Rais Magufuli: Rais Kenyatta alinipigia simu, tulizungumzia mgogoro uliopo mipakani

Rais Magufuli: Rais Kenyatta alinipigia simu, tulizungumzia mgogoro uliopo mipakani

Rais John pombe Magufuli leo amesema Rais wa Kenya Mheshimiwa Uhuru Kenyatta alimpigia simu na kumpa pole

Pia Rais Magufuli amesema kuwa wamezungumzia mgogoro ulipo mipakani mwa nchi hizi mbili na kuamua mawaziri wa pande zote mbili wanaohusika na Uchukuzi kukutana.
Hivi lipo LIVE au ndio wapo LIVE na maneno ya Rais kuwaambia dereva wake hana Corona...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya has the least skilled diplomats in the region kuomba poo sio jambo la kushangaza kwa mtu ambae afikirii countermeasures za mwenzake kabla ya kukurupuka.

Hii sio mara ya kwanza na wala aitakuwa ya mwisho Kenya kukurupuka na kuomba yaishe. You can’t be influenced by emotions when making major decisions.
 
kenyata ndo kapiga cm kuomba poo kwa magu.alafu magu kawatupia watendaji wake kama kabudi na ma rc,ambao kwa sasa wapo bize mpaka baada ya wiki nne,

kwa hiyo wakenya mtakaa na njaa mpaka baada ya mwezi hivi,
kwa sasa kuleni panzi na mirungi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muakilishi TZ @MuakilishiTZ · 18m

“Juzi nilipigiwa simu na Kenyatta nikiwa bado Chato, akanipa pole na kujielezea mambo ya corona kidogo, leo pia mimezungumza nae pia, kuna kimgogoro kule mpakani mwa Kenya, Kenya ni Marafiki zetu, corona isiwe chanzo cha migogoro, sisi Marais tumeyamaliza”-Rais Magufuli #Singida

Kenyatta amemtuma balozi wake Tanzania kuomba msamaha

Amemuagiza waziri wa mambo ya nje amtafute Kabudi, Kabudi akamlima week

Ameona haitoshi, kajitoa muhanga kumvutia waya JPM one time

Nayo Ameona haitoshi kaamua tena kumvutia waya kwa mara ya pili 😂😂😂 JPM kaona sasa hii kero ameamua kujipa ziara ya kushtukiza ili amuoneshe Kenyatta kwamba hayupo sababu ya kupokea simu zake 😂😂😂😂

Mwaka huu wenu, mtakoma kuchezea sharubu za African Giant 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 


Rais Magufuli akiwa njiani toka Chato leo mchana alisimama akiwa Singida na kuzungumza na wananchi na kudokeza kwamba rais wa Kenya Uhuru Kenyatta anempigia simu akiwa Chato Mara mbili na kumuoma wayamalize kwa amani matatizo ya mpakani yaliyosababishwa na Kenya kufunga mipaka.

Tulikwisha sema kwamba Kenya lazima wataomba msamaha mwisho wa siku. Tanzania ni baba lao mbele ya Kenya. Povu ruksa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kenyata ndo kapiga cm kuomba poo kwa magu.alafu magu kawatupia watendaji wake kama kabudi na ma rc,ambao kwa sasa wapo bize mpaka baada ya wiki nne,

kwa hiyo wakenya mtakaa na njaa mpaka baada ya mwezi hivi,
kwa sasa kuleni panzi na mirungi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua unacho andika?

In God we Trust
 

Rais Magufuli akiwa njiani toka Chato leo mchana alisimama akiwa Singida na kuzungumza na wananchi na kudokeza kwamba rais wa Kenya Uhuru Kenyatta anempigia simu akiwa Chato Mara mbili na kumuoma wayamalize kwa amani matatizo ya mpakani yaliyosababishwa na Kenya kufunga mipaka.

Tulikwisha sema kwamba Kenya lazima wataomba msamaha mwisho wa siku. Tanzania ni baba lao mbele ya Kenya. Povu ruksa.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kama unaamini kilaza kama jiwe unafaa upimwe akili wewe. kuingia Kenya lazima upimwe! hapo hatulegezi! kama unabisha njoo ujaribu kuingia.
 
Back
Top Bottom