Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Ingefanywa sensa ya Idadi ya wanaume Wasukuma walio oa wanawake wa uchagani mimi nikiwemo, na idadi ya wanaume Wachagga walio oa wanawake wa Kisukuma mngeshangaa!.

Kiukweli Wasukuma tunawapenda sana Wachagga!.
P
Hakuna Mchaga anaemchukia Msukuma kwasababu ya kabila lake. Labda kama wana mambo yao binafsi. Na Wachaga wameoa sehemu nyingi tu sio uchagani tu.

Hili suala ya Wachaga kuchukiwa nadhani ni kwasababu ya juhudi zao katika kupambana na mara nyingi wakitoboa watu wengine huanza kuona wivu na kuwachukia bure tu badala ya kuomba mbinu au kuiga hustle.
 
Hakuna Mchaga anaemchukia Msukuma kwasababu ya kabila lake. Labda kama wana mambo yao binafsi. Na Wachaga wameoa sehemu nyingi tu sio uchagani tu.

Hili suala ya Wachaga kuchukiwa nadhani ni kwasababu ya juhudi zao katika kupambana na mara nyingi wakitoboa watu wengine huanza kuona wivu na kuwachukia bure tu badala ya kuomba mbinu au kuinga hustle.
Wasukuma sio kabisa la wenye chuki na mafanikio ya yeyote. Sio ma minder!. Sisi ni don't mind, don't care and don't give a dam, jirani ana nini!. Naweza kuwa na baiskeli tuu nikairemba hadi kuifunga redio, na nikaipenda baiskeli yangu mpaka basi, unaweza usiamini, hata nikipewa bure gari, sikubali, ni mimi na baiskeli yangu tuu!.
P
 
Wasukuma sio kabisa la wenye chuki na mafanikio ya yeyote. Sio ma minder!. Sisi ni don't mind, don't care and don't give a dam, jirani ana nini!. Naweza kuwa na baiskeli tuu nikairemba hadi kuifunga redio, na nikaipenda baiskeli yangu mpaka basi, unaweza usiamini, hata nikipewa bure gari, sikubali, ni mimi na baiskeli yangu tuu!.
P
P
Niliposema "wengine" sijataja kabila. Mimi mwenyewe nawafahamu wasukuma wengi sana ni watu wenye roho nzuri sana. Tatizo kuna watu wachache sana wanaotaka kutuharibia nchi.
 
Niliposema "wengine" sijataja kabila. Mimi mwenyewe nawafahamu wasukuma wengi sana ni watu wenye roho nzuri sana. Tatizo kuna watu wachache sana wanaotaka kutuharibia nchi.
Naunga mkono hoja, tena unaweza kukuta wala sio Wasukuma, kukulia Usukumani, kusomea Usukumani na kuongea Kisukuma hivyo kujiita Msukuma hakumfanyi mtu kuwa Msukuma. Wasukuma wenyewe asili na halisi ni watu poa sana!.

P
 
Naunga mkono hoja, tena unaweza kukuta wala sio Wasukuma, kukulia Usukumani, kusomea Usukumani na kuongea Kisukuma hivyo kujiita Msukuma hakumfanyi mtu kuwa Msukuma. Wasukuma wenyewe asili na halisi ni watu poa sana!.

P
Ila jiwe anaharibu sana ndugu yangu Mayala. Unajua hata kile kiburi cha akina Bashite na chokochoko za Gwajima ni kwasababu kuna ka-go-ahead kutoka juu. Pia kuna mengi sana watu wanafahamu na hawasemi kitu. Anajenga upande mmoja wa nchi na kubomoa upande mwingine anapaswa kushauriwa kuhusu mambo haya muhimu asije akajutia baadaye kwani miaka 5 ni kesho.
 
Wanabodi,

Asalam aleikum!

Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.

Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.

Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.

Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?



Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.

Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.n

Tunaomba utuombe radhi mara moja.

Inawezekana sense yako ya humor iko paralised kutokana na chuki-Pole sana
 
Hilo hata mm nakubali na kuunga mkono kwani nina dada zangu 3 wote wamebebwa na wasukuma
Naunga mkono hoja, tena unaweza kukuta wala sio Wasukuma, kukulia Usukumani, kusomea Usukumani na kuongea Kisukuma hivyo kujiita Msukuma hakumfanyi mtu kuwa Msukuma. Wasukuma wenyewe asili na halisi ni watu poa sana!.

P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MANGI Kweli si Waaminifu yaani asilimia karibu kubwa wanaocoment Wanaelezea Wizi na Ujanjaujanja wa kina Bwashee.Angekewa mwizi anakatwa Mkono pande hizo wangekuwepo Vibubutu kibao.
 
Yaani msimlaumu Magu ni kweli wachaga kwa issue ya fedha hamuaminiki.Mko tayari kuua kwa ajili ya fedha
Hili liko wazi kwa Kila mtanzania na Wala hamjinasui.Kwenye ukabila mko na ushahidi uko tena wa wazi hivyo msimlaumu raisi kaeni kimywa mjitafakari wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
So tunahitimisha kuwa wachaga ni wezi?Basi tuwatenge kwenye ajira za serikali!
 
