Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Kishasema Mara nyingi tu.
Sasa hivi hili vuguvugu ndiyo limekuwa dhahiri.Wanasiasa Ni vigeugeu.Na za chinichini zinasema watu wako kazini kwa uwezeshi wa ofisi ya spika.
Wanasiasa wanaongea kwa timing kulingana na wakati.Leo ili kuipa hoja yao nguvu imekuwa tutamlazimisha atake asitake kwa maana kwamba hataki Ila watamlazimisha.Yaani wanamtoa kwenye hoja na lawama wanamweka pembeni.
Kwamba hataki lakini sisi tunahitaji asalie madarakani .Wamejipanga.
 
Sasa hivi hili vuguvugu ndiyo limekuwa dhahiri.Wanasiasa Ni vigeugeu.Na za chinichini zinasema watu wako kazini kwa uwezeshi wa ofisi ya spika.
Wanasiasa wanaongea kwa timing kulingana na wakati.Leo ili kuipa hoja yao nguvu imekuwa tutamlazimisha atake asitake kwa maana kwamba hataki Ila watamlazimisha.Yaani wanamtoa kwenye hoja na lawama wanamweka pembeni.
Kwamba hataki lakini sisi tunahitaji asalie madarakani .Wamejipanga.
Wasilete mchafuko nchini mwetu bure.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, ninamwomba Mh. Rais Magufuli atoke hadharani na atoe kauli kuhusu hili suala la watu wachache wenye maslahi binafsi kutaka kucheza na katiba yetu. Wakitaka aidha kuondoa ukomo wa muda wa uraisi au wakitaka kumwongezea muda wa kusalia madarakani.

Ikiwa MH Rais hayuko nyuma ya hili Jambo la kiwendawazimu na ikiwa anaiheshimu katiba aliyoapa kuilinda basi kwa heshima namwomba atoke hadharani rasmi na awakemee wote wanaosuka mpango huu. Tena wakijinadi kwamba watamlazimisha Mh.Rais.

My.Rais ukiiheshimu katiba na kipindi cha miaka yako kumi kikiisha ukaondoka,basi utaondoka kwa heshima iliyotukuka.

MH.Rais endapo hutatoka hadharani ukalizungumzia hili basi sisi wananchi tutaamini aidha uko nyuma ya mpango huu na kama hauko nyuma ya hili na hujawatuma Hawa watu basi tutaamini unapenda hili lifanyike.

Nb: Jambo ambalo nilikuwa silijui Ni kwamba kuna watu,mtu au kikundi cha watu kwa Nia zao nzuri au ovu wana uwezo wa kumlazimisha Rais atekekeze matakwa fulani tena apende au asipende. Na mpaka sasa hivi sijui hili limekaaje kikatiba au kisheria.

Nini mtazamo wako.
Hata mbowe alisema anaheshim Katiba na hato ongeza muda ila vijana tukamchukulia form so acha magufuli na yeye vijana wachange hela ili wamjazie fom
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, ninamwomba Mh. Rais Magufuli atoke hadharani na atoe kauli kuhusu hili suala la watu wachache wenye maslahi binafsi kutaka kucheza na katiba yetu. Wakitaka aidha kuondoa ukomo wa muda wa uraisi au wakitaka kumwongezea muda wa kusalia madarakani.

Ikiwa MH Rais hayuko nyuma ya hili Jambo la kiwendawazimu na ikiwa anaiheshimu katiba aliyoapa kuilinda basi kwa heshima namwomba atoke hadharani rasmi na awakemee wote wanaosuka mpango huu. Tena wakijinadi kwamba watamlazimisha Mh.Rais.

My.Rais ukiiheshimu katiba na kipindi cha miaka yako kumi kikiisha ukaondoka,basi utaondoka kwa heshima iliyotukuka.

MH.Rais endapo hutatoka hadharani ukalizungumzia hili basi sisi wananchi tutaamini aidha uko nyuma ya mpango huu na kama hauko nyuma ya hili na hujawatuma Hawa watu basi tutaamini unapenda hili lifanyike.

Nb: Jambo ambalo nilikuwa silijui Ni kwamba kuna watu,mtu au kikundi cha watu kwa Nia zao nzuri au ovu wana uwezo wa kumlazimisha Rais atekekeze matakwa fulani tena apende au asipende. Na mpaka sasa hivi sijui hili limekaaje kikatiba au kisheria.

Nini mtazamo wako.
Katiba iliyopo ina provision inayoruhusu hilo. Hayupo atakayebadilisha Katiba. Magufuli anatusikiliza sisi wananchi, siyo sisi kumsikiliza yeye. Sisi ndiyo mabosi wake
 
Mkuu hofu yako ni nini? Rais alishasema Mara kadhaa kuwa hatazidisha hata siku moja ,muda wa kunga'atuka ukifika atatoka,atoke hadharani aseme nini ilikhali kitu chenyewe alishakisemea Mara kadha,by the way huwezi zuia hisia za watu ,kuna watu wanampenda rais wetu,kama wewe unachuki naye basi umekwisha.

