaunga mkono hoja ujue kuna maslahi ya kitaifa hapo!
Mafisadi kama mlikuwa mnasubiri miaka kumi iishe, imekula kwenu!!
Mimi ni RAIA Wa kawaida sina zaidi ya mlo wangu Wa kila Siku ila sifanyi Kazi ya ubatili,labda wewe unakula kwa nguvu za magufuli , akiondoka huna mkate. Yaani mnatumia neno ufisadi kuficha Wa kwenu.

Narudia tena JPM akimaliza aondoke tutamuenzi kwa Kazi njema, wale mtakaokosa mkate akiondoka shauri yenu tafuteni Kazi nyingine mtakula.

J. Kikwete did a greater task than Magufuli and he retired,. .hivi Nyerere mnayemuenzi kinafiki angekuwa hai angeunga mkono upuuzi huo , aongezeweee. Wewe na mnaoshabikia ni uzao Wa nyoka msioitakia Tz mema.

JPM anazo kasoro kubwa ambazo nyie hao hao akiondoka mtaziimba kwa sauti. Uchumi chini ya JK ulikuwa 7% na Leo tuna 5.5% hadi mnabishana na IMF kuhusu ukuaji kana kwamba Leo ndio IMF ni maadui wetu . kwa nini shirika tuliloshirikana tangu miaka ya 1985 tutofautiane Leo . shame upon you.
 
Kuhusu hili Kiranga aliwahi kuongea kitu nilimuelewa sanaView attachment 1697045View attachment 1697048
Ni sawa lkn ikiwa kuna viashiria vya wizi basi tusizuie huo wizi kufanyika bali tusubiri wizi ufanyike halafu tulaumiane.Au tuanze kumtafuta mwizi ambaye taarifa na mipango yake ya wizi tulishaijua mapema.

Pili, nilicholeta si kumhukumu bali ni kutokana na movement inayoendelea. Kuna ubaya gani kusikia msimamo wake rasmi. Au unataka tuamini kuwa analazimishwa, kumlazimisha maana yake hataki. Na km hataki atoke hadharani na aseme sitaki na mjadala uishe.
 
Huyu Mh Rais akikatalia madarakani muda wake ukiisha ni heri nchi tuitie kiberiti hakuna namna anapaswa aondoke tu.
 
CCM wanataka aongezewe mdaa. CHADEMA awatikii. Dawa ni kura ya maoni tu.
 
Kafirwe mkundu wako na waislamu umpeleke na mama yako
Magaidi yakiwa yanamchinja binadamu na yakiwa yana press button ya bomu la kujiripua huwa yanatamka ALLAH AKBALU alafu mtu anakuja kuniaminisha kuwa uislam na ugaidi ni vitu viwili tofauti mwisho wa siku sioni hata TAMKO MOJA kutoka jamii na taasisi za kiislam zikilaani matumizi mabaya ya dini ya kiislam.
SORRY KWA KUTOKA NJE YA MADA ILA FIKRA ZA MSOMAJI ZINAWEZA KULINK nilichoandika na mada ya mtoa post.
 
Jiwe a.k.a Zanzimana ndio master mind wa kila kitu anapima upepo aone, hofu yake kuu akitoka madarakani ataishije na aliowanyanyasa , funga , dhulumu, dhalilisha , kejeli , pora yeye na vibaraka wake wanaumiza vichwa Sana mapimbi wakubwa.
 
Mkuu hofu yako ni nini? Rais alishasema Mara kadhaa kuwa hatazidisha hata siku moja ,muda wa kunga'atuka ukifika atatoka,atoke hadharani aseme nini ilikhali kitu chenyewe alishakisemea Mara kadha,by the way huwezi zuia hisia za watu ,kuna watu wanampenda rais wetu,kama wewe unachuki naye basi umekwisha.

Kingine Mimi nilidhani unalalamika juu ya rais kuzuia uchaguzi usiwepo,lakini cha kushangasha hata kama mheshimiwa rais atarefusha muda wake wa kukaa madarakani bado kuna uchaguzi mkuu,wewe kama unachuki naye msubiri wakati wa uchaguzi mkuu us usimpigie kura hapo utakuwa umemmaliza kabisa.

Kila siku mnalilia demokrasia lakini hata hamjui demokrasia inataka nini,kwa taarifa yako hiyo ndo demokrasia yenyewe.
Hoja iko kwenye maneno haya "tumlazimishe hata kama hataki"

Mwisho wa siku Ni kwamba nilikuwa sitaki lakini Hawa Watanzania wanyonge wametaka niendelee.

