Rais Magufuli: Wengine wanasema nipo Chato, kwani waliambiwa Chato sitakiwi kuwepo? Hapa si ndio nilipozaliwa na hata nikifa nitazikwa?

Rais Magufuli: Wengine wanasema nipo Chato, kwani waliambiwa Chato sitakiwi kuwepo? Hapa si ndio nilipozaliwa na hata nikifa nitazikwa?

“Wengine wanasema nipo Chato, kwani waliambiwa Chato sitakiwi kuwepo?, hapa si ndio nilipozaliwa na hata nikifa nitazikwa hapa kuna ubaya gani nikiwa Chato? , nikienda Moshi watasema nipo Moshi nimekimbia sijui wapi!, tuache siasa za ajabu” -JPM

“Wengine wako DSM wanasema Watu wasiende Bungeni, na nimeagiza wasilipwe posho maana utalipwa kwa kazi uliyofanya, kuna mambo ya ajabu yanafanyika, sina imani na Mkuu wa Mabaara ya Taifa maana haiwezekani tupeleke sampuli za papai zioneshe zina corona” -JPM
Hapo kasema maneno murua Kabisa, "Mtu kwao".
 
Maswali ya ki ng'ombe ng'ombe 🤔🤔.......... So disgusting
 
Dalili za mtu aliyechanganyikiwa na kukata tamaa ni hizi
kutokuwa consistency
kushindwa kukumbuka aliyosema
•corona hakuna tunatishana
•ligi iendelee tu
•huku shule umefunga
•natuma ndege ikalete dawa za corona Madagascar- sasa hakuna corona, halafu dawa za kumtibu mamako au?
😂😂😂
 
Mbona huwa anaogopa sana Moshi na watu wa Moshi huko n kutokujiamini [emoji1787][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Kwa taarifa alizonazo zinaonesha watu wa eneo hilo ndio wamekuwa obstacle Kwa Mambo mengi..kuwaogopa sidhani kwakuwa Ni Ngumu Sana Kwa Taasisi anayoingoza kuogopa mtu, kikundi /jamii ya watu au Taasisi yoyote ndani ya Jamuhuri hii.
 
Hapo umeona matusi gani?
sentensi ya Mwisho ina ukakasi Mheshimiwa Hata ukiiremba
.fikiria mnajadili na mtu Kuhusu hoja flani. Mwisho anamlizia Kama ulivyomalizia je Utafanya Nini? Kwani mama ameingiaje hapo?
 
“Wengine wanasema nipo Chato, kwani waliambiwa Chato sitakiwi kuwepo?, hapa si ndio nilipozaliwa na hata nikifa nitazikwa hapa kuna ubaya gani nikiwa Chato? , nikienda Moshi watasema nipo Moshi nimekimbia sijui wapi!, tuache siasa za ajabu” -JPM

“Wengine wako DSM wanasema Watu wasiende Bungeni, na nimeagiza wasilipwe posho maana utalipwa kwa kazi uliyofanya, kuna mambo ya ajabu yanafanyika, sina imani na Mkuu wa Mabaara ya Taifa maana haiwezekani tupeleke sampuli za papai zioneshe zina corona” -JPM
Huyu mtu sio presidential material, period
 
Hivi kwani huko Chato anafanya nini? Kwamba huko ndo ilipo Ikulu, yupo kwa ziara ya kikazi au yupo yupo tu?
 
“Wengine wanasema nipo Chato, kwani waliambiwa Chato sitakiwi kuwepo?, hapa si ndio nilipozaliwa na hata nikifa nitazikwa hapa kuna ubaya gani nikiwa Chato? , nikienda Moshi watasema nipo Moshi nimekimbia sijui wapi!, tuache siasa za ajabu” -JPM

“Wengine wako DSM wanasema Watu wasiende Bungeni, na nimeagiza wasilipwe posho maana utalipwa kwa kazi uliyofanya, kuna mambo ya ajabu yanafanyika, sina imani na Mkuu wa Mabaara ya Taifa maana haiwezekani tupeleke sampuli za papai zioneshe zina corona” -JPM
Mwambieni apeleke mkojo kwenye machine za kupimia ukimwi aone zitampa majibu gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom