Wewe ndo unavuruga mada mkuu.
Serikali inawajibu wa kuhakikisha watu wote wanapata frusa sawa Na za kutosha kuwawezesha kupata elimu.
Ndio mana inakusanya kodi inajenga bajeti,inajenga shule, inaajiri walimu,inatunga sera Na mitaala,inaandaa vitabu,inatunga mitihani ya kitaifa,inatoa vyeti,inatoa ajira n.k
Wenye uwezo siku zote huwa hawana ugomvi Na serikali mana watoto wao wanasoma IST,FEZA n.k
Haki inayodaiwa hapa Ni ya wanaotegemea elimu bure/elimu bila malipo watoto wa mtanzania maskini!!!
Mayatima,waliotelekezwa Na kuachwa bila uangalizi katika jamii!!!!