Sasa na nyinyi wachaga si mbadilke? tatizo mnaona kuwa matapeli,kujifanya mnapenda sana pesa ni ujanja.Huo ndoo upumbavuu tafuta pesa yako ya halali na achana na ubabaishaji.Alafu mnajifanyaga mnaenda makanisani sijui kufanya nini wakati matapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini makosa ya wachache lawama ziende kwa kabila zima?Hii ni chuki ya wazi kabisa,mwalimu Nyerere alisema mtu mkabila ni mpumbavu!
 
Nilienda duka moja kununua kabati la kuhifadhia nguo,dukani kwa mosha nilivofika nikakutana na muuzaji akanionyesha sample na baada ya kumaliza kuangalia sample nikachagua kabati moja ambalo ni milango miwili then muuzaji akaenda stoo akachukua aina ya kabati ambalo nilichagua ila ilikua packaged so nikalipakiza kwenye gari mpaka home soon nilivofika nyumbani nikamuita fundi ili alifunge,baada ya fundi kuja tukagundua kua kabati nililopewa sio lile ambalo nilichagua sbb nililopewa llkua la milango mitatu lkn pia lilikua halijatimia

So baada ya kugundua hivo ikabidi niwapigie pale dukani kuwaueleza,alichojibu muuzaji aliniambia kua yeye kanipatia kabati ambalo nimechagua kwahiyo hilo yeye alitambui na nilijaribu kuongeanae sana lkn alikataa kabisa kunielewa

Nikaenda kituo cha polisi nikatoa maelezo then nikapewa RB nikaenda mpaka pale dukani nikamkuta yule alieniuzia nikamwambia unahitajika kituo cha polisi jamaa alikataa ikabidi nirudi kituo cha polisi nikawapa mrejesho,ikabidi askari wampigie simu boss ambae anamiliki duka "mosha",duh!! jamaa aliwaongelea shit wale askari kitu ambacho kiliwaudhi sana askari wakampa nusu saa kama hatokuja basi watamfata wao huko aliko basi baada ya nusu saa mosha akaja then akaambiwa anibadilishie lile kabati au arudishe pesa na kama atabadilisha kabati alipe gharama ya kulirudisha dukani kwake na kulisafirisha tena mpaka nyumbani kwangu so ikabidi mosha abadilishe kabati

Pamoja na visa vingine kutoka kwa wachaga nikaamini kua hawa jamaa sio waaminifu pia wanawachukulia wenzao kama watu wasiofaa/wasiojielewa na wanathamini pesa kuliko utu MOST OF THEM NDIO WAKO HIVO ila wanasema malipo yanaanzia hapa hapa duniani na taratibu tunaona wanavonyooshwa

Ila mungu wasamehe,mungu atusamehe kwa dhambi zetu
Kwenye maisha yako umeshashuhudia kila wizi unaofanyika ni wachaga?Huna ushuhuda wa makabila mengine?Au tuombe taarifa za magereza,ili tuanze kuhesabu wafungwa wa makosa ya wizi!
 
Jamaa alichomekea tu. Sijui hii tabia ya kukuza mambo tunaitoa wapi.

Maisha hayawezi kuwa magumu kiasi tushindwe kuchomekeana. Chukulia poa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisoma michango humu unaweza kuona athari za huko kuchomekea!Kama Rais anapaswa kuchunga kauli zake kwani zinaweza kuleta athari!
Kwenye michango kuna watu wanakubaliana na kauli ya Rais kuwa ni kweli na kuna wengine wanapingana naye,hapo tayari unaona ni wachache sana wameichukulia kama kuchomekea!Mwalimu alipiga vita sana watu wa namna hii!
 
Kwenye maisha yako umeshashuhudia kila wizi unaofanyika ni wachaga?Huna ushuhuda wa makabila mengine?Au tuombe taarifa za magereza,ili tuanze kuhesabu wafungwa wa makosa ya wizi!
Most of them sio waaminifu,ndivo mlivo......
 
Kwenye maisha yako umeshashuhudia kila wizi unaofanyika ni wachaga?Huna ushuhuda wa makabila mengine?Au tuombe taarifa za magereza,ili tuanze kuhesabu wafungwa wa makosa ya wizi!
Most of them sio waaminifu,ndivo mlivo......
 
Most of them sio waaminifu,ndivo mlivo......
Mimi sio mchaga lakini hizi kauli za rejareja hazipaswi kupewa nafasi katika jamii iliyostaarabika!Ulifanya wapi huo utafiti na kujua wachaga wengi sio waaminifu?Ndio maana nimesema au tuombe serikali itoe takwimu kwa makabila ili tujue namba za walioko gerezani ambao wako huko kwa wizi!
Hizi kauli hazijengi!
 
Back
Top Bottom