Mkuu huu ni mchezo wa kiufundi wa siasa na wanasiasa.Hii Ni ishu iliyopangwa ikapangika.

Mm nimeleta hili kupima utashi na ukweli wa kauli zake kwamba hataongeza muda. Na ujue kina Ndugai kwa sasa wako kazini kutekeleza hili ndani ya mwaka huu.

Tunataka kauli thabiti kutoka kwake ili hili liishe na asisikike yeyote tena na katiba kuheshimika.
 
Anapima upepo. Narudia tena anapima upepo. Ndiyo maana kila akijitokeza hazungumzi kwa msisitizo na wala hajawahi kukemea hao washenzi wenye haya mawazo. Anapima upepo akiona upinzani umekuwa mkubwa na hawezi kutimiza ndoto yake basi aonekane kama hakuwa na hiyo nia. Marais wote wanaotaka kubaki madarakani huwa wanatumia hiyo njia.
Na lengo la kufuta upinzani hasa ilikuwa Ni kubaki CCM pekee ili hili lifanyike kwa urahisi na ufanisi.
 
Mimi naomba Magufuli tumuongezee mda hadi miradi aliyoinzisha imalizike Amesubutu kwakiasi kikubwa kuipeleka Tanzania kuingia uchumi wakati
 
Kwa jinsi walivyogundua watanzania wanaogopa sana hilo jambo la miaka zaid naimani sahivi litakua ndiyo jambo lao la kufamyia spinning kila wanapotaka kufanya jambo lao
 
Hilo jambo sio kwamba tu Mzee Meko yuko nyuma yake, yuko mbele na kati. Yeye ndiye designer and engineer wa mpango mzima.

Jipe muda ndugu utaona mambo.
Alisema muda ukiisha nitaondoka ili kuaminisha umma hivyo.Sasa kawatuma waje kusema TUTAMLAZIMISHA HATA KAMA HATAKI, ili mwisho wa siku ionekane ni wananchi walitaka hivyo.very simple. Haihitaji akili kubwa kunga'mua hilo.
 
Ndungu zangu Watanzani sio kosa wala sio zambi kumuongezea muda wakuitawala Tanzania Raisi Magufuli ili aweze kumalizia miradi aliyoianzia .

Mradi kama reli yakisasa nimuhimu sana katika taifa letu la Tanzania mradi huu ili uishe bado unamhitaji Raisi magufuli pekee ni Raisi mwenye uthubutu mkubwa sana.

Mradi wakufua umeme nimradi mkubwa sana na mhimu katika uchumi watanzania wapo Marais waliopita wala hawakuweza kuthubutu kuanzisha mradi huu Raisi magufuli kwakuona umhimu wa mradi huu aliamua kuuanzisha japo wapo baadhi ya Watanzania wenzetu walisema haitawezekana,niwaombe watanzania wenzangu tumuombe Raisi wetu mpendwa aendelee kuitawala Tanzania hadi mradi huu ukamilike hata kama itachukua miaka 20.

Niraisi pekee aliethubutu kuhakikisha watoto wamaskini wanasoma bure kwakutoa elimu bure, leo hii watoto ambao walikua wanalipishwa ada wanasoma bure hakika unastahili kuongezewa muda.

Umejenga vitua vya afya kila kona ya Tanzania hongera sana, umeleta nizamu kwa watumishi wa uma, umelinda rasilimali zetu yakiwemo madini yetu ili yawanufaishe Watanzania wote bila kuangalia vyama vyao au makabila yao.

Ulioyafanya nimengi sana, Niwakati Watanzania wote tuungane tupaze sauti ili kumuomba Magufuli aendelee kuitawala tanzania ,tupaze sauti ili tuifanyie marekebisho katiba yetu, ikibidi temu ya kuongoza iongezeke kutoka miaka mitano hadi miaka nane au saba
Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Raisi Magufuli umpe afya njema na amani tele.
 
Mkuu hofu yako ni nini? Rais alishasema Mara kadhaa kuwa hatazidisha hata siku moja ,muda wa kunga'atuka ukifika atatoka,atoke hadharani aseme nini ilikhali kitu chenyewe alishakisemea Mara kadha,by the way huwezi zuia hisia za watu ,kuna watu wanampenda rais wetu,kama wewe unachuki naye basi umekwisha...
Unafikiria kwakutumia nini?
 
Back
Top Bottom