Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Ni matumaini yangu unatambua Tanzania ni third world country hamna uchumi wowote wa maana wa kujisifia kwenye hii nchi wala hamna kabila lenye akili kuliko jingine mnapoteza muda tu. Mbaya zaidi majivuno yenu yanakaribisha chuki dhidi yenu ambazo ni baseless kiuhalisia ni maskini kama makabila mengine. Wachaga acheni sifa za kitoto na Watanzania wengine acheni kuwachukia wachaga ambao kiuhalisia wapo hoi (kifedha na kiakili) kama nyie tu.
Nilichoandika hapa ni sifa ama uhalisia?

Kama ni sifa taja ni ipi.

Nilichoandika ni kweli na makabila mengine wanajua huu ukweli.

Kama hupendi ukweli, hamna namna ugulia maumivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilienda duka moja kununua kabati la kuhifadhia nguo,dukani kwa mosha nilivofika nikakutana na muuzaji akanionyesha sample na baada ya kumaliza kuangalia sample nikachagua kabati moja ambalo ni milango miwili then muuzaji akaenda stoo akachukua aina ya kabati ambalo nilichagua ila ilikua packaged so nikalipakiza kwenye gari mpaka home soon nilivofika nyumbani nikamuita fundi ili alifunge,baada ya fundi kuja tukagundua kua kabati nililopewa sio lile ambalo nilichagua sbb nililopewa llkua la milango mitatu lkn pia lilikua halijatimia

So baada ya kugundua hivo ikabidi niwapigie pale dukani kuwaueleza,alichojibu muuzaji aliniambia kua yeye kanipatia kabati ambalo nimechagua kwahiyo hilo yeye alitambui na nilijaribu kuongeanae sana lkn alikataa kabisa kunielewa

Nikaenda kituo cha polisi nikatoa maelezo then nikapewa RB nikaenda mpaka pale dukani nikamkuta yule alieniuzia nikamwambia unahitajika kituo cha polisi jamaa alikataa ikabidi nirudi kituo cha polisi nikawapa mrejesho,ikabidi askari wampigie simu boss ambae anamiliki duka "mosha",duh!! jamaa aliwaongelea shit wale askari kitu ambacho kiliwaudhi sana askari wakampa nusu saa kama hatokuja basi watamfata wao huko aliko basi baada ya nusu saa mosha akaja then akaambiwa anibadilishie lile kabati au arudishe pesa na kama atabadilisha kabati alipe gharama ya kulirudisha dukani kwake na kulisafirisha tena mpaka nyumbani kwangu so ikabidi mosha abadilishe kabati

Pamoja na visa vingine kutoka kwa wachaga nikaamini kua hawa jamaa sio waaminifu pia wanawachukulia wenzao kama watu wasiofaa/wasiojielewa na wanathamini pesa kuliko utu MOST OF THEM NDIO WAKO HIVO ila wanasema malipo yanaanzia hapa hapa duniani na taratibu tunaona wanavonyooshwa

Ila mungu wasamehe,mungu atusamehe kwa dhambi zetu
Hata wahindi wangekataa tu.

Tabia ya mtu inahusika vipi na kabila zima?

Mbona kuna maduka mengi sana ya wachagga wanakubali urudishe vitu baada ya kununua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini inaweza kua utani wa ukweli


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wanabodi,

Asalam aleikum!

Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.

Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.

Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.

Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?



Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.

Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.

Tunaomba utuombe radhi mara moja.


Unajuaje kama ni utani? Kuna sehemu kakiri kuwa anatania??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ndugu niongope kwa faida ya nani,that's the way it is au nikupe kisa kingine cha mchaga mwenzio?
Over generalization.

Hivi Wachagga walivyo na good customer service, unadhani wangekuwa kama huyo mosha watu wangekanyaga dukani?

Huyu ana tatizo binafsi kama stori ni kweli.

Maduka ya Wachagga wanajali sana wateja sijawahi ona.

Nenda kariakoo uone wanavyochangamkia wateja.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu niongope kwa faida ya nani,that's the way it is au nikupe kisa kingine cha mchaga mwenzio?
Over generalization.

Hivi Wachagga walivyo na good customer service, unadhani wangekuwa kama huyo mosha watu wangekanyaga dukani?

Huyu ana tatizo binafsi kama stori ni kweli.

Maduka ya Wachagga wanajali sana wateja sijawahi ona.

Nenda kariakoo uone wanavyochangamkia wateja.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemtolea mfano Mosha na kuhukumu jamii nzima kana kwamba ndio kawekwa kuwakilisha wachaga wote, nashindwa kujua kama shida ni elimu yako, weledi wako au ni chuki tu dhidi ya jamii ya kichaga

Me nachoamini kuwa nchi hii ni yetu wote sio kwa ajili ya kikundi fulani ambacho wao ni malaika sana kuliko wengine, hivyo sina haraka na watu kama nyie na kejeli zenu za waziwazi nasubiri muda uamue tufike hapo mnapopataka



Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka mfano mwingine nakupa,lkn pia simaanishi wachaga wote wako hivo ila most of them wako hivo pia siamini katika ukabila hata siku moja na nchi hii ni yetu sote na sio kama ccm wanavodhani kama ni yao na hakuna marefu yasiyo na ncha kama si kizazi chao basi ni watoto wao ama wajukuu zao watakuja kuvuna hichi wanachopanda what's goes around comes around
 
Gusa usukumani usikie kelele?
Uko very sana tena hujakosea.Cha kwanza utasikia kutoka kwa Wenye Makofia.Tangazo linaanzaga hivi.Sikia ee na uelewe ee mambo yanavyokwenda.

