Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Yaani sijawahi kuona majitu mazuzu kama haya ya upinzani.Tuko makini sana mkuu na hawa wanasaccos mitandaoni hawana kitu hawa! Sisi tunajua sehemu ya watz ni mitaani walioko wapiga kura.
Kauli mbiu ya kila mwenyekiti wa sisiemu ni CHAMA HAKINIFII MIMI...Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.
Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?. Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tyr kuna ulaji kwa huyu mama,So wameona wanze kujipendekeza mapema ili wapate chance ya kumdefeat na kuguide huko mbele.
Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.
Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake.CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upnde wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .
Wachague kwa lipi? Hoja zipi?Kwani kuna shida gani wananchi wakiamua kwa ridhaa Yao kuchaguwa chama kingine kuongoza nchi?
Mimi hapa!Nani wa kuiondoa CCM madarakani? Tuanzie hapo kwanza!
Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.
Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?. Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tyr kuna ulaji kwa huyu mama,So wameona wanze kujipendekeza mapema ili wapate chance ya kumdefeat na kuguide huko mbele.
Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.
Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake.CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upnde wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .
Wapinzani huwa wanasifia jambo lenye manufaa kwa taifa... nadhani hata wewe ukiamua kutumia akili yako utaona hilo.Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.
Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?. Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tyr kuna ulaji kwa huyu mama,So wameona wanze kujipendekeza mapema ili wapate chance ya kumdefeat na kuguide huko mbele.
Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.
Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake.CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upnde wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .
Msimtishe Samia, kwani CCM ikitoka madarakani yeye anapata hasara gani.
Ww ndo huujui upinzani wa TZ. Kwa Asilimia kubwa hawataki kuchukua nchi sababu hawako tayari kupigania hilo.Yaani sijawahi kuona majitu mazuzu kama haya ya upinzani.
Ni mamtu rahisi sana kuyadhibiti.
Yaani sasa hivi Mama Samia ayaue tu kwa kindness na kuongea kwa upole.
Akifanya hivyo yatasahau hadi habari za katiba mpya na tume huru.
Kikwete aliziitaga kelele zao upepo. Unavuma na kupita fyuuuu.
🤣🤣🤣
“Hawataki kuchukua nchi sababu hawako tayari”.Ww ndo huujui upinzani wa TZ. Kwa Asilimia kubwa hawataki kuchukua nchi sababu hawako tayari kupigania hilo.
Chadema ni watu wasiojielewaHii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM
Belgiji hata akishindana na bibi yangu kile kijijini, bibi atamshinda
Demi twende tukale chips
Upinzani ndio huimba ngoma ya ccmKatiba haina kipengele kinasema CCM itaongoza milele,Uimara wa viongozi unafanya CCM iendelee kuwa madarakani.So mama akikosa msimamo na kucheza ngoma ya Upinzani makwisha
Magufuli atarudi tena madarakani muda utaongeaMlishazoea kuishi na shetani wenu huku mkimtia ndimu ili aendeleze ushetani wake na nyie mpate kula sasa amekufa mnataka kumpa ushetani mama wa watu Samia ili nae awe shetani. Nawaambia mmeshafeli na kushindwa. Mama Samia ndo Mandela wa Tanzania na Ccm iko salama chini yake.
Kwa hiyo kwa kufanya hivyo anapata faida nani na anakomolewa nani?Ni sawa na mende kuangusha kabati ulisikia wapi hiyo.
Hata ccm iwe nyepesi kama unyoya hakuna upinzani wa kuitoa madarakani, labida ccm isambaratike vipande vipande.
Safi mkuu, nafurahi sasa umeacha kushabikia kina belgiji na kuiona ccm iliyosalama zaidiMlishazoea kuishi na shetani wenu huku mkimtia ndimu ili aendeleze ushetani wake na nyie mpate kula sasa amekufa mnataka kumpa ushetani mama wa watu Samia ili nae awe shetani. Nawaambia mmeshafeli na kushindwa. Mama Samia ndo Mandela wa Tanzania na Ccm iko salama chini yake.