Wivu na uzushi wa namna hii mkikuta mmeletewa posa nyumbani kwa ajili ya kuolewa msilalamike.CODED: Yupo Mapumzikoni
KNOWN: Mstaafu
REALITY:-
Mstaafu jina. Lakini yupo mzigoni kama kawa ndo backbone ya mfulani ndo maana mambo mengi ya ajabu ajabu yanaendelea chini ya vijana wake aliowapenyeza huko.
Mstaafu (ambaye kagoma kustaafu) yupo mapumzikoni na ameyahitimishia mbugani.
Nashukuru kwa taarifa
Inapendeza Sana..💘💘Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma Kikwete katika ziara hiyo, pia alipata wasaa wa kupita katika Kituo cha Makumbusho ya Bonde la Olduvai na Hifadhi ya Ngorongoro.
View attachment 2451585View attachment 2451586View attachment 2451587View attachment 2451588View attachment 2451589View attachment 2451592View attachment 2451593
asante sana sio kama wengine wachimviMzee Kikwete bado ananguvu,yuko fit alafu ana nuru.hana tofauti na mzee Mwinyi maisha marefu yenye baraka na afya nzuri.
namtakia kila la heri Rais wetu mstaafu mzee Kikwete[emoji120]
Mstaafu anayeitendea haki hiyo nafasi ni Dr. Shein tu.Mstaafu (ambaye kagoma kustaafu) yupo mapumzikoni na ameyahitimishia
Mtabaki mnamuombea mabaya milele na ndo kwanza yanaweza kuanza kuwakuta nyie......tangu muanze kumsema na kumuombea mabaya, kwa sababu mlizozibuni kutokana na wivu na chuki zenu kwa huyo jamaa, mmeshapatwa na mangapi mabaya huku yeye akiwa salama tu? Na bado, endeleeni tu.Malipo ni hapa hapa kama ni kweli !! Lakini kama si kweli ndio imeisha hiyo !! Na uzee nao ndio umeshaingia !! Kila kiungo kinakuwa hoi !!
Unaweze kutukumbusha kiongozi ni figisu zipi hizo na zilifanyikaje? Ahsantealimfanyia figisu mzee Lowasa dah!
Tozo zetu zimemlipiaAmelipa gate fee?
Rudi nyuma kuanzia issue ya dowans , hadi kujuzuru uwaziri mkuu hadi uchaguzi wa 2015Unaweze kutukumbusha kiongozi ni figisu zipi hizo na zilifanyikaje? Ahsante
😂😅unataka kuliamsha.Wangekuwa Wagalatia ungesema haya Sultan Khalifa? Halafu ni Wagalatia tu ndiyo wanakufa. Sijui kuna siri gani hapa. Kuna haja ya kusilimu aisee [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Real state man,a leaderWhat is so special about Jakaya Kikwete!
Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma Kikwete katika ziara hiyo, pia alipata wasaa wa kupita katika Kituo cha Makumbusho ya Bonde la Olduvai na Hifadhi ya Ngorongoro.
View attachment 2451585View attachment 2451586View attachment 2451587View attachment 2451588View attachment 2451589View attachment 2451592View attachment 2451593
Yaan anazidi kuwa barobaro
Achana na pesa aiseh
Mungu azidi kumlinda na kumpa afya njema mtu wa watu J
Huyu ni mtu mchafu asiyestahili hata kushabikiwa, lakini naona umati wa watu wabovu wakishangilia hata raba za mguuni. Alifanya nini taifa hili? Nini tumkumbuke leo hii?Mzee Kikwete bado ananguvu,yuko fit alafu ana nuru.hana tofauti na mzee Mwinyi maisha marefu yenye baraka na afya nzuri.
namtakia kila la heri Rais wetu mstaafu mzee Kikwete🙏
💩🖕Muhutu ya Burundi ile ibilisi
Yaan anazidi kuwa barobaro
Achana na pesa aiseh
Mkuu ipo hivi HAKUNA mtu alie msafi au mkamilifuHuyu ni mtu mchafu asiyestahili hata kushabikiwa, lakini naona umati wa watu wabovu wakishangilia hata raba za mguuni. Alifanya nini taifa hili? Nini tumkumbuke leo hii?
Hayo ni mahaba ya kizembe tu! Kupendeza na kuomba kura kuna uhusiano gani? Tufikie hatua watu kama wewe musipewe hata nafasi ya kupiga kura.Mkuu ipo hivi HAKUNA mtu alie msafi au mkamilifu
Kwakuwa sisi hatuwa na kile kifaa cha 'uchafumeter' tumemuangalia tumeona amependeza sana
Sasa nyie wenye hivyo vifaa vya uchafumeter, ufisadimetric, wiziologymeasure n.k ndio mje mseme
Sisi tunasema amependeza na bado anaonekana anadai mathalani 2025 akirushia ndoano ya kuomba kura pale kati mzee wa kazi nakuhakikishia panaweza kuchimbika mbaya kabisa
Huo ndio ukweli
Kiongozi sijajua tatizo ni mimi au maoni yangu?Hayo ni mahaba ya kizembe tu! Kupendeza na kuomba kura kuna uhusiano gani? Tufikie hatua watu kama wewe musipewe hata nafasi ya kupiga kura.
Dr. Shein angekuwa wa Muungano tusingekuwa katika hali hii tuliyonayo kwa sasa.Mtaafu anayeitendea haki hiyo nafasi ni Dr. Shein tu.
Na amelala hotel 5* siku zoteTozo zetu zimemlipia