Rais Mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera amuondolea Kinga ya kutoshtakiwa Rais wa zamani, Peter Mutharika

21 Mar 2019
Part 2 : Saulos Chilima and the Elections in Malawi - Straight Talk Africa
21 Mar 2019
Straight Talk Africa host Shaka Ssali conducted an exclusive interview with Vice President of Malawi Saulos Chilima about the upcoming elections. In the second part of this in-depth interview, Chilima delves into the problems Malawi continues to face and his experiences as Vice President.

Source : VOA Africa
 
Mbona nyinyi kila kukicha mnajitahidi kupeleka kwa hati za dharura, miswada ya sheria za hovyo hovyo za ukandamizaji hapa nchini?

Hivi kwa mfano mlipopeleka sheria ya kuongeza list ya wale ambao hamtaki washitakiwe, wakiwemo Spika wa Bunge, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu, kwenu nyinyi mliona mmefanya sawa?
 
Reactions: BAK
28 June 2020
(🔴 LIVE) SAULOS CHILIMA SWEARING IN OF VICE PRESIDENT-ELECT-28 JUNE 2020 MALAWI ELECTION 2020

Source : hanifa
 
Kama dikteta anayevunja katiba usiku na mchana anadhani kwa kuweka sheria kwamba hastahili kushtakiwa kwa maovu yake akiwa Ikulu na sheria hiyo ITAHESHIMIWA ameula wa chuya yeye na wenzie wataburuzwa kizimbani haraka sana na mali zao zote KUFILISIWA.

 
Published on 7 June 2018
Malawi VP attacks president, quits ruling party

7 June 2018

Malawi’s vice president Saulos Chilima has publicly attacked the president of presiding over a government riddled with corruption on Wednesday as he announced his resignation from the ruling party, leaving the door open for a presidential run.

Chilima was handpicked by President Peter Mutharika to run alongside him in the 2014 elections on the Democratic People’s Party (DPP) ticket. His dramatic decision to quit the DPP has exposed a widening rift in the ruling party, which has come under heav… READ MORE : http://www.africanews.com/2018/06/06/...
Source : Africanews
 
Reactions: BAK
Kutesa kwa zamu.
 
Ndugu hujui.Rais anainfluence gan ktk kubadilika kwa katiba?ukitaka.kujua hlo ni muswada upi ulipelekwa bungen na haukupita?
Hiyo sheria aliiweka yeye au ilitungwa na bunge?
Yeye kama yeye anawezaje kubadili katiba ambayo imetungwa na bunge, kwa hiyo yeye yupo juu ya katiba?
 
Unadhan kila sehemu kuna kusifu na kuabudu?
 
Ndugu haya mazumbukuku hawawez kukuelewa
 
Cha kujifunza hapa ni kwamba viongozi wetu wa kiafrica wamejaa chuki na visasi... Angepeleka muswada bungeni iwe sheria kwa rais yeyote atakàeingia madarakani siyo kumtarget mpinzan wako tu
Hivi ameondoa kinga ya APM kutokushitakiwa au ameondoa ya rais kutokushitakiwa?
 
Kama ni MFUMO uliojaa UOZO mwanzo mwisho kwanini AUKUMBATIE? 😳😳😳
Kama aliahidi KUUFUMUA ni lazima ATIMIZE KAULI yake tena BILA KUCHELEWA.

 
Hiyo sheria aliiweka yeye au ilitungwa na bunge?
Yeye kama yeye anawezaje kubadili katiba ambayo imetungwa na bunge, kwa hiyo yeye yupo juu ya katiba?
Katiba yao inamruhusu kufanya hivo hata hapa ni hivyohivyo mambo ya bunge yanakuja baadae.
 
Hiyo sheria aliiweka yeye au ilitungwa na bunge?
Yeye kama yeye anawezaje kubadili katiba ambayo imetungwa na bunge, kwa hiyo yeye yupo juu ya katiba?

Kwa taarifa yako hizi nchi zetu za kiafrika, rais yuko juu ya katiba, bunge na mahakama. Na anaweza kuamua lolote na likatekelezwa na bunge, mahakama, na taasisi yoyote bila kuridhia. Mfano halisi ni hapa nchini kwetu. Tabia binafsi na utashi wa rais, ndio zimegeuka kuwa sheria za nchi. Bunge, mahakama na taasisi nyingine zinafanya kila atakacho. Hii kinga ya kutoshtakiwa ilikuwa ni amri yake kwa 100%, bunge limetii tu atakacho.
 
Cha kujifunza hapa ni kwamba viongozi wetu wa kiafrica wamejaa chuki na visasi... Angepeleka muswada bungeni iwe sheria kwa rais yeyote atakàeingia madarakani siyo kumtarget mpinzan wako tu

Acha amtarget huyo huyo mpinzani wake, ile fundisho kwa mabaradhuli wengine wote. Tunaona hata kwetu rais anaumiza watu wa itikadi tofauti, unategemea siku akiingia mpinzani, ataacha kuchukua hatua stahiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…