Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Wachaga hivi sasa wamekuwa kama wabena Kila mwaka ni kufanya matambiko ya kuchinja mbuzi kwa style ya kuwachomeka kisu kwenye moyo ili wapate hela.

Hivi sasa ukienda Rombo majirani wanaogopana kula nyama ya mbuzi kwa mwenzake Wanasema aisee ukija uchagani usile mbusi ovyo ovyo utakula makafala.

Mchaga akili yake yote ipo kwenye hela awe Mchaga mwanaume au mwanamke wao wanataka hela tu..
Yupo Mchaga mwingine kule Ujerumani ni mrombo yeye kaamua kabisa kuolewa na mzungu ili apate pesa za mzungu.. Mchaga maniiiina Mchaga kwenye hela..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba mhaya ni maskini?[emoji23][emoji23]


Hebu nenda vijijini huko bukoba.



Na tembelea mbezi beach,ununio,mbweni ,kunduchi nk utazame idadi ya wahaya.


Kama uko mwanza nenda bwiru, kiloleli ,nyasaka huko utazame idadi ya wahaya.



Tazama idadi ya shule maarufu hapa dar tusiime,st Mary's,Anne Maria nk

Hadi vyuo vikuu na hospital kubwa mfano kairuki hospital na chuo kikuu cha kairuki.




Kama ilikuwa hujui top ten ya matajiri kulikuwa na mhaya mmoja na mchaga moja mfuruki na mengi respectively.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kujenga mbweni , ununio na Bwiru ndio utajiri. Nani kakudanganya kwamba maeneo hayo wamejenga wahaya tu ? Usijitekenye wewe nshomike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anaweza kuandika kitabu kupitia matamshi ya rais yaani hotuba zake. Ikiwa huyo mtu ana nia mbaya anaweza kujenga hoja ambazo sio nzuri.
Hivyo ukiwa mfalme kila neno litokalo kinywani mwako inatakiwa ulitafakari sana.
Angalia hapa tayari hoja inasema raisi ana chuki na wachaga.
So, mtu akichagua upande wa negative kuhusu Magufuli kupitia hotuba zake ni nani ataweza kubisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wachagga mnampenda Raisi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juu ya nini ? Unajitekenya.
Hataafanye nini,mchaga atabaki kuwa juu,
Utajiri,ujasiliamali kwa mchaga haukuanza jana,ni kitu kimejengwa vizazi na vizazi,msukuma na ushamba wake atasubili sana,
Nyerere alijaribu kuwagandamiza wahaya,kwenye elimu,mpaka viwango vya ufaulu kwa wanafunzi wa kagera vikawa vya juu kuriko mikoa mingine,lakini wapi,mhaya akazidi ku shine tu,
Maghu kwa mangi atasubiri sana,
Mangi walioamia bagamoyo,wanafungua baa,hardware,maduka,msukuma anauza genge,na kulima!
Mtasubili sana,
Bravo shemeji zangu,endeleeni kukimbiza mpaka watu wajinyonge.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasomi wako wapi ? Mbona wengine ni wenyeviti wa vyama ni Div O ?
Huyo ngosha sio mwizi?

Zile nyumba za NHC alizohonga kwa mashangingi je?

Wale samaki wa magufuli?

Sijui unatoka mkoa gani usikute ndio wale mnaogopa kurudi vijijini kwenu kwasababu mmepanga mjini na kwenu huko nyumba ni ya matope? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usifananishe Wachagga na upupu.

Mkoa wenye shule nyingi kuliko wowote nchini.

Mkoa wenye makazi bora vijijini kuliko sehemu yoyote Tanzania.

Mkoa wenye kivutio kikuu cha watalii Tanzania.

Mkoa wenye ma Dons kuliko wowote Tanzania.

Mkoa wenye mandhari nzuri kuliko popote Tanzania.

Mkoa wenye wasomi wengi kuliko wowote Tanzania.

