Ninacho furahia ni kuwa MATAGA sasa hivi mnawaya waya tuKila mtu anamnyooshea mwenzake kidole cha kujipendekeza.
Itapendeza tukiyarejea haya yote baada ya mwaka kama mmoja hivi na pia 2025.
Wachache wetu tunaamini hakutakuwa na tofauti kubwa....
Muda utatueleza.
Mawazo mfuHakuna. Hakuna. Hakuna.
Hakuna chama mbadala Tanzania.
UmerogwaKatiba haina kipengele kinasema CCM itaongoza milele,Uimara wa viongozi unafanya CCM iendelee kuwa madarakani.So mama akikosa msimamo na kucheza ngoma ya Upinzani makwisha
Unataka kuwaua MATAGA kwa pressureJinsi navyomuona mama ataleta katiba ya warioba
Mwanzo wa ngoma ni leleee hivyo mkuu jiandae kufurahiaSiku CCM ikiondoka madarakani itakua shangwe kama juzi hapa! Haiwezekani fikra zile zile ziwepo hata baada ya miaka 60!
Huyo ni muathirika wa kubeba maboxkjana na ujanja wako wote uo bdo unashabkia ccm, inasikitisha sana
Watakuelewa watu wenye kutumia akiliKuondoka kwa CCM madarakani ni mpango wa Mungu. Kwani si mlimuabdaa Jiwe atawale milele? Leo yuko wapi? Hata hatma ya Ccm iko mikononi mwa Mungu. Time will tell.
Sasa hivi ccm imeshakata kamba tayariNi sawa na mende kuangusha kabati ulisikia wapi hiyo.
Hata ccm iwe nyepesi kama unyoya hakuna upinzani wa kuitoa madarakani, labida ccm isambaratike vipande vipande.
Ina maana upeo wako umeishia hapa!!!!?!!!Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.
Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?. Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tyr kuna ulaji kwa huyu mama,So wameona wanze kujipendekeza mapema ili wapate chance ya kumdefeat na kuguide huko mbele.
Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.
Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake.CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upnde wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .
Hao tayari wamesha ingiwa na uoga maana waliyekuwa wakimdanganya kwa umbea kawatupa mkono.Msimtishe Samia, kwani CCM ikitoka madarakani yeye anapata hasara gani.
Masikini ni sifa kwenu tuSijui upinzani asimame nani ila kwa sasa wapiga kura(wananchi maskini)huwaambii kitu na CCM
Waramba miguu mmekosa pa kushika dadeeeeeekiiiii wahlaaaaaaiiiiiiYule hana huo ubavu kwanza wapiga kura hawako twita wala JF,wapiga kura wapo vijijini,wauza samaki,machinga ndo CCM wanadeal na hao
Kwa upinzani huu usio badlika, ongeza miaka 100.CCM kuna siku itatolewa tu ila haijulikani lini labda 2025 au 2030 au hata 2040 ila itatolewa tu
Tuko makini sana mkuu na hawa wanasaccos mitandaoni hawana kitu hawa! Sisi tunajua sehemu ya watz ni mitaani walioko wapiga kura.Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.
Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?. Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tyr kuna ulaji kwa huyu mama,So wameona wanze kujipendekeza mapema ili wapate chance ya kumdefeat na kuguide huko mbele.
Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.
Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake.CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upnde wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .
Rais Samia akiweka kodi zinazoendana na kipato kwa wafanyabiashara na pia ushuru wa forodha kwa mizigo inayotoka nje. Pesa itakuwepo mitaani na ajira zitaongezeka.