Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hilo ni swali au ushajijibu mwenyewe?Mazingira yasiyo rafiki ya kusomea haswa shule za kata za kutwa.Sawa sawa....
.
.nakupingaga sana mzee ila katika hili tupo pamoja ,
.
.wazaz watengeneze mazngra mazur kwa watoto kusoma...
.
.ufatiliaj uongezeke ,
.
.sio kuwaachia walimu tu...
.
.hv ni ushawah kujiulza ni kwann wanaopata mimba wakiwa shulen wengu huwa ni wa shule za serikari?? Kwann sio private ????
Huyo rohoni atakuwa anaumia tuKama ndiyo hiyo ya Mama Kikwete. Yeye Mama Kikwete alisema wasirudi shule yaani hata leo Mama Kikwete amekumbusha kuwa hata bungeni alikataa hiyo habari ya watoto wa kike kupata mimba, mara wajifungue kisha shule.
Huyu bwanamkubwa anataka kutengeneza taifa la wajinga,kukosesha elimu akina dada wanaolea vijana wa taifa la kesho ni sawa na kutengeneza taifa la mazombi....Mungu ibariki Tanzania na watu wakeKama kweli kasema hivyo basi kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.
Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.
Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!
Ni vigumu sana kujua upendo na uchungu wa mzazi kwa watoto kama wewe mwenyewe si mzazi.
Unatongozwa unakubali kwenda guest halafu eti umebakwa!Hivi unahitaji akili sana kweli kujua kwamba that is not correct.Halafu sheria unazozungumzia mkuu zimetungwa ili kuhalalisha upuuzi.In fact to me they are unacceptable. Naamini hizi hizi NGOs ndizo zimepelekea kutunga sheria hizi za hovyo.Hahahahahah
Critical thinking is better than argumentation!!
No body is fighting with anybody ideologically.. What you have to do is to THINK be for you argue!!!
Tafsiri ya kisheria ni kwamba mwanafunzi akipata mimba amebakwa!!!
Na adhabu yake Ni kifungo kisichopungua miaka 30 jela.
Kama Ni hivyo unawezaje kumwita mtu aliebakwa immoral!!?
Nakama hoja Ni maadili Na yakwamba waschana woote wanaopata mimba Ni umalaya hivyo kurudi shule Ni kuendekeza utovu wa nidhamu Na uvunjifu wa maadili mema..
Kwanini tusianze Na kufuta Sheria ya SOSPA!!!
Na wafungwa woote waachiliwe huru mana hawakubaka isipokuwa walijipatia uroda kwa Malaya!!
Ma adolecents wa kizungu wanatumia ,na baadae wanakuja kuzaa tu,sema wao wanakuwa prescribed kabisa na Dr baada ya kupimwa damu na Dr kujua ni majira yapi yatamfaa.Majira ni mbaya sana usizuie ujauzito wakati hujui kizazichako kipovip...anaeruhusiwa kutumia ni yule aliezaa tu.
Mkuu ni haki yako kuwa upande uupendao, ila suala hili linasababishwa na muingiliano wa sababu nyingi sana na linahitaji hekima na busara kulishughulikia kwa manufaa ya pande zote. Shule za kata zina matatizo lukuki yanayopelekea mimba kwa wanafunzi, elimu duni ya afya ya uzazi na sababu zinginezo ni lazima zitafutiwe ufumbuzi. Sisi walimu wa miaka mingi huku vijijini tunayaona na tunajua uhalisia wake, so mkuu atafakari na aache kauli za namna hiyo.Kwa hiyo, ukiwa mzazi ndiyo ufurahie hivyo vitoto vya chekechea kufunguwa duka lao la kitumbua kwenye wapita njia eeeeh.
Frankly speaking, for this decision, Iam standing with President, Dr. Magufuli.
Period.
Duuhhhh
Hii hatari.
Sitaki kuamini Magu anaakili finyu kiasi
Hiki. Kwa hili siungi mkono kabisa linatisha.
Badala ya kuwaza TZ miaka kumi ijiyo yeye anawaza sasa. Hili sio jambo dogo Lita gharimu taifa zaidi ya anavyowaza.
Ulitaka aseme wanafunzi wa kike wakipata mimba waendelee kusoma alafu awe anachochea ngono? Hiyo speech ni total deterrence. Big up sana your Excellency Mr JohnKama kweli kasema hivyo basi kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.
Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.
Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!