Zaburi 49.Magufuli ni Nani haswa mpaka atajwe na kila mtu?
MitumeMti wenye matunda
Hata kikawaida hapa duniani Kati ya Mitume na Shetani nani anatajwatajwa sana
Sawa Sawa ndio ukipita mitaani Shujaa Magufuli anakumbukwa hadi na Tundu Antipas Lisu πππMitume
Mbona amemtaja?? Unapata faida gani kusema uongo?Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.
Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
anawashwa, akamfuate kwake ChatoMbona amemtaja?? Unapata faida gani kusema uongo?
Soma Zaburi 49.Nimetoka kusoma uzi hapa kwamba watu wana mtajataja sana Magufuli, huu uzi wa tatu sasa naona malalamiko kuwa hatajwi! Hivi wanaolalamika ni walewale au ni tofauti?
Sukuma Gang ni waabudu mizimuleo nyuzi ni za namna hii
hongereni team sukuma