Kingine Mimi nilidhani unalalamika juu ya rais kuzuia uchaguzi usiwepo,lakini cha kushangasha hata kama mheshimiwa rais atarefusha muda wake wa kukaa madarakani bado kuna uchaguzi mkuu,wewe kama unachuki naye msubiri wakati wa uchaguzi mkuu us usimpigie kura hapo utakuwa umemmaliza kabisa.

Kila siku mnalilia demokrasia lakini hata hamjui demokrasia inataka nini,kwa taarifa yako hiyo ndo demokrasia yenyewe.
 
Atoke malangapi ilihali alishasema mkuu usimchoshe raisi wawanyonge.
 
Magaidi yakiwa yanamchinja binadamu na yakiwa yana press button ya bomu la kujiripua huwa yanatamka ALLAH AKBALU alafu mtu anakuja kuniaminisha kuwa uislam na ugaidi ni vitu viwili tofauti mwisho wa siku sioni hata TAMKO MOJA kutoka jamii na taasisi za kiislam zikilaani matumizi mabaya ya dini ya kiislam.
SORRY KWA KUTOKA NJE YA MADA ILA FIKRA ZA MSOMAJI ZINAWEZA KULINK nilichoandika na mada ya mtoa post.
Mkuu jamaa alishasema kuwa hana huo mpango sasa mbona mnakuja tena na kauli hizo hizo, pia mnaanza kutoa mifano ya kumchafua Imani za wenzenu kwa faida yako kiimani.
Je wale antbaraka kule Africa ya kati kanisa au wakiristu walijitokeza na kukemea kuwa hawahusiki wao?
Acha chuki mkuu.
 
Haya yote tuliyatarajia kuja kutokea. Sema tu hatukuwahi kuwaza kama yatakuja yatokee mapema kiasi hiki.

Naamini na yeye anapenda aendelee. Role model wake Mu 7 ameshafuta miaka 35! Na bado ameanza ngwe nyingine. Madaraka ni matamu sana bila shaka! Halafu inaonekana yanalevya sana.
 
Al
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, ninamwomba Mh. Rais Magufuli atoke hadharani na atoe kauli kuhusu hili suala la watu wachache wenye maslahi binafsi kutaka kucheza na katiba yetu. Wakitaka aidha kuondoa ukomo wa muda wa uraisi au wakitaka kumwongezea muda wa kusalia madarakani.

Ikiwa MH Rais hayuko nyuma ya hili Jambo la kiwendawazimu na ikiwa anaiheshimu katiba aliyoapa kuilinda basi kwa heshima namwomba atoke hadharani rasmi na awakemee wote wanaosuka mpango huu. Tena wakijinadi kwamba watamlazimisha Mh.Rais.

My.Rais ukiiheshimu katiba na kipindi cha miaka yako kumi kikiisha ukaondoka,basi utaondoka kwa heshima iliyotukuka.

MH.Rais endapo hutatoka hadharani ukalizungumzia hili basi sisi wananchi tutaamini aidha uko nyuma ya mpango huu na kama hauko nyuma ya hili na hujawatuma Hawa watu basi tutaamini unapenda hili lifanyike.

Nb: Jambo ambalo nilikuwa silijui Ni kwamba kuna watu,mtu au kikundi cha watu kwa Nia zao nzuri au ovu wana uwezo wa kumlazimisha Rais atekekeze matakwa fulani tena apende au asipende. Na mpaka sasa hivi sijui hili limekaaje kikatiba au kisheria.

Nini mtazamo wako.
Alishasema kitambo, tens zaidi ya Mara mbili kuwa, kikiisha kipindi chake ataondoka! Sasa mnalalamika nini?
 
Huyo haondoki dalili ni hizi 1 uchaguzi wa serkali za mitaa 2 uchaguzi mkuu 3 sababu za hovyo za kukosana na nchi zingine. Ukiunganisha hizo unakuja na jibu kwamba kitu gani kinatafutwa.
 
