Rais Magufuli: Rais Kenyatta alinipigia simu, tulizungumzia mgogoro uliopo mipakani

Rais Magufuli: Rais Kenyatta alinipigia simu, tulizungumzia mgogoro uliopo mipakani

Rais John pombe Magufuli leo amesema Rais wa Kenya Mheshimiwa Uhuru Kenyatta alimpigia simu na kumpa pole

Pia Rais Magufuli amesema kuwa wamezungumzia mgogoro ulipo mipakani mwa nchi hizi mbili na kuamua mawaziri wa pande zote mbili wanaohusika na Uchukuzi kukutana.
Kenyatta alipo m bip Magufuli alitegemea apigiwe? Hivi hajawajua watanzania Hadi Leo? Mtanzania akinyamaza kimya sio mjinga akiinama yuko Kama kobe anatunga sheria akiinuaa kichwa Haki ya Mungu naapa atakachokulfanyia hutaamini

Kenyatta be careful with Tanzania keaders they are not stupid and illiterate as most Kenyans believe!!!!
 
kuna nini cha kupanick hapa? Akili za kajamba wa ccm kama wewe ni fupi sana ndio maana unaweza kuamini upupu wa meko.Njoo mpakani ujaribu kuingia Kenya uone kama hatutakupima hadi akili.
Huko doro sana nani aje😑😑
 
Kweli kabisa, unajua uhuru anamuogopa sana JPM, kama ni mtaalamu wa kusoma body language ukiangalia Ile video ya uhuru akiwa Chato alikua uncomfortable kabisa japo anataka mazoea na Magufuli kichizi This time alimtumia Odinga exactly kabla hata ya hili saga, Magu hakua na time nao wote this time [emoji28][emoji28][emoji28] mpaka Odinga kaenda kushtaki BBC ili tu kumalert incase wasaidizi wake hawakumpa taarifa, lakini Magu ndio kwaaanza hakua na time Sipati picha huo muweweseko wa Kenyatta, Magu alivyopokea simu yake [emoji28][emoji28][emoji28] na ndio maana hakuamini ikabidi apige upya kudhibitisha kama kweli hakua anaota [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kumbe tupo wengi tunaona hiki kitu. Uhuru huwa anatafuta sana namna ya kumzoea JPM na mara huwa hana amani akiwa na JPM.

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kenyata wakati anatangaza kufunga mipaka alikuwa sober sana na macho kama viazi mviringo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wafayabiashara wa kenya kusikia tu mpaka wa Tanzania imefunga mpaka wamepandisha Bei ya vyakula Mara nne sehemu zingine na ikipita wiki tu keyatta ataingia matatizo makubwa Kenya sababu hata aagize chakula nje mpaka meli ifike sio leo wakenya sio wavumilivu watakianzisha Kikwete jiandae kwenda kuwasuluhisha tena
 
Mtaendelea kunywa maziwa ya brookside...ni ya ********* 😂😂😂
Brookside mazuwa ya kampuni za Kenyatta sawa yanaingiaje Tanzania wakati madereva wa malori wakenya hawaruhusiwi kuleta Tanzania? Na yeye anasema madereva wa Tanzania Wana corona Nani wa kuleta maxiwa yake toka Kenya kuja Tanzania na Tanzania imekataa madereva wa Kenya? Anywe mwenyewe
 
Hahaha! Kenyatta has blinked first, tuliwaambia humu, TZ ndio babalao hapa EAC, wameomba poo mapema. Aibu sana.
 
Kenyatta alipo m bip Magufuli alitegemea apigiwe? Hivi hajawajua watanzania Hadi Leo? Mtanzania akinyamaza kimya sio mjinga akiinama yuko Kama kobe anatunga sheria akiinuaa kichwa Haki ya Mungu naapa atakachokulfanyia hutaamini

Kenyatta be careful with Tanzania keaders they are not stupid and illiterate as most Kenyans believe!!!!
kabisa ndg unajua mpaka sasa kenya hawaamini kama tunachofuatilia kutoka kwao ni ile tamthiliya pendwa ya handshake tu.
 
Mbona wamechemsha, mapema hivyo?
Kwani walipoamua kufunga mpaka wao walimpigia nani simu?
Wasitichezee tupo bize na uchaguzi, wasubiri hadi uchaguzi upite ndipo tuwafikirie ombi lao
Unajua maana ya maneno busara na ustaraabu? Uhuru anayo busara na mstaarabu. Siyo wale small nothings tumeshuhudia wanajipiga vifua border.
 
Back
Top Bottom