Rais Magufuli: Wengine wanasema nipo Chato, kwani waliambiwa Chato sitakiwi kuwepo? Hapa si ndio nilipozaliwa na hata nikifa nitazikwa?

Rais Magufuli: Wengine wanasema nipo Chato, kwani waliambiwa Chato sitakiwi kuwepo? Hapa si ndio nilipozaliwa na hata nikifa nitazikwa?

mmmmh.............. ndio........................ sawa

EXFPX0pXsAEe11p.jpg
 
Mkuu mimi pia huwa siwezi kutukana ila kwa leo kuna mtu nimemuita karumekenge ila kwa kuw nina ID fake, kesho nitamuomba radhi
ID fake ina beba sana,na Melo atagoma kukutaja,sasa sisi wengine tunatafutwa moja kwa moja tu.
 
Sio kwamba napingana na hoja za watu wengine, ambao wamekuwa wakitoa shinikizo la Rais kutoka Chato na kurudi Ikulu ya Dar es salaam au Dodoma. Ila najaribu kujiuliza haya maswali;

i) Je, utendaji wa Rais unapimwa kwa mambo anayofanya au unapimwa kwa mahali alipo?

ii) Je, Rais akiwa tu Chato au sehemu ingine yoyote Tanzania ambapo hakuna Ikulu, atakuwa anakosa moja kwa moja nguvu ya kuwa Rais?

iii) Kuna umuhimu gani haswa wa kuwa na shinikizo la kutaka Rais atoke Chato na aje ikulu?


Mi nahisi vitu vingine hivi ni kufuata tu mkumbo wa nani anasema kitu gani, iihali kuna wana harakati wanasema kwamba Rais atoke Chato aje ikulu, basi imekuwa kama hoja ya kujadiliwa, wakati ukiangalia kwa jicho la tatu, hakuna mantiki haswa nyuma ya hili jambo.

Kwangu mimi kwa kweli, sioni kama kungekuwa na tofauti yoyote kwenye hili janga la Corona hata kama Magufuli angekuwa huko ikulu watu wanapotaka awepo. Magufuli ni mtu yule yule akiwa Dodoma, Dar, Chato na popote pale.

Yaani watu wanavolalamika Rais arudi Ikulu, utasema kuna chochote kitachobadilika.
Mkuu, angeondoka dar kabla ya corona isingekuwa nongwa. Kumbuka dar ndo inaongoza kwa maambukizi na watu wengi wameondoka na familia zao kwenda mikoani.
Anaposisitiza watu kuchapa kazi(wakati kwa Dsm hali sio shwari na yeye yuko Chato) inaleta maswali mengi.

1. Kwa nini aende chato kipindi hiki?
2. Kwa nini harudi ikulu?
3.
4.
5.
Kwa hiyo, mazingira tulimo yanatufanya tuone kuwa mkuu ameikimbia Dar na kujificha kwake.
 
Angetokea kichaa mmoja pale kule nanhii..hahahahahhaha...paaaapaaaa paaaapaaa..anataka kupinduliwa sufuria la kujifukiza.

Wee asubuhi tu wapo huku Malog log
 
Mi naona bora uko chato asitoke mpaka October afike salama awai uchaguzi

I'm done.
 
Dalili za mtu aliyechanganyikiwa na kukata tamaa ni hizi
kutokuwa consistency
kushindwa kukumbuka aliyosema
•corona hakuna tunatishana
•ligi iendelee tu
•huku shule umefunga
•natuma ndege ikalete dawa za corona Madagascar- sasa hakuna corona, halafu dawa za kumtibu mamako au?
Toa Maoni siyo Matusi.moderator chukua Hatua piga ban
 
Back
Top Bottom