AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,036
Huku ni kunyimana Elimu, viongozi wasioweza kufikiria, Yeye Magufuli kama Mzazi mwenye mtoto wa kike atajionaje pindi binti yake atakapopata mimba na kuambiwa haruhusiwi kusoma tena? Hii Sheria ya kipuuzi zinawahusu walalahoi wasio na pesa za kuwasomesha watoto wao wakike, lakini ukiwa na pesa binti yako atasoma popote pale katika dunia hii.
Elimu yenyewe ipo chini halafu bado mnawanyima watoto wa kike elimu kwa kisingizio cha mimba. Badala ya kufikiri jinsi gani ya kuwasaidia wasipate ujauzito wanapokuwa masomoni nyie wapuuzi mnafikira jinsi gani ya kuwanyima haki zao za kupata elimu.
Mlaaniwe viongozi wenye maneno ya kipuuzi kama haya
Elimu yenyewe ipo chini halafu bado mnawanyima watoto wa kike elimu kwa kisingizio cha mimba. Badala ya kufikiri jinsi gani ya kuwasaidia wasipate ujauzito wanapokuwa masomoni nyie wapuuzi mnafikira jinsi gani ya kuwanyima haki zao za kupata elimu.
Mlaaniwe viongozi wenye maneno ya kipuuzi kama haya