Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Hivi majuzi wakati Mhe. Rais akiwa anaeklekea Morogoro alisimama sehemu fulani na mmoja wa raia, mwanamke mmoja akamlalamikia Rais kuhusu mwenyekiti wa Saccos yao ambaye amekimbia na pesa zao.

Rais alipomuuliza yule mama jina la Mwenyekiti ni nani na kuambiwa kwamba ni Mushi alitoa matamko yaliyoonyesha mtazamo hasi dhidi ya wachaga. Alikaririwa akisema "..... nyie mnajua huyu anaitwa Mushi (akimaanisha "mchaga) halafu mnamwamini na pesa zenu....."

Kwa maoni yangu Rais hakutakiwa kutoa kauli kama ile. It was not Presidential. Kuna watu wengi wamefanya kile Mushi alichofanya na watu hao si wachaga. Utakuta wengine ni wasukuma.

Kauli ya Mh Rais ilinisikitisha sana japo mimi si Mchaga.
 
Wasukuma sio kabisa la wenye chuki na mafanikio ya yeyote. Sio ma minder!. Sisi ni don't mind, don't care and don't give a dam, jirani ana nini!. Naweza kuwa na baiskeli tuu nikairemba hadi kuifunga redio, na nikaipenda baiskeli yangu mpaka basi, unaweza usiamini, hata nikipewa bure gari, sikubali, ni mimi na baiskeli yangu tuu!.
P
Nahisi hali hiyo imevuka mipaka kutokua na chuki, kwenda kwenye stage ya ushamba.
 
Aombe radhi kwa kuwa amesema Rais? Wewe ni mara yako ya kwanza kusikia hilo, kama limekuuma jirekebishe ila karibu Tanzania nzima wanajua hivyo.

Kwa hili namsemea Rais. Kwani marangapi matukio ya dhuruma juu ya fedha watu wanasema kuhusika kwa kabira hilo!

Dawa ni kutubu na kuacha tabia hiyo siyo kuomba msamaha unapoambiwa ukweli. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu! Povu ruksa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa namna moja au nyingine alikiwa sahihi. Ukweli ni kuwa kuna makabila machache yakiongozwa na wachagga na wameru ambao wamekubuhu katika utapeli na ujanja ujanja wa kutapeli pesa.

Hata kwenye biashara hawawezi kuaminiana hata wao kwa wao. Ukifuatilia kwa ukaribu kesi za wizi, utapeli, kudhulumiana, hata kuuana kwa ajili ya mali na pesa zipo huku huku kwenye haya makabila mawili ya Kaskazini.

Rais aliusema ukweli mtupu. Mchaga hata kama ni ndugu yako kamwe usimwamini kwenye mambo ya pesa. Hili hata mimi huwa linanipa mashaka hasa katika kuwaamini hawa watu kwenye nafasi za juu sana. Kwani hata katika mambo madogo madogo wanaonyesha kukosa uaminifu kwa kiwango kikubwa sana.
 
Huyu ni mzee wa kutwanga tu, huwa hajiulizi consequences za maneno yake
 
Halafu sio Mtani wetu inamaana kaamaanisha.Ila tushukuru na kusikitika VICOBA mwisho June mkajisalili na kama mnakopeshana mwende BOT mkalipie na kufuata masharti ili mdhamini akikimbia na hela basi sheria ifanye kazi .Mushi rudisha hela za watu ,mchagga wewe unatutia aibu
 
Always small things affect people with small mind

Yan we mtoa mada haujamjua mheshimiwa rais hadi sasa?

Mambo mangap huwa anaongea kwa utani?
Hebu acheni kutafuta kick za kishamba,
Mbona wasukuma kila siku mnawazungumza hawaongei ukabila?
 
Ni ujinga wa hali ya juu kunasibisha matendo ya mtu na kabila lake.

Inakuwa mbaya zaidi inapotolewa na kiongozi mkuu wa nchi.

Watanzania tulishasahau mambo ya kuuliza makabila ya watu...! Wasiturudishe huko.
 
Nahisi hali hiyo imevuka mipaka kutokua na chuki, kwenda kwenye stage ya ushamba.
Kwa ushamba kiukweli ni kweli kabisa, hata yule jamaa aliyemuita msukuma fulani kuwa ni mshamba, aliyeitwa mshamba akakasirika na kusemwa katukanwa matusi, aombwe radhi!.

Japo aliombwa msamaha na akasamehe, ila mimi nilisisitiza hajatukanwa tusi lolote!. Mtu kuitwa mshamba sio tusi!.

Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity

P
 
Hata sheria za nchi zimeruhusu utani na Msukuma ni mtani wa makabila mengi hapa Tanzania, hata hivyo record za wakina mushi kwenye pesa sio nzuri, mukulu naye katumia mwanya huohuo kurusha jiwe gizani kwa Wachaga.
Msukuma sio mtani wa mchaga, ututake radhi ndugu
 
Back
Top Bottom