Rais Magufuli: Rais Kenyatta alinipigia simu, tulizungumzia mgogoro uliopo mipakani

Rais Magufuli: Rais Kenyatta alinipigia simu, tulizungumzia mgogoro uliopo mipakani

Huwezi kushindana na mwenye chakula

Sent using kidole gumba
 
Na Tuliwaambia Tanzania sio nchi ya kucheza nayo. Tulisema watakuja kwa machozi na magoti.


Kiko wapi
 
LOL wewe tulia wakati Rais wako analilia msamaha 😂😂😂
Mimi hata usinimind nimetulia, wewe njoo mpakani uthubutu kuingia Kenya. tutapima hadi nyeti za mke wako! kama unabisha njoo.
 
Na kabla ya kufungiwa mpaka Uhuru na Raila woote walikuwa busy kumtafuta! Usicheze hata kidogo na mwenye kukulisha na kukufanya uende choo!
Kweli kabisa, unajua uhuru anamuogopa sana JPM, kama ni mtaalamu wa kusoma body language ukiangalia Ile video ya uhuru akiwa Chato alikua uncomfortable kabisa japo anataka mazoea na Magufuli kichizi This time alimtumia Odinga exactly kabla hata ya hili saga, Magu hakua na time nao wote this time 😅😅😅 mpaka Odinga kaenda kushtaki BBC ili tu kumalert incase wasaidizi wake hawakumpa taarifa, lakini Magu ndio kwaaanza hakua na time Sipati picha huo muweweseko wa Kenyatta, Magu alivyopokea simu yake 😅😅😅 na ndio maana hakuamini ikabidi apige upya kudhibitisha kama kweli hakua anaota 😆😆😆😆😆
 
Mtaendelea kunywa maziwa ya brookside...ni ya JamiiForums.com 😂😂😂
 
Umepaniki ndugu😂😂😂😆
kuna nini cha kupanick hapa?? akili za kajamba wa ccm kama wewe ni fupi sana ndio maana unaweza kuamini upupu wa meko.Njoo mpakani ujaribu kuingia Kenya uone kama hatutakupima hadi akili.
 
Back
Top Bottom