Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Mkuu kama hujui history ya mkoa wa Kagera Bora ukakaa kimya Tu.



Anyway kukumbusha Tu vita ya Kagera, ukimwi,MV bukoba,Mnyauko, Tetemeko,wakimbizi na kuporomosha uchumi, vyote vilitokea katika mkoa huo.


Anyway Kagera wahaya wapo katika wilaya tatu.
Kagera ni kubwa kuliko wahaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa historia ya mkoa wa Kagera inahusiana vipi?! Hoja hapa ni tabia ya baadhi ya jamii kujiona bora kuliko wengine! Sasa hayo majanga uliyotaja ndiyo yamewafanya Wahaya hivi sasa kupunguza yale majigambo yasiyo na maana hadi yakawa yanapelekea baadhi ya watu wawachukie, au?!! Back in the days Wahaya walikuwa wanasakamwa sana kuliko Wachaga lakini hivi sasa Wachaga ndio wanaosakamwa zaidi kuliko Wahaya!! Na usakamaji huu mara zote umekuwa ukitokea kutokana na tabia za hawa watu!!!

Nawajua Wahaya vizuri sana kwa sababu, mosi nimeishi nao mlango kwa mlango for years, na pili, shemeji yangu wa kike ni Mhaya, na tatu back in the days nilikuwa na demu Mhaya!!! Ni rahisi kwako kusema kwavile labda wewe ni Mhaya basi unawafahamu vizuri Wahaya kuliko mimi lakini kama wewe ni Mhaya, huwezi kuletewa ujuaji na Mhaya mwenzako kwa sababu you're flying with the same feather na kwahiyo huwezi kuiona hiyo hitilafu! Kinyume chake, yule asiye Mhaya ndie anayeweza kuyaona hayo mapungufu! Kwa mfano, ashakum si matusi, hivi zamani mtu asiye Mhaya akisema ameoa Mhaya watu walikuwa wanamshangaa na wengine kumwambia wazi "utaoaje Mhaya wewe"; je Wahaya kwa Wahaya mlikuwa mnashangaana kisa tu Peter Ishengoma kamuoa Easther Rutabangira?!

Sijui una umri gani lakini naona Wahaya wa siku hizi wamejitahidi sana kupunguza zile tambo za kijinga kijinga za kujiona wao ni bora! Hata Dar es salaam kwa mfano, Umalaya ulikuwa unahusishwa sana na Wahaya si kwa sababu wao ndo walikuwa Malaya sana kuliko wengine bali ilikuwa ni kama njia ya watu ku-retaliate na kutoa ujumbe kwao kwamba "...msituletee ujuaji hapa wakati dadazenu wanaishi kwa kuuza K"! Na ukweli mwingine ndo huo hata waliokuwa wanaleta ufahari, wengine wengi tu walikuwa wameishia "darasa la pili" lakini atajitia ujuaji kwa ajili ya akina "Ishengoma" wachache!!!
 
Wewe ni mtu sahihi kwa hii post. Asante sana ndugu yangu
Sasa Historia ya Mkoa wa Kagera
Hoja hapa ni tabia ya baadhi ya jamii kujiona bora kuliko wengine! Sasa hayo majanga uliyotaja ndiyo yamewafanya Wahaya hivi sasa kupunguza yale majigambo yasiyo na maana hadi yakawa yanapelekea baadhi ya watu wawachukie, au?!! Back in the days Wahaya walikuwa wanasakamwa sana kuliko Wachaga lakini hivi sasa Wachaga ndio wanaosakamwa zaidi kuliko Wahaya!! Na usakamaji huu mara zote umekuwa ukitokea kutokana na tabia za hawa watu!!!

Nawajua Wahaya vizuri sana kwa sababu, mosi nimeishi nao mlango kwa mlango for years, na pili, shemeji yangu wa kike ni Mhaya, na tatu back in the days nilikuwa na demu Mhaya!!! Ni rahisi kwako kusema kwavile labda wewe ni Mhaya basi unawafahamu vizuri Wahaya kuliko mimi lakini kama wewe ni Mhaya, huwezi kuletewa ujuaji na Mhaya mwenzako kwa sababu you're flying with the same feather na kwahiyo huwezi kuiona hiyo hitilafu! Kinyume chake, yule asiye Mhaya ndie anayeweza kuyaona hayo mapungufu! Kwa mfano, ashakum si matusi, hivi zamani mtu asiye Mhaya akisema ameoa Mhaya watu walikuwa wanamshangaa na wengine kumwambia wazi "utaoaje Mhaya wewe"; je Wahaya kwa Wahaya mlikuwa mnashangaana kisa tu Peter Ishengoma kamuoa Easther Rutabangira?!

Sijui una umri gani lakini naona Wahaya wa siku hizi wamejitahidi sana kupunguza zile tambo za kijinga kijinga za kujiona wao ni bora! Hata Dar es salaam kwa mfano, Umalaya ulikuwa unahusishwa sana na Wahaya si kwa sababu wao ndo walikuwa Malaya sana kuliko wengine bali ilikuwa ni kama njia ya watu ku-retaliate na kutoa ujumbe kwao kwamba "...msituletee ujuaji hapa wakati dadazenu wanaishi kwa kuuza K"! Na ukweli mwingine ndo huo hata waliokuwa wanaleta ufahari, wengine wengi tu walikuwa wameishia "darasa la pili" lakini atajitia ujuaji kwa ajili ya akina "Ishengoma" wachache!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi namfahamu mchagga ambaye kwenye taasisi anayoisimamia , hajamuajiri mchagga mwenzake hata mmoja.

Be open minded
Dunia ya sasa sio ya kukariri maisha
Mimi dukani mangi ananiambia bora ukope wewe mswahil kuliko mchaga mwenzangu halipi
 
Wachaga ktk awamu ya 5 wanajua walivyotengwa ila haliwanyimi usingizi kwani maisha kwao yanasonga mbele wamebakiza miaka michache sana kuachana na awamu hii.
 
Wanatuoea sana wachaga.

Kina wengine wameanza kutushtumu wachaga kwa kuleta nchini gonjwa la Corona.
Haikubaliki hii.
Wanabodi,

Asalam aleikum!

Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.

Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.

Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.

Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?



Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.

Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.

Tunaomba utuombe radhi mara moja.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabila la Wachagga wapo maProfessa,Drs,Accountants,MaAskofu,Wanasiasa,......kwahiyo wote hao na professional zao ni wezi !!!.
Mtabakia kuwaita wachaga wezi lkn cha ajabu ktk majizi makubwa yaliyoharibu uchumi wa nchi wachaga hata asilimia 0.03 hawafikii, lakini wanazidi kusonga mbele na kushamiri kila kukicha huku wengine wakibaki kusonga mbele kwa maneno na umbea usio na tija!
 
Back
Top Bottom