Ni marufuku kwa mtu yeyote ku.......Sisi(Wenye mkofia) tutawachukuli hatua kali ikiwa ni pamoja na kuwapeleka mahakamani (utadhani wao ndio wanajua sana sheria).

Kuna mtu mmoja humu amezungumza kuhusu Corona na Lumumba.Duuuu mzee wamebweka kama simba mzee nikajiuliza mbona hivi,nikakumbuka jamaa yangu aliniambiaga mgao wanaopata kutoka kwa bosi wao Kijani kwa kufanya hivyo si mdogo.Basi nikaelewa.Ukilipwa vizuri fanya kazi kwa bidii.Nilisikiaga book mbili vijana wakisema.

Haki huinua taifa bali
(dhuluma,ugandamizaji,unyanyasaji,ubaguzi,uuaji,utekaji,ubambikiaji wa kesi nk.) ni dhambi tena ni aibu kwa taifa.

Wachagga poleni.Mnajua kuchapa kazi,nyie hata njaa ikija hamsubiri unga wa serikali,mnajua thamani ya elimu,mnajituma,mnasaidiana,mnajali kwenu,mnajali kazi za makanisa na misikiti kwa michango,mwezi 12 mpo Moshi na famili zenu kwenye maboma yenu mkitokea Dar,Chato,Mwz,Tabora,Shinyanga,Bukoba,Kahama,Nairobi,Kampala kila kona (Kila mmoja na gari lake huko mgombani,kweli raha,nani anawaweza sasa) mpo kila mahali Tanzania mpaka pale Chato nimewakuta.Mwisho wa siku faida yote mnayochuma huko inarudi Moshi kwa maendeleo ya vijiji vyao.(Kwani si mnajua)

Kumbuka huu msemo kwa tofauti kidogo,mvua inanyesha nje mchagga yupo ndani,ile mvua haimzuii kuchapa usingizi wake.

Waacheni waendelee kuhangaika iko siku watakoma.Endeleeni kumtii Mungu kwa sala na maombezi.Majibu ni hapa hapa au Pantaleo unasemaje wewe
 
Hakuna mafisadi na matapeli nchi hii kama WAHAYA!. Ni wasomi lakini wanaongoza kwa utapeli...teh...teh..teh...ni utani tu lakiniMkuu ukisikia kauli kama hiyo toka kwa kiongozi mkubwa utajiskiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumetukanwa Sana wakati wa tetemeko la bukoba 2016 sijui mngetukanwa nyinyi ingekuwaje . Mnapenda kuchukulia mambo serious Sana na kujionesha mkoa Safi Kwa kila kitu kitu ambacho sio kweli lazima mna weekness.


Tulimfanya shit tukamoove one Kwa kusaidiana na athari za tetemeko sasa hazionekani bila ya mkono wa serikali tena watu wamejenga nyumba Bora zaidi.

But siku wahaya wakirise up CCM na uchafu wote mtajuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichoandika hapa ni sifa ama uhalisia?

Kama ni sifa taja ni ipi.

Nilichoandika ni kweli na makabila mengine wanajua huu ukweli.

Kama hupendi ukweli, hamna namna ugulia maumivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja zako zote zinakosa mashiko pale unapotoa sifa za maendeleo ya kupitiliza kwenye nchi ya 3rd world. Hata Moshi ipo third world au una tatizo la exposure?
 
Sasa kutukanwa ni tofauti na utani...tolea maelezo mfano wangu ndio twende sawa...

Kiasili inasemekana wahaya na wachaga hawatakiwi kushika nchi milele sa sijajua ni kwanini.
Tumetukanwa Sana wakati wa tetemeko la bukoba 2016 sijui mngetukanwa nyinyi ingekuwaje . Mnapenda kuchukulia mambo serious Sana na kujionesha mkoa Safi Kwa kila kitu kitu ambacho sio kweli lazima mna weekness.


Tulimfanya shit tukamoove one Kwa kusaidiana na athari za tetemeko sasa hazionekani bila ya mkono wa serikali tena watu wamejenga nyumba Bora zaidi.

But siku wahaya wakirise up CCM na uchafu wote mtajuta

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Asalam aleikum!

Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.

Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.

Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.

Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?



Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.

Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.

Tunaomba utuombe radhi mara moja.
Rais hatakiwi kuleta utani kwenye mambo yanayowagawa raia kwa ukabila.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Hata sheria za nchi zimeruhusu utani na Msukuma ni mtani wa makabila mengi hapa Tanzania, hata hivyo record za wakina mushi kwenye pesa sio nzuri, mukulu naye katumia mwanya huohuo kurusha jiwe gizani kwa Wachaga.
Duh! Huu ukabila mtakuja kuvuna mnachopanda one day.
 
Back
Top Bottom