1. Urafiki wawe wanakufaidi kwenye material things
2. Biashara wapate maximum profit
3.Akikenga nyumba ajenge kiwanja chake kiishe halafu njoa,shimo la taka aombe lwa mwenzie yeye asipate hasara.
4. Ukifungua biashara kabila lingine isiwe biashara yao na usiuze ikichanganya kwisha habari yako.
5. Kama mle,mume,mtoto au mdogo akitolewa kafara au kuwa zezera tutapata hela ndefu ni chaap tu.
6. Kama ni mkurugenzi wafanyakazi wa chini wawe wa nyumbani yaani hela irudi nyumbani.
7.Ukiwa na upenyo wa kuiba iba pesa kubwa umhonge hadi aliyeona n.k iba tu.
Sent using
Jamii Forums mobile app