Huoni aibu sister? [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe wachaga mnasera hizi? Mbona mabinti zenu wengi wameolewa na hao wasukuma ,na nyinyi wakaka wakichaga mmewashindwa na kutafuta wadada wakisukuma?

Acheni upuuzi, Magufur hana ukabila wowte sema sometime he jokes,lakin pengine anayokuwa anawatania ni kwel,

Kwani mchaga ukimwachia nchi si utakuta kashauza siku nyingi? We ukitaka ujue, Mweke kwenye kampuni mmoja awe mkurugenz,kama haujakuta wote wafanyakazi wachaga.

Tofaut kabisa na wasukuma hawa, Hawanaga issue za kubagua bagua ndio maana msukuma anaweza ishi na mtu yoyote,
Mimi namfahamu mchagga ambaye kwenye taasisi anayoisimamia , hajamuajiri mchagga mwenzake hata mmoja.

Be open minded
Dunia ya sasa sio ya kukariri maisha
 
Wachaga=Wayahudi(antisemitisim). Wachagga jibidiisheni kujiajiri, huko serikali na mashirika ya umma hamna chenu.
Ikifika december msiache kwenda Moshi kumshukuru na kumlilia Mwenyezi Mungu na kutoa fungu la kumi.
kuna watu wamejiajiri na kuajiriwa kama wachaga tz na sio kabila la watu wengi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna kitu, unamtisha nani wewe. Mmebanwa mpaka mtanyooka tu
Umemtolea mfano Mosha na kuhukumu jamii nzima kana kwamba ndio kawekwa kuwakilisha wachaga wote, nashindwa kujua kama shida ni elimu yako, weledi wako au ni chuki tu dhidi ya jamii ya kichaga

Me nachoamini kuwa nchi hii ni yetu wote sio kwa ajili ya kikundi fulani ambacho wao ni malaika sana kuliko wengine, hivyo sina haraka na watu kama nyie na kejeli zenu za waziwazi nasubiri muda uamue tufike hapo mnapopataka



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lenu ndilo hili, kujifanya bora kuliko wengine kiasi kwamba mtu asiyefahamu akisikia stori za Wachaga anaweza kuamini majority ni mambo safi wakati ukweli ni kwamba, majority wala hawana tofauti na Watanzania wengine! Matokeo yake sasa, mkikutana na pride people kama Jiwe lazima awachukie tu na majigambo yenu yanayolenga kujionesha mpo upper class na wengine wote ni watu duni!!!

Jifunzeni kwa Wahaya! Miaka ya nyuma Wahaya walikuwa na huu ujinga! Yaani ilikuwa Wasomi wao, walioenda Ulaya na Marekani wao, wanaomiliki Benzi wao; yaani kila kitu wao hadi na Wahaya wale wenzangu na mimi na wao wakajisahau na kubaki kujivunia pride ya Uhaya! Kuja kushituka, leo hii Kagera ni miongoni mwa mikoa ya hovyo kabisa sio tu kwa elimu waliyokuwa wanatambia kuwa nayo bali hata kiuchumi!!!

I respect hustles za Wachaga katika kutafuta, hususani hustle za baba zenu katika kupeleka watoto shule lakini hii tabia ya watoto wao ambao bila shaka ndie nyie mliyerithi tabia za Kihaya na kujiona bora kuliko wengine wakati hao waliofanikiwa ni wachache tu, ni tabia inayowafanya wengine wawachukie kwa sababu kwa hulka ya binadamu, hata kama kweli yeye ni duni, katu hawezi kuwa tayari kuona anadharauliwa kwa kutumia uduni wake! Tabia za kujiona "sisi" na "wao" ndio huzalisha strata kwenye jamii! Unfortunately, kwa Afrika wa sasa sio rahisi kuwa na strata za kiuchumi kwa sababu pamoja na majigambo yenu, majority ni maskini! Sasa kwavile sio rahisi kuwa na strata za kiuchumi, "umimi" kwa Afrika ni kiwanda kizuri cha kutengeneza Ukabila!!!

