Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ila kasema ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanabodi,
Asalam aleikum!
Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.
Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.
Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.
Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?
Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.
Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.
Tunaomba utuombe radhi mara moja.
Kweli wachaga ni wapigaji wa pesa sana lazima muwe makini mnapowakabidhi pesa zenu.Huyu hapendi watu wajanja na wenye akili anapenda mazwazwa tu. Wachaga msikate tamaa kaja kawakuta ataondoka mtabaki kuwepo
Wanabodi,
Asalam aleikum!
Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.
Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.
Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.
Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?
Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.
Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.
Tunaomba utuombe radhi mara moja.
Msukuma anapiga matirion huku mazuzu mnashangiliaKweli wachaga ni wapigaji wa pesa sana lazima muwe makini mnapowakabidhi pesa zenu.
Wewe umepiga ngapi?Msukuma anapiga matirion huku mazuzu mnashangilia
Rubbish!Wachagga ni Akili kubwa wanaendesha shirika la ndege nchini.
Ni Akili kubwa wanatoa mtu tajiri kuliko kabila lolote nchini.
Ni Akili kubwa wanamiliki shule nyingi kuliko mkoa wowote Tanzania.
Ni Akili kubwa wana makazi bora vijijini kuliko sehemu yoyote nchini.
Ni Akili kubwa wanatoa waasisi wa vyama vya upinzani kuliko mkoa wowote nchini.
Ni Akili kubwa wanaleta maendeleo ya miundombinu yao kwa pesa zao kuliko kusubiri serikali.
Ni Akili kubwa walipigwa vita vya kielimu chaajabu wakafanikiwa sana kutegua hicho kikwazo na kupiga hatua mara dufu kwenye sekta ya elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
hakikaNi Akili zao tu hakuna cha ajabu apo alichosema mkuu ila mapokeo yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilienda duka moja kununua kabati la kuhifadhia nguo,dukani kwa mosha nilivofika nikakutana na muuzaji akanionyesha sample na baada ya kumaliza kuangalia sample nikachagua kabati moja ambalo ni milango miwili then muuzaji akaenda stoo akachukua aina ya kabati ambalo nilichagua ila ilikua packaged so nikalipakiza kwenye gari mpaka home soon nilivofika nyumbani nikamuita fundi ili alifunge,baada ya fundi kuja tukagundua kua kabati nililopewa sio lile ambalo nilichagua sbb nililopewa llkua la milango mitatu lkn pia lilikua halijatimiaHuyo ngosha sio mwizi?
Zile nyumba za NHC alizohonga kwa mashangingi je?
Wale samaki wa magufuli?
Sijui unatoka mkoa gani usikute ndio wale mnaogopa kurudi vijijini kwenu kwasababu mmepanga mjini na kwenu huko nyumba ni ya matope? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usifananishe Wachagga na upupu.
Mkoa wenye shule nyingi kuliko wowote nchini.
Mkoa wenye makazi bora vijijini kuliko sehemu yoyote Tanzania.
Mkoa wenye kivutio kikuu cha watalii Tanzania.
Mkoa wenye ma Dons kuliko wowote Tanzania.
Mkoa wenye mandhari nzuri kuliko popote Tanzania.
Mkoa wenye wasomi wengi kuliko wowote Tanzania.
