Kwani JPM ni mzungu?Miaka mitano tutaona Kama decade kwa mipasho utafikiri mswahili dah aseee.
Hahaha hahaHuyu jamaa ni janga kuliko tetemeko lenyewe
Kwahiyo wanasiasa wengine wanaruhusiwa kurusha madongo ktk wakati huu ila yeye tu ndo haruhusiwi kuwajibu wanasiasa wakati huu?
Ni Taifa gani watu hawapewi misaada na serikali zao? Tofauti ni kwamba wenzetu Wana insurance scheme sisi hatuna. Kuna watu hata pesa ya kula hawana. Hicho kibaraza wanajenga vipi? Haya maisha tumetofautiana sana. Janga limfike mwenzako!!!!!For sure they should do something. Hilo namuunga mkono. Kwa nini tunapenda faraja zisizo na maantiki? Anapoongea ukweli tuunge mkono ukwel tuache unafiki. Mtu ukuta au kibaraza kimebomoka naye anasubiri serikali ije kumjengea?hili taifa la wavivu sana. Basi tukiwa wavivu wa kazi tujitahidi tusiwe wavivu wa kufikiri.
Thubutuuuuu sio ccm hiyo. Ccm na chapaa za watu tena za haraka haraka hawajambo [HASHTAG]#tanzania[/HASHTAG] ya viwandaSerikali inapaswa ipeleke mchango wote uliopatikana na ugawanywe kidogo kidogo kutokana na watu walivyo athirika.
Serikali itakua imetimiza wajibu wa kusimamia michango.
Mambo ya mfanye kazi na hamjapeleka michango ya watanzania iliyochangwa si maneno ya hekima, wapeleke michango, then ndo waambiwe wamalizie kwa kufanya kazi kwa wale ambao michango haitotosha , mfano mtu aliyebomokewa na nyumba apelekewe huo mchango ajenge msingi, ndo aambiwe afanye kazi amalizie nyumba.
Katika hizo familia pia kuna wahitimu wanaosubiri ajira, mfanye kazi, ajira mmebana , huu si upuuzi.
Walewale machozi ya mambaJamani ndo maana nikasubiri video,Rais kaongea vizuri kabisa,na kweli yaliyotokea yametokea,lazima tusonge mbele na turekebishe tunapoweza,na serikali pia inatusaidia.
Hiyo TV wanatizamia wapi?Kuwaambia wahanga wa tetemeko wafanye kazi na wasisubirie serikali hali ya kuwa wanatazama kwenye TV mapesa yao yanavyokusanywa ni kuwakosea kwa namna moja ama nyingine ,Ingawa kauli ilitawaliwa na upole ila naona kuna tatizo hapo huenda pesa hizi za wahanga hawa ZIKAELEKEZWA KATIKA JAMBO LINGINE hasa ukizingatia kauli kuwa tetemeko halikuletwa na serikali.
Inashangaza kuona mkuu huyu wa kaya anaonesha dhairi kuwa amegeuza tetemeko la Ardhi kagera kuwa source of Income katika taifa letu.
Sisi kma watanzania tunapaswa kujiuliza yale mapato yanayovuka malengo huwa yanakwenda wapi?
Iko wapi bajeti ya maafa na majanga kwa ujumla wake ili iweze kutumika katika wakati huu muafaka?
Kwanini serikali imeweza kutenga bajeti yake ya kuhamia dodoma kwa kipindi kifupi mno hali ya kuwa bajeti ya kuelekea huko haikuwepo wala kujadiliwa bungeni ?
Yapo mambo yanahitaji mwitikio wa haraka mno mfano hili la tetemeko kagera lakini serikali imetupa jukumu hilo kwa asasi za kiraia na mashirika mbalimbali ya kimataifa,hili swala halikuhitaji kujipanga zaidi ya siku tatu kwa wahanga hao.
