Ungenielewa usingetumia nguvu kubwa kuandika haya uliyoyaandika.Mjane Mama Tibaijuka ni Mchaga wa wapi? Mjane Mama 6 ni Mchaga wa wapi? Mjane Jak Machache ni Mchaga wa wapi? Mgane Harrison ni Mchaga wa wapi? Mjane Mama namba 1 ni Mchaga wa wapi? Mjane mama Bukilo ni Mchaga wa wapi?
Brain zero wewe mgogo una nini mbele ya mchagha?zaidi siku hizi mnawauzia mashamba yenu kisha mnarudi mlango wa nyuma kuja kufanya vibarua vya kulima.Wachaggaa ni tatizo , ukiacha kuwadhibiti wanakuuza wewe na nchi yako. Wengi wao ni brain zero.
Wachaga wana maendeleo gani?.......kufuga kiti moto!
Wewe ni kabila gani? Halafu taja maendeleo yenu, yani kubebwa na serikali toka uhuru hamubebeki.Wachaga wana maendeleo gani?.......kufuga kiti moto!
Buashee wewe baguzi ndani ya damu. Lazima unapata sana shida mkuu pole kwa chuki. Pambaaf wahed.Kumbe Rais Magufuli ni mzalendo tokea siku nyingi sana.
Ahsante meku kwa kutupa siri ya uchapakazi wake akiwa JKT......wachaga jeshini unawatafuta kwa tochi wao wanataka TRA na BOT tu sijui kwanini!!
Kuna mama mmoja wa kimachame ni mchagga mwenzangu. Siku moja akaniambia ukioa mmachame utakoma maana tunapenda hela kuliko chochote kileLakini wachagga kiukweri mmejipa sifa mbaya sana Tanzania na urimwenguni kote😁😁 mchagga kwa hella khatari sana,,,mke anamtoa roho mumewe ili ajimilikishe mali na nduguze 😁😁 mkipewa hii nchi 2tasarimika kweli! Au ndio mtapeana wenyewe madalaka na maeneo kila pembe ya tanzania! munakwama wapi nduguzangu wapenda hella!