Wasilete mchafuko nchini mwetu bure.
Rais anaweza kuwa amefanya Kazi kubwa, lakini hata waliomtangulia walifanya Kazi kubwa kama yake au zaidi kutegemea mtazamo Wa MTU binafsi. Hivi J K aliyejenga barabara kilomita zaidi ya elfu saba za lami , akajenga shule za kata zaidi ya 3000. Akapandisha mishahara ya wafanyakazi kila mwaka, akakuza diplomasia ya nchi yetu hata Tz ikawa nyota duniani, kweli alifanya Kazi ndogo? . mbona hatukusikia aongezewe aongezwe? . Raid ameishatamka wazi hapendi kuongezewa. Ila wnaofaidi sana awamu hii ndiyo wameshika Bango aongezewe . kama sio kwamba wanatumwa sielewi. Of all the people Butiku nilimuheshimu sana , lakini Jana nimemtoa kwenye hesabu za kwenye busara. Eti hili jambo linaongeleka, I beg to differ with Butiku. Amenunuliwa na yeye eti Jana kavaa nguo ya kijani bluu afanane na wapiga debe Wa jpm. Tumaini limebaki kwa Warioba aliyesema , "ukiona katiba inabadilishwa ili kiongozi Fulani aongezewe muda basi ujue hiyo kiongozi ANAPENDA kuongeza muda wake". Neno tutamlazimisha ni nonsense huwezi kumlazimisha MTU mwenye madaraka yote nchini . Kikwete ameshakuwa RAIA Wa kawaida, mpira umebaki mikononi mwa JPM, akipenda ataongeza, akipenda ataachia kila kuna viashiria vya watu kutumwa naye wadai aongezewe. ila ajue kuwa wakulima na wafanyakazi wote huku chini wanaomba 2025 ifike aondoke. Hana jipya wala hata kuwa nalo maana na anayoyafanya ni sasa na MTU mwenye mshahara mdogo awalishe watoto dona na mchicha miaka 10 ili ajenge nyumba nzuri sawa na mwenye kipato kikubwa. Hatuwezi kumsifu kwa kujenga nyumba Bali tutamlaumu kwa kuidhki familia yake hadi wanapata utapia mlo. Kuna wajinga wanatoa mifano ya China na Russia eti viongozi wanaendelea kwa mapenzi ya watu, ni uongo. Russia Putin anaua wapinzani hadi kwa sumu ugenini. Na China aliua vijana 1990 pale Tian men ndio maana watu walinywea.hadi Leo . mbona hawatoi mfano wa India the largest democracy nao wametushinda kimaendeleo. Korea kusini kuna democracy, na hong Kong, na singapore zote zina democracy na bado zinapeta kimaendeleo. Imefika mahali mzee Butiku anatoa mfano Wa Merkel kuongoza miaka 16, this was joke. Merkel anaongoza serikali ya Muungano miaka yote kama katiba yai inavyoeleza, wale hawana winner take all. Msitumie uchovu Wa Tz kutojua international affairs kutudanganya wote haiwezekani ndio maana nimesema kuna viashiria vya kutumwa. Tumeishatambua mnatumwa. Mimi nasema JPM katimiza wajibu wake, come 2025 baba Wa watu apumzike kwa heshima kama waliomtangulia, tutamuenzi, kinyume cha hapo kunajisi katiba aliyoapa kuilinda ni ubatili kwake binafsi.
 
Huo ni upande mmoja.Inawezekana Kuna kikundi cha watu wachache kwa maslahi yao wanataka hili lifanyike.

Na kwasababu inaonyesha kwa Sasa wamejipanga vilivyo ndiyo tunahitaji MH.Rais atoke hadharani aidha aunge mkono au akatae na awakemee waheshimu katiba.

Sioni mantiki ya mtu kusema tutamlazimisha,pia upande mwingine Ni kauli ambazo zimepangwa kutokea hivyo,kisingizio kikiwa akamilishe aliyoanzisha as if kwamba ktk Watanzania wote milioni 60 hakuna anaweza kuongoza hii nchi kwa ufanisi isipokua Mh. Magufuli.
Rais siyo mtu anayependa kudharauliwa na kufanyiwa dhihaka, huu ujasiri wa kusema hata hataki tutamlazimisha katika jambo ambalo ameshaliwekea msimamo wake unatia shaka sana,asipowakemea hawa wachumia tumbo wanaomtweza kwa nia ya kukidhi njaa zao tutaamini kuwa wana baraka zake.
 
Mkuu hofu yako ni nini? Rais alishasema Mara kadhaa kuwa hatazidisha hata siku moja ,muda wa kunga'atuka ukifika atatoka,atoke hadharani aseme nini ilikhali kitu chenyewe alishakisemea Mara kadha,by the way huwezi zuia hisia za watu ,kuna watu wanampenda rais wetu,kama wewe unachuki naye basi umekwisha.

Kingine Mimi nilidhani unalalamika juu ya rais kuzuia uchaguzi usiwepo,lakini cha kushangasha hata kama mheshimiwa rais atarefusha muda wake wa kukaa madarakani bado kuna uchaguzi mkuu,wewe kama unachuki naye msubiri wakati wa uchaguzi mkuu us usimpigie kura hapo utakuwa umemmaliza kabisa.

Kila siku mnalilia demokrasia lakini hata hamjui demokrasia inataka nini,kwa taarifa yako hiyo ndo demokrasia yenyewe.
Una uhakika na maneno yako? Hajawahi kushinda Urais bali mara zote alisaidiwa na Vyomb vya Dola k utangzwa mshindi.

Kuna usemi "Ukimuona kifaranga juu ya chungu, mama yuko chini"
 
Katiba iliyopo ina provision inayoruhusu hilo. Hayupo atakayebadilisha Katiba. Magufuli anatusikiliza sisi wananchi, siyo sisi kumsikiliza yeye. Sisi ndiyo mabosi wake
Kwahiyo sisi wananchi ndiyo tunataka asalie madarakani.
 
Back
Top Bottom