Angalia misaada iliyotoka kwa watu wa sekta binafsi na wafanya biashara mbalimbali,hili linatosha kuonesha swala hilo halikuhitaji kujipanga kama serikali ya mkuu wa kaya inavyodai kutaka kufanya hivyo,sasa wafanyabiashara na asasi za kiraia zilizochangia zinajiuliza kama walichangia mbona watu wanasema misaada yetu haikuwafikia? Ndio maana leo ITV habari mbili za tetemeko kagera zinaonesha wanyonge wakilalamika kutofikiwa na misaada hiyo.
Tanzania sio nchi tajiri ni nchi masikini inayotaka kujikwamua.
Tanzania nchi yangu nitaipenda na kuitahamini kwa moyo wangu wote.
Magufuli rais wangu nitakusifia itakapobidi kwa furaha na shangwe.
Watanzania wamezoea kupata faraja hewa na hawataki kuambiwa ukweli. Rais kaongea kweli tupu mm namuunga mkono.
HahahahahahWanawake ni viumbe wa ajabu sana,naamini Mungu aliwapa wanawake moyo wa kipekee sana,moyo wa uvumilivu na upendo.Wakati jamii inashangazwa na baadhi ya mienendo ya wanaume,mienendo ya ubabe na kutojali,wanaume hao wanaoonekana wa ajabu huku mitaani hutoka katika familia zao.
Pamoja na mitazamo hasi juu ya wababe hawa,nyuma yao kuna wanawake wavumilivu,waliowapenda jinsi walivyo na waliotayari hata kuhatarisha Maisha yao kwa kuwatetea.Laiti wanadamu wote wangeumbiwa moyo wa kike,naamini dunia ingekuwa tofauti na ilivyo sasa.Hongereni Mama zetu,kwani wababe wote tunaowashangaa katika dunia hii,pamoja na ubabe wao bado mnamudu kuishi nao!!Kama haya ndiyo tunayashuhudia sisi tulio nje ya nyumba,Mama aliye ndani anashuhudia na kuona mangapi?Asanteni akina mama.
Tukiachana na cheap politics za CHADEMA and unethical conducts za viongozi wao; on a serious note tuna sheria luluki ambazo zinatoa framework jinsi ya ku approach national disaster na kuna body ambayo imeundwa na sheria 'disaster management act 2014' yenye majukumu ya kufanya research na kujua taratibu sahihi za kufanya intervention. Commonsense ni kujua kila disaster inakuja na changamoto gani, human resources zipi zinahitaji, skills za watu, mobilization, response time, contingency fund ya awali kabla ya misaada na mengine yote kuanzia early stage mpaka mwisho.
Kidumu chama cha mapinduziHakuna anaekataa tetemeko la ardhi alifanyiwi na wanasiasa lakini kwakuwa serikari inatambua ya kuwa kuna hizo risks ndio maana ikatunga hiyo sheria. Sasa leo unajiuliza yuko huyu agency alietajwa na serikari ata kama jamii inatoa misaada si ni yeye ndiye alietakiwa kuwa anakusanya, kuwapa habari wananchi, pamoja na kuishauri serikari, wako hao ma expert wa haya mambo.
Serious Magufuli inabidi aingalie timu yake upya this is uncalled majuzi tumemaliza kupambana na kipindu kipindu hawa jamaa wanatakiwa wajue kwenye situation kama hizo mlipuko wa magonjwa ni risk nyingine, kuna watu bado wanashocks wanahitajia assurance to build their confidence sio lazima kupewa pesa, kuna watu wanamajonzi wamepoteza ndugu zao, kuna watu bado wako hospitali surely lazima lugha sahihi itumike na namna sahihi ya kuwapa faraja hawa wananchi sio lazima pesa ata empowerment to move forward.
I mean I can go on and on about this issues lakini ifike wakati waanze kukagua hizi Phd maana hawa ndio wanaopewa accountability kubwa na uwezo wao hafifu ndio unaopelekea kuzorota kwa sehemu nyingi; halafu mtu ukipekuwa kidogo kuangalia kama kuna tofauti na wengine wanavyofanya duniani unakutana na frameworks zile zile za dunia ya kwanza ila response and implementation zake toafauti sasa hawa wasomi walipitia modules tofauti au vipi (imagine tetemeko la ardhi linatokea on busy district si hatari).