jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
I'm not your friend, i will not until you change both your characters and behaviors towads mankind.Grow up my friend.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm not your friend, i will not until you change both your characters and behaviors towads mankind.Grow up my friend.
Senate na council, zinamuona jinsi alivyokuwa mnaaa na kujali tumbo lake...Hongera zake Profesa, bana atakufa njaa jamani wampe hata udiwani, mbona kule dodoma kuna Profesa kapewa udiwani wa kuteuliwa
WAHAYA tupo kibao hata prof Mukandala bado hajawa VC..Wahaya kwaheri UDSM
Kwa unavyofikili, Bana hafahamu mchakato wa kupatikana kwa VC wa UDSM?bana kapiga domo wee wapi.
Acha uongo ww... kisheria mkuu wa chuo ndio huteuliwa na Rais (PUBLIC UNIVERSITIES) na makamu mkuu wa chuo huteuliwa na Mkuu wa chuo..VC wa sasa muda wake unaisha tarehe 31/12/2017 na hawezi kuongezewa muda kisheria.
Hilo linajulikana na ndiyo utaratibu.
Hakuna VC anayeteuliwa bila consent ya Rais. Senate na council ni sehemu tu ya mchakato wa lazima ili kumpata VC lakini hawezi pata hiyo position bila consent ya Rais aliyepo madarakani.
VC aliyepo aliteuliwa wakati wa Kikwete
Umeshamaliza chuo au Bado?Sisi Duce alitufundisha Anangisye hiyo course.
Prof.I.Kikula yupo wapi?makamu mkuu pale n mpare Prof mlacha
msaidz n prof msofe
unavyofikili = unavyofikiriKwa unavyofikili, Bana hafahamu mchakato wa kupatikana kwa VC wa UDSM?
DodomaProf.I.Kikula yupo wapi?
Mbona ni ya kawaida tuu MkuuNaona CV ya Prof. Anangisye imeshiba
Haya ngoja tusibili jembe jingine litakalo ziba nafasi ya Prof. Florens D.A.M. Luoga ya Deputy Vice chancellor Academic (DVCA)
umeelewa nilichokiuliza? punguza haraka...unavyofikili = unavyofikiri
hakuna mchakato hapo VC anateuliwa kabla the rest ni siasa tu
Anastaafu nafikiri.Hivi rwekaza hajatumbuliwa tu??
Absolutely right... Thanks for such nice clarifications.VC wa sasa muda wake unaisha tarehe 31/12/2017 na hawezi kuongezewa muda kisheria.
Hilo linajulikana na ndiyo utaratibu.
Hakuna VC anayeteuliwa bila consent ya Rais. Senate na council ni sehemu tu ya mchakato wa lazima ili kumpata VC lakini hawezi pata hiyo position bila consent ya Rais aliyepo madarakani.
VC aliyepo aliteuliwa wakati wa Kikwete
Usimlaumu mtu kwa kosa dogo la tarehe tu. Maeneo mengi amefafanua vyema.Hujui lolote kuhusu mchakato wa kumpata VC wa Chuo kikuu cha umma... kasome university charter pamoja na Universities Act No. 7 ya 2005. Kwa taarifa Mukandala muda wake umeisha Tarehe 04.12.2017.
SenseHiyo press release imeelezea kila kitu.
Ndo ukweli kadri ya taratibu za chuo kikuu cha DSM.ina wezekana ndio njia ya kuja kukaa maala pa rwekaza....
Kawaida kwa maprofesa na madokta wengi wametokea huko.Na wengi zaidi ni from Grade IIIA/B Teachers.Humble guy...toka mwalimu wa kawaida sekondari mpaka kuwa Profesa na hatimaye VC. Kila la kheri kwa kazi yako
Ngoja nione majibuJe, hii process ni kwa UDSM tu au University zote?