Na huu umimi kwa sasa upo wazi sana kutoka kwenu, ndo maana pamoja na Magufuli kulalamikiwa ukabila, ni Wachaga ndio mara kwa mara huwa wanajitokeza kwamba Magufuli anawachukia Wachagga as if huyo Magu ana mahaba na hayo makabila mengine! Wakati watu wakimlalamikia Magufuli habari za Ukanda, ni Wachaga ndio mara kwa mara hujitokeza kumlalamikia Magufuli kwamba hawapendi Wachagga as if hiyo kanda inayosemekana Magufuli anaipendelea ina makabila yote except Wachaga!!!

Kwa tabia yenu hii ya ubinafsi, kuna kila dalili ndio nyinyi nyinyi mliokuwa mnaomshutumu Kikwete kwa udini! Lakini kwavile Magufuli ni mtu wa dini yenu, mmeachana na tuhuma za udini na kujikita kwenye masuala ya ukabila!!!

Na kwa hulka yenu hii, hata siku Tanzania Rais akija kuwa Mchaga, mtahamia kwenye strata zingine ndani ya huo huo Uchagga! Mtaleta habari za Mchaga wa Rombo, Mchaga wa Machame, Mchaga wa porini, Mchagga wa Mjini, wale akina Thadei ni maskini tu wale, n.k!

Mbaya zaidi, kwa nchi kama Tanzania you can't survive alone as Chagga kwa sababu pamoja na hao wengine mnaowadharau, wapo baadhi yao waliopatia maisha na hata kuwa na nafasi za kufanya maamuzi! Hicho kiburi chenu cha kujiona you're simply the best hakina faida yoyote zaidi ya wale wasio nyinyi baadhi yao kuanza kuwachukia! Na ikitokea hao wa kuwachukia ni wenye kufanya maamuzi, ndo pale unakuta mtu anaitupa CV kwa sababu tu wewe ni Mchaga ambae amechoshwa na majigambo na fahari zenu!!!

Tena bora hata kwa wale wanaoleta fahari ya Kichaga mbele ya akina Mwajuma Ndala Ndefu mpwa wake na Mzee Mbonde ambae kaka yao mkubwa ameolea Upogoroni! Nyie wa mitandaoni mnaowaletea umachinoo wengine ni wasomi kama nyinyi, tena si ajabu hata kuwazidi! Wengine wana uwezo mkubwa kama nyinyi tena pengine hata kuwazidi!! Sasa ndo ukute wale wa "...utakula majivuno yako"; je hajakuchinjia baharini kisa tu your surname is Massawe and s/he's experience with the "Massawes" wakati maskini ya Mungu si ajabu Massawe huyu wala sio miongoni mwa wale wa kujiona wao ndio wao na wengine wote mapopo!!!

So, punguzeni ushamba na ulimbukeni manake ninachokiona kwa baadhi yenu ni ushamba tu na ulimbukeni kwa sababu asiye mshamba na limbukeni anafahamu uhalisia! Anafahamu kwamba hao waliofanikiwa is just a drop of water in the ocean na majority ni sawa na Watanzania wengine mnaowadharau na kuwaona hawajasoma wala hawajui kutafuta ingawaje sijawahi hata siku moja kusikia Wachaga wameenda kutoa msaada kwa maskini Wagogo mkoani Dodoma! Sasa kama na wao hawatafuti sijui wanaishi vp ikiwa hao watafutaji hatujawasikia wakienda kutoa misaada kwa hao wapiga usingizi badala ya kutafuta!
Mkuu kama hujui history ya mkoa wa Kagera Bora ukakaa kimya Tu.



Anyway kukumbusha Tu vita ya Kagera, ukimwi,MV bukoba,Mnyauko, Tetemeko,wakimbizi na kuporomosha uchumi, vyote vilitokea katika mkoa huo.


Anyway Kagera wahaya wapo katika wilaya tatu.
Kagera ni kubwa kuliko wahaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom