joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kwanini asimgetumia hiyo busara kwa kumtafuta Magufuli kabla ya kufunga mpaka?, Kenya viongozi wenu hawana akili kama mlivyowakenya wengi, unaona jinsi anavyojidhalilisha kwa kuomba msamaha?,Unajua maana ya maneno busara na ustaraabu? Uhuru anayo busara na mstaarabu. Siyo wale small nothings tumeshuhudia wanajipiga vifua border.
Sent using Jamii Forums mobile app