Huoni aibu sister? [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemtolea mfano Mosha na kuhukumu jamii nzima kana kwamba ndio kawekwa kuwakilisha wachaga wote, nashindwa kujua kama shida ni elimu yako, weledi wako au ni chuki tu dhidi ya jamii ya kichagaNilienda duka moja kununua kabati la kuhifadhia nguo,dukani kwa mosha nilivofika nikakutana na muuzaji akanionyesha sample na baada ya kumaliza kuangalia sample nikachagua kabati moja ambalo ni milango miwili then muuzaji akaenda stoo akachukua aina ya kabati ambalo nilichagua ila ilikua packaged so nikalipakiza kwenye gari mpaka home soon nilivofika nyumbani nikamuita fundi ili alifunge,baada ya fundi kuja tukagundua kua kabati nililopewa sio lile ambalo nilichagua sbb nililopewa llkua la milango mitatu lkn pia lilikua halijatimia
So baada ya kugundua hivo ikabidi niwapigie pale dukani kuwaueleza,alichojibu muuzaji aliniambia kua yeye kanipatia kabati ambalo nimechagua kwahiyo hilo yeye alitambui na nilijaribu kuongeanae sana lkn alikataa kabisa kunielewa
Nikaenda kituo cha polisi nikatoa maelezo then nikapewa RB nikaenda mpaka pale dukani nikamkuta yule alieniuzia nikamwambia unahitajika kituo cha polisi jamaa alikataa ikabidi nirudi kituo cha polisi nikawapa mrejesho,ikabidi askari wampigie simu boss ambae anamiliki duka "mosha",duh!! jamaa aliwaongelea shit wale askari kitu ambacho kiliwaudhi sana askari wakampa nusu saa kama hatokuja basi watamfata wao huko aliko basi baada ya nusu saa mosha akaja then akaambiwa anibadilishie lile kabati au arudishe pesa na kama atabadilisha kabati alipe gharama ya kulirudisha dukani kwake na kulisafirisha tena mpaka nyumbani kwangu so ikabidi mosha abadilishe kabati
Pamoja na visa vingine kutoka kwa wachaga nikaamini kua hawa jamaa sio waaminifu pia wanawachukulia wenzao kama watu wasiofaa/wasiojielewa na wanathamini pesa kuliko utu MOST OF THEM NDIO WAKO HIVO ila wanasema malipo yanaanzia hapa hapa duniani na taratibu tunaona wanavonyooshwa
Ila mungu wasamehe,mungu atusamehe kwa dhambi zetu
Huyu hapendi watu wajanja na wenye akili anapenda mazwazwa tu. Wachaga msikate tamaa kaja kawakuta ataondoka mtabaki kuwepo
Weee fa la nini kwa hiyo unataka kusema wewe una alergy na helaMbali na utani; lakini huo ndio ukweli, wachagga kwa hela [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Over generalization.Nilienda duka moja kununua kabati la kuhifadhia nguo,dukani kwa mosha nilivofika nikakutana na muuzaji akanionyesha sample na baada ya kumaliza kuangalia sample nikachagua kabati moja ambalo ni milango miwili then muuzaji akaenda stoo akachukua aina ya kabati ambalo nilichagua ila ilikua packaged so nikalipakiza kwenye gari mpaka home soon nilivofika nyumbani nikamuita fundi ili alifunge,baada ya fundi kuja tukagundua kua kabati nililopewa sio lile ambalo nilichagua sbb nililopewa llkua la milango mitatu lkn pia lilikua halijatimia
So baada ya kugundua hivo ikabidi niwapigie pale dukani kuwaueleza,alichojibu muuzaji aliniambia kua yeye kanipatia kabati ambalo nimechagua kwahiyo hilo yeye alitambui na nilijaribu kuongeanae sana lkn alikataa kabisa kunielewa
Nikaenda kituo cha polisi nikatoa maelezo then nikapewa RB nikaenda mpaka pale dukani nikamkuta yule alieniuzia nikamwambia unahitajika kituo cha polisi jamaa alikataa ikabidi nirudi kituo cha polisi nikawapa mrejesho,ikabidi askari wampigie simu boss ambae anamiliki duka "mosha",duh!! jamaa aliwaongelea shit wale askari kitu ambacho kiliwaudhi sana askari wakampa nusu saa kama hatokuja basi watamfata wao huko aliko basi baada ya nusu saa mosha akaja then akaambiwa anibadilishie lile kabati au arudishe pesa na kama atabadilisha kabati alipe gharama ya kulirudisha dukani kwake na kulisafirisha tena mpaka nyumbani kwangu so ikabidi mosha abadilishe kabati
Pamoja na visa vingine kutoka kwa wachaga nikaamini kua hawa jamaa sio waaminifu pia wanawachukulia wenzao kama watu wasiofaa/wasiojielewa na wanathamini pesa kuliko utu MOST OF THEM NDIO WAKO HIVO ila wanasema malipo yanaanzia hapa hapa duniani na taratibu tunaona wanavonyooshwa
Ila mungu wasamehe,mungu atusamehe kwa dhambi zetu
Namwambia mkeo mwezi kumi na mbili marufuku kukanyaga ukweni uende kwenuNaunga mkono hoja,
Poleni sana ndugu zetu kina Mangi.
P