Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

jmushi1,
Wewe muongo. Wachaga wanajulikana kwa kila mtanzania ni baadhi yao ni wezi wakubwa. Ni kama ilivyo wanawake wa kimachame wanavyoua waume zao na ndivyo inavyojulikana wanawake wa kinyakyusa wanawafanya kazi sana kama ilivyo kwa wakinga na wabena kufanya kazi au jinsi wasukuma wanavyopenda kufanya kazi.
 
Mjane Mama Tibaijuka ni Mchaga wa wapi? Mjane Mama 6 ni Mchaga wa wapi? Mjane Jak Machache ni Mchaga wa wapi? Mgane Harrison ni Mchaga wa wapi? Mjane Mama namba 1 ni Mchaga wa wapi? Mjane mama Bukilo ni Mchaga wa wapi?
Ungenielewa usingetumia nguvu kubwa kuandika haya uliyoyaandika.
 
Aisee!! Kwani Kuna kabila halina wezi? au ni chuki zenu tu kwa wachagga?
Kila mtu apambane na hali yake.
 
Msikuze Mambo Magufuli anapenda sana utani.
Siku hizi tu akiwa rais ndiyo namuona amekuwa siriaz.
Tuliwahi kukutana naye alipokuwa waziri kwenye kundi letu alikuwepo askari anaitwa Ngonyani alivyoona jina lake akamuuliza hivi wangoni hamjaona majina mengine ya kijiita mpaka mnajiita majina ya wanyama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachaggaa ni tatizo , ukiacha kuwadhibiti wanakuuza wewe na nchi yako. Wengi wao ni brain zero.
Brain zero wewe mgogo una nini mbele ya mchagha?zaidi siku hizi mnawauzia mashamba yenu kisha mnarudi mlango wa nyuma kuja kufanya vibarua vya kulima.

Tatizo mkiona spelling zimepangwa zikimaanisha Mchagha basi mna-panic duniani hamna.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Bavaria, Mbona mnajiita wasomi, wenye pesa lakin amsemi si wote?! Kwenye sifa nzuri mnajisifia kwa ujumla wenu, kwenye sifa mbaya mnakachana eti si wote, Kwan ni wa wachaga wote wana pesa?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Rais Magufuli ni mzalendo tokea siku nyingi sana.

Ahsante meku kwa kutupa siri ya uchapakazi wake akiwa JKT......wachaga jeshini unawatafuta kwa tochi wao wanataka TRA na BOT tu sijui kwanini!!
Buashee wewe baguzi ndani ya damu. Lazima unapata sana shida mkuu pole kwa chuki. Pambaaf wahed.
 
Rais anaweza kua sahihi, wachaga ni wezi, wabinafsi, wakabila, sio watu wa kuwachekea chekea hasa kwenye hela.
 
Lakini wachagga kiukweri mmejipa sifa mbaya sana Tanzania na urimwenguni kote😁😁 mchagga kwa hella khatari sana,,,mke anamtoa roho mumewe ili ajimilikishe mali na nduguze 😁😁 mkipewa hii nchi 2tasarimika kweli! Au ndio mtapeana wenyewe madalaka na maeneo kila pembe ya tanzania! munakwama wapi nduguzangu wapenda hella!
Kuna mama mmoja wa kimachame ni mchagga mwenzangu. Siku moja akaniambia ukioa mmachame utakoma maana tunapenda hela kuliko chochote kile
 
Rais hapaswi kutamka maneno ya kibaguzi kiukabila. Sasa ndo tunaelewa Hata Gwajima hakutamka kwa bahati mbaya kuhamasisha ukabila.
 
Rais hapaswi kutamka maneno ya kibaguzi kiukabila. Sasa ndo tunaelewa Hata Gwajima hakutamka kwa bahati mbaya kuhamasisha ukabila.
 
